Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Sina ghetto nipo Kwa bi mkubwaTupia bhasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina ghetto nipo Kwa bi mkubwaTupia bhasi
Eeeeh Chai bhnSina ghetto nipo Kwa bi mkubwa
Unabisha aya sawaEeeeh Chai bhn
Unabisha aya sawa
Gharama zake kwa kukadiridia kimoja kimoja1. Kitanda+ gadoro inch 8 au 10
2. Kiti cha watu wawili
3. TV isiwe chini ya 40 inch
4. Sound bar
5. Kafriji kadogo 100 Lita
6. TV isiwe ukutani kama baa tafuta show case
Haya ni mambo ya vijana miaka 20 mpaka 30 mimi kikongwe hayanifai kwa sasa
"by law", which law in specific?Kama ni bachelor, by law ni marufuku kuweka aina yeyote ya kikalio chumbani mbali ya kitanda.
Chumba chako kinapaswa kiwe na kitanda tu kama sehemu ya kukalia mgeni. Sofa weka sitting room.
if you don't know the law then clearly the comment wasn't meant for you Sir."by law", which law in specific?
Yaani ndiyo umeamua kuja kuniaka huku siyo? Kula siku unafurahi msosi kwangu kumbe una lengo lako?