Je, wewe unapangilia vipi chumba chako cha kulala?

Je, wewe unapangilia vipi chumba chako cha kulala?

1. Kitanda+ gadoro inch 8 au 10
2. Kiti cha watu wawili
3. TV isiwe chini ya 40 inch
4. Sound bar
5. Kafriji kadogo 100 Lita
6. TV isiwe ukutani kama baa tafuta show case
Haya ni mambo ya vijana miaka 20 mpaka 30 mimi kikongwe hayanifai kwa sasa
Gharama zake kwa kukadiridia kimoja kimoja
 
Back
Top Bottom