Kwanza kabisa mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba sc. Sifurahii ushindi wanaopata Yanga lkn nawapongeza
Back to the topic
Sijawahi kusikia kwamba kuna Msimua walimaliza msimu bila kufungwa licha ya kuchukua kombe la ligi ya tz bara mara nyingi zaidi.
Swali ni je, wanaweza kuweka rekodi hiyo msimu huu wa 2018/2019.
Karibu kuchangia wkt tukiendelea kusubiri kadri ligi inavyosonga
Back to the topic
Sijawahi kusikia kwamba kuna Msimua walimaliza msimu bila kufungwa licha ya kuchukua kombe la ligi ya tz bara mara nyingi zaidi.
Swali ni je, wanaweza kuweka rekodi hiyo msimu huu wa 2018/2019.
Karibu kuchangia wkt tukiendelea kusubiri kadri ligi inavyosonga