uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Wakuu hasa mashabiki wa Yanga the Galactic of jangwani hali ndio kama mnavyoiona hapo Msimbazi ambapo mawazo ya team ni kama yamefika mwisho na rasmi mtani wetu wa mda mrefu sana anatumbukia shimoni.
Kimsingi ni mdogo wetu wa kitambo
Sasa CPWA Issa kaitisha press mbele ya frame usiku kaanza kuongea hotuba ambayo binafsi kwa mara ya kwanza Ile ndio hotuba sijaelewa inahusu Nini kwa hali hii Simba msimu ujao unaelekea kuwa au nafasi ya 5 au Sita ambapo msimamo utakuwa
1.Yanga
2.Azam
3.Ihefu
4.Coastal
5/6 Simba na Namungo
Sasa je tuwanusuru kwa kuwafata pale jengoni kwao na kuwapa elimu namna ya kuendesha team au tuwaache wapotee na tumpokee Azam mtoto wa juzi kama mtani mpya (derby ya dar es salaam)!?
Nawasilisha
Kimsingi ni mdogo wetu wa kitambo
Sasa CPWA Issa kaitisha press mbele ya frame usiku kaanza kuongea hotuba ambayo binafsi kwa mara ya kwanza Ile ndio hotuba sijaelewa inahusu Nini kwa hali hii Simba msimu ujao unaelekea kuwa au nafasi ya 5 au Sita ambapo msimamo utakuwa
1.Yanga
2.Azam
3.Ihefu
4.Coastal
5/6 Simba na Namungo
Sasa je tuwanusuru kwa kuwafata pale jengoni kwao na kuwapa elimu namna ya kuendesha team au tuwaache wapotee na tumpokee Azam mtoto wa juzi kama mtani mpya (derby ya dar es salaam)!?
Nawasilisha