Je, yule Mchina Mkulima tuliyemsingia 'Kipropaganda' kuwa anayatumia Maji yote ya Mto Ruvu kwa hizi Mvua nyingi lini tutamruhusu aendelee Kumwagilia?

Je, yule Mchina Mkulima tuliyemsingia 'Kipropaganda' kuwa anayatumia Maji yote ya Mto Ruvu kwa hizi Mvua nyingi lini tutamruhusu aendelee Kumwagilia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa hizi Mvua Kubwa na nyingi zinazonyesha sasa Nchini Tanzania nimetaarifiwa kuwa tayari zimeshaanza Kujaza Mito yetu Mikubwa kiasi kwamba muda si mrefu inaweza ikaanza Kufurika na kujuta hata kwanini kwa Uwongo, Roho Mbaya na Propaganda zetu tuliamua Kumtupia lawama Mchina Mkulima wa Ruvu kuwa ndiyo pekee anazuia Maji kutopatikana Mkoani Dar es Salaam na Kukatikakatika hovyo kwa Umeme wa Tanesco.

Je, huu siyo wakati mzuri wa Kumruhusu Yule Mchina Mkulima aendelee kuyatumia kwa Kumwagilia Mazao yake kwani tayari Mkoa wa Dar es Salaam Maji yanatoka mengi, Visingizio vya Kutokuoga vimeshapungua sasa na Umeme haukatiki tena na tishio la kuwepo kwa Mgao haupo?

Tanzania ndiyo Nchi pekee duniani ambayo ina Watendaji na Viongozi wa 'ajabu ajabu' mpaka kwa Maamuzi yao ila ndiyo hao hao kila Siku wanapata Doctorates ( PhD's ) ambao furaha yao Kubwa ni kuona Wanaandikwa au Wanatajwa kwa Neno la 'Dakta' fulani.

Tafadhali hebu mruhusuni haraka huyo Mwekezaji ( Mkulima Mchina ) mliyemzuia asiendelee Kuyachepusha Maji ya Mto Ruvu kwa Kumwagilia Mashamba yake aendelee Kuyachepusha ili Mazao yake yakue haraka na yawe kwa Wingi kisha yake Kuuzwa Mkoani Dar es Salaam ambapo hivi sasa Bei ya Mboga za Majani, Pilipili ( ambazo GENTAMYCINE napenda mno Kula ) pamoja na Matunda zimepanda maradufu.
 
Kwa hizi Mvua Kubwa na nyingi zinazonyesha sasa Nchini Tanzania nimetaarifiwa kuwa tayari zimeshaanza Kujaza Mito yetu Mikubwa kiasi kwamba muda si mrefu inaweza ikaanza Kufurika na kujuta hata kwanini kwa Uwongo, Roho Mbaya na Propaganda zetu tuliamua Kumtupia lawama Mchina Mkulima wa Ruvu kuwa ndiyo pekee anazuia Maji kutopatikana Mkoani Dar es Salaam na Kukatikakatika hovyo kwa Umeme wa Tanesco.

Je, huu siyo wakati mzuri wa Kumruhusu Yule Mchina Mkulima aendelee kuyatumia kwa Kumwagilia Mazao yake kwani tayari Mkoa wa Dar es Salaam Maji yanatoka mengi, Visingizio vya Kutokuoga vimeshapungua sasa na Umeme haukatiki tena na tishio la kuwepo kwa Mgao haupo?

Tanzania ndiyo Nchi pekee duniani ambayo ina Watendaji na Viongozi wa 'ajabu ajabu' mpaka kwa Maamuzi yao ila ndiyo hao hao kila Siku wanapata Doctorates ( PhD's ) ambao furaha yao Kubwa ni kuona Wanaandikwa au Wanatajwa kwa Neno la 'Dakta' fulani.

Tafadhali hebu mruhusuni haraka huyo Mwekezaji ( Mkulima Mchina ) mliyemzuia asiendelee Kuyachepusha Maji ya Mto Ruvu kwa Kumwagilia Mashamba yake aendelee Kuyachepusha ili Mazao yake yakue haraka na yawe kwa Wingi kisha yake Kuuzwa Mkoani Dar es Salaam ambapo hivi sasa Bei ya Mboga za Majani, Pilipili ( ambazo GENTAMYCINE napenda mno Kula ) pamoja na Matunda zimepanda maradufu.
Mkuu GENTAMYCINE , bila shaka umemis mboga mboga za mchina
 
Kwa hizi Mvua Kubwa na nyingi zinazonyesha sasa Nchini Tanzania nimetaarifiwa kuwa tayari zimeshaanza Kujaza Mito yetu Mikubwa kiasi kwamba muda si mrefu inaweza ikaanza Kufurika na kujuta hata kwanini kwa Uwongo, Roho Mbaya na Propaganda zetu tuliamua Kumtupia lawama Mchina Mkulima wa Ruvu kuwa ndiyo pekee anazuia Maji kutopatikana Mkoani Dar es Salaam na Kukatikakatika hovyo kwa Umeme wa Tanesco.

Je, huu siyo wakati mzuri wa Kumruhusu Yule Mchina Mkulima aendelee kuyatumia kwa Kumwagilia Mazao yake kwani tayari Mkoa wa Dar es Salaam Maji yanatoka mengi, Visingizio vya Kutokuoga vimeshapungua sasa na Umeme haukatiki tena na tishio la kuwepo kwa Mgao haupo?

Tanzania ndiyo Nchi pekee duniani ambayo ina Watendaji na Viongozi wa 'ajabu ajabu' mpaka kwa Maamuzi yao ila ndiyo hao hao kila Siku wanapata Doctorates ( PhD's ) ambao furaha yao Kubwa ni kuona Wanaandikwa au Wanatajwa kwa Neno la 'Dakta' fulani.

Tafadhali hebu mruhusuni haraka huyo Mwekezaji ( Mkulima Mchina ) mliyemzuia asiendelee Kuyachepusha Maji ya Mto Ruvu kwa Kumwagilia Mashamba yake aendelee Kuyachepusha ili Mazao yake yakue haraka na yawe kwa Wingi kisha yake Kuuzwa Mkoani Dar es Salaam ambapo hivi sasa Bei ya Mboga za Majani, Pilipili ( ambazo GENTAMYCINE napenda mno Kula ) pamoja na Matunda zimepanda maradufu.
Sheria za mvunaji maji toka mtoni zinasemaje? Kwanini muwekezaji anafanya kizamani. Awekeze na kufanya umwagiliaji wa matone ni mzuri kuliko kuharibu maji yote hayo. Maji ni uhai
 
Kwa hizi Mvua Kubwa na nyingi zinazonyesha sasa Nchini Tanzania nimetaarifiwa kuwa tayari zimeshaanza Kujaza Mito yetu Mikubwa kiasi kwamba muda si mrefu inaweza ikaanza Kufurika na kujuta hata kwanini kwa Uwongo, Roho Mbaya na Propaganda zetu tuliamua Kumtupia lawama Mchina Mkulima wa Ruvu kuwa ndiyo pekee anazuia Maji kutopatikana Mkoani Dar es Salaam na Kukatikakatika hovyo kwa Umeme wa Tanesco.

Je, huu siyo wakati mzuri wa Kumruhusu Yule Mchina Mkulima aendelee kuyatumia kwa Kumwagilia Mazao yake kwani tayari Mkoa wa Dar es Salaam Maji yanatoka mengi, Visingizio vya Kutokuoga vimeshapungua sasa na Umeme haukatiki tena na tishio la kuwepo kwa Mgao haupo?

Tanzania ndiyo Nchi pekee duniani ambayo ina Watendaji na Viongozi wa 'ajabu ajabu' mpaka kwa Maamuzi yao ila ndiyo hao hao kila Siku wanapata Doctorates ( PhD's ) ambao furaha yao Kubwa ni kuona Wanaandikwa au Wanatajwa kwa Neno la 'Dakta' fulani.

Tafadhali hebu mruhusuni haraka huyo Mwekezaji ( Mkulima Mchina ) mliyemzuia asiendelee Kuyachepusha Maji ya Mto Ruvu kwa Kumwagilia Mashamba yake aendelee Kuyachepusha ili Mazao yake yakue haraka na yawe kwa Wingi kisha yake Kuuzwa Mkoani Dar es Salaam ambapo hivi sasa Bei ya Mboga za Majani, Pilipili ( ambazo GENTAMYCINE napenda mno Kula ) pamoja na Matunda zimepanda maradufu.
Mkuu, habari za mihangaiko.
Nafikiri hivi sasa hata yeye hayahitaji.
Mvua zinamtosha.
 
Wewe mleta mada subiri mgao wa umeme wa siku kumi ndipo ulete hoja hii.Tupo bize kuandaa mpango kazi!!!
===
Haya mambo bwana...unawasha machine utengeneze kifaa cha mteja huku roho hiko juu juu...maana haujui umeme unakatika saa ngapi.

Hivi wanajua wanachokifanya juu ya uchumi na usalama wa nchi hii?
 
Sheria za mvunaji maji toka mtoni zinasemaje? Kwanini muwekezaji anafanya kizamani. Awekeze na kufanya umwagiliaji wa matone ni mzuri kuliko kuharibu maji yote hayo. Maji ni uhai
Umwagiliaji wa matone unafaa sehemu ambapo relative humidity ya eneo husika ni zaidi ya 60%. Ukilazimisha hii kitu, ETo itakuangusha! Watu wa Kilimo cha kisasana utaalamu wanaweza kunikosoa hapa.
 
Ahahaha nimecheka kbl sijasoma content tz hii siyo kwa vituko
 
Umwagiliaji wa matone unafaa sehemu ambapo relative humidity ya eneo husika ni zaidi ya 60%. Ukilazimisha hii kitu, ETo itakuangusha! Watu wa Kilimo cha kisasana utaalamu wanaweza kunikosoa hapa.
Chief fafanua hapo kwenye ETo na humidity kuwa zaidi ya 60% niongeze maarifa mkuu.
 
Anaendelea na kilimo Kama kawaida zile zilikua siasa...
 
Soko la mboga mboga China ni kubwa sana. Kazi ya TIS ilitakiwa kuiba Siri za fursa nje ya nchi na kuwapa watz wazitumie na sio kuisaidia ccm kuiba kura. China wanataka kwa wingi matunda, mfano maparachichi, mapapai, maharage ya soya, alizeti, ufuta, nyanya, mananasi lakini ni nani ataweza wapa wakulima taarifa hizi.
 
Hilo la mchina mbona dogo..yalitengenezwa matukio mengi makubwa hapo nyuma na kimya kilikuwa kikubwa!!
 
Back
Top Bottom