Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Wapendwa habarini za majukumu? Pia kwa ndugu zetu waislamu nipende kuwatakia maadhimisho mema ya Eid Mubarak.
Napenda nifahamishwe kwa wale wenye ufahamu kuhusu historia ya Yoseph mfanyakazi ama Baba mlezi wa bwana wetu Yesu Kristo kama tunavyoelezwa kwenye Biblia.
Kulingana na mafundisho ya Biblia tunaelezwa kwamba Yoseph mfanyajazi alimposa bint Bikira,lakini kabla hajamjua akagundua huyo bint (Bikira Maria) alikua mjamzito alioupata kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Baada ya hapo mpaka kuzaliwa kwa Bwana Yesu na mpaka kufa kwake hakuna maelezo yanayoelezea nini kiliendelea kwa Yoseph kama baada ya hapo alienda kuposa mke mwingine au laah?
Je kuna uzao wowote ulioachwa na huyu fundi seremala? Kama wapo ni kina nani hao?
Naomba hekima na busara ituongoze katika kujuzana katika hilo.
Napenda nifahamishwe kwa wale wenye ufahamu kuhusu historia ya Yoseph mfanyakazi ama Baba mlezi wa bwana wetu Yesu Kristo kama tunavyoelezwa kwenye Biblia.
Kulingana na mafundisho ya Biblia tunaelezwa kwamba Yoseph mfanyajazi alimposa bint Bikira,lakini kabla hajamjua akagundua huyo bint (Bikira Maria) alikua mjamzito alioupata kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Baada ya hapo mpaka kuzaliwa kwa Bwana Yesu na mpaka kufa kwake hakuna maelezo yanayoelezea nini kiliendelea kwa Yoseph kama baada ya hapo alienda kuposa mke mwingine au laah?
Je kuna uzao wowote ulioachwa na huyu fundi seremala? Kama wapo ni kina nani hao?
Naomba hekima na busara ituongoze katika kujuzana katika hilo.