Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnahangaika sanaMlioziona Jezi mpya za Yanga SC walizozizindua leo pale Serena Hotel karibuni ili muweze kutupa utofauti wa hizo Jezi na zile ‘ Reflectors ‘ ambazo mara nyingi huwa tunaziona zikitumiwa mno na Mafundi Ujenzi, Wafanyakazi wa Bandari na wale Watoza Ushuru wa Kupakia ( Maegesho ) wa Magari wa NPS.
Ila kuna Timu moja ( nimeisahau Jina lake kwa bahati mbaya ila nikiikumbuka nitaitaja hapa ) ambayo imezindua Jezi zake jana tu na tayari hata ‘ Wataalam ‘ wa Masoko na Biashara wa Vilabu vikubwa duniani kama vya Liverpool, PSG na Barcelona wamezisifia mno kiasi kwamba sasa wapo mbioni kuomba Michezo ya Kirafiki na hiyo Klabu kwani wamesema inaendeshwa Kisomi sana.
IGA UFE THIS IS NEXT LEVEL
Mlioziona Jezi mpya za Yanga SC walizozizindua leo pale Serena Hotel karibuni ili muweze kutupa utofauti wa hizo Jezi na zile ‘ Reflectors ‘ ambazo mara nyingi huwa tunaziona zikitumiwa mno na Mafundi Ujenzi, Wafanyakazi wa Bandari na wale Watoza Ushuru wa Kupakia ( Maegesho ) wa Magari wa NPS.
Ila kuna Timu moja ( nimeisahau Jina lake kwa bahati mbaya ila nikiikumbuka nitaitaja hapa ) ambayo imezindua Jezi zake jana tu na tayari hata ‘ Wataalam ‘ wa Masoko na Biashara wa Vilabu vikubwa duniani kama vya Liverpool, PSG na Barcelona wamezisifia mno kiasi kwamba sasa wapo mbioni kuomba Michezo ya Kirafiki na hiyo Klabu kwani wamesema inaendeshwa Kisomi sana.
IGA UFE THIS IS NEXT LEVEL
Sawa popoma mwenzanguNimeshawajibu wote ambao wameuliza nilipotelea wapi labda ulibakia ' Popoma ' Wewe tu Kujua.