Je, Zanzibar ni Sauzi?

Je, Zanzibar ni Sauzi?

Binti yangu amefanya kazi kwenye hotel moja Zanzibar aliwahi kukosa huduma za hospitali Kwa siku tatu mfululizo kisa mtu wa bara mpaka bosi wake ambaye ni Mzanzibar alipoingilia kati,Kwa hiyo ubaguzi Zanzibar upo.

Mkuu huo si ubaguzi bali ni sheria na taratibu zilivyo.
 
Ni kweli kama ulivyosema, ila fanya utafiti wa jambo hili, Je lipo??!
Halafu uje utueleze kweli ama si kweli.

Mkuu tatizo maelezo hayajitoshelezi. labda tukuulize baadhi ya maswali ukitupa majibu tunaweza anza kuona mwanga
 
Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
 
Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.

Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.

Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.

Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.

Baada ya muda waliachana kweli.

Mchakato ukanzia hapa.

Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?

Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.

Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.😥😥😥😥😡😕
Hadithi ya kutunga
 
matatiizo mengine binaadamu huwa tunajitafutia, wewe ushaona kuwa Sheria za visiwani haziruhusu Mbara kumiliki ardhi , lakini bado unakuta mtu ananunua eneo na kujenga nyumba. Matatizo mengine ni ya kujitafutia. na wapo wengi sana waliofanya hivo.
Aliuziwaje kama haturuhusiwi? Huyu hajaeleza vizuri, mjomba wake alijenga kwenye kiwanja cha familia ya mke. Hata kwa sheria za bara unatimuliwa
 
Sisi watu wa Bara wajinga sana,tantalila nyingi ila vitendo ziro,hawa jamaa wakija Bara hakuna kuwauzia ardhi ndio dawa yao,sasa tatizo linakuja kwa Waswahili,wao kuuza ardhi ni kama kuuza karanga tu. Tuwe na misimamo kama Wahaya,Wachaga na Wanyaki hawauzi ardhi hovyo kwa mgeni
Mnasahau mlituulia wazee wetu kwa maelfu mwaka 1964 na mnaendelea kuuwa kila ufikapo uchaguzi kuhakikisha mnaendelea kututawala. Damu Za mliowauwa inaendelea kuwatesa mpaka hapo mtapoomba radhi na kutupa uhuru wetu, Hiyo ni karma inawatesa
 
Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.

Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.

Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.

Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.

Baada ya muda waliachana kweli.

Mchakato ukanzia hapa.

Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?

Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.

Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.😥😥😥😥😡😕
Shauri yake. Kwanini akaoe Zanzibar ilhali warembo wako tele bara.
Unaoa mke hata kufuga kuku na kutunza bustani ya mchicha hawezi, acha hiyo hata kwenda sokoni hawezi.
 
Back
Top Bottom