Umewaona wap?Aisee kuna watu ni wachafu sana
Mkuu kuna tatizo??😂😂Masihara mengi humu.kama auna cha kujibu ni heri ukae kimya.kuliko kurusha picha za ajabu ajabu
Daaah unyama ni wote aseee mambo bie, sema unajua.Weka udambwi dambwi hata demu akija hachomoki [emoji1739][emoji1739][emoji1739]View attachment 2539927
Hapa ni tandale sokoni?
Wengi tu mbna humu tuna hali za kawaidahumu hatuwez weka picha za kweli maana asilimia 90 kiuhalisia tuna hali mbaya
KabsaSimple tuuView attachment 2541170
Simple tuuView attachment 2541170
Follow this link to join my WhatsApp group: MALEZI NDOA NA MAHUSIANO
Karibu tujadili mambo yote yanayohusu ndoa na malezi. Maswali yote yatajibiwa na mada zinafundishwa
Tupia bhasi😂😂izo picha