Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Uwiiiii kumbe mshenga mwenyewe ni Ney wa mitego!!! Haya kumekucha team mobeto wachafua nyota mko api??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii post imenifanya niende insta Kumbeeeeee Jana mAmbo yalikuwa ni fireeeeeeeCheiiiiii mambo ni fire.
Ugonjwa wa zari ni kuonekana kwenye camera, hawezi kuishi bila diamond, kama pesa zipo za ivan, mkenya alimpa Gari kalikataa maana anajua hatoweza kuonekaba kwenye camera.(yaan huko kanisani)Ohoo let's wait and see
Hii post imenifanya niende insta Kumbeeeeee Jana mAmbo yalikuwa ni fireeeeeee
Ugonjwa wa zari ni kuonekana kwenye camera, hawezi kuishi bila diamond, kama pesa zipo za ivan, mkenya alimpa Gari kalikataa maana anajua hatoweza kuonekaba kwenye camera.(yaan huko kanisani)
Kama mapenzi, sidhani ni ishu kwakwe, maana, ana njia mbadala sio lazima mwaume.
Zari shida yake aonekane kwenye mitandao TV ,mipicha kibao. Mshenzi sana huyu mwanamke, muda huu wote ananuonea hamisa wivu,
Ahaaaaa rudi uyaone diamond ni wa wengi, alienda mwenyewe atarud mwenyewe, akichoka atandoka mwenyewe.
Zari uoni aibu mtoto wako kumfanana baba wa kambo?
Watoto wake sijui aoni aibu, sijui anawambiaga kaenda wap?
Kwa hiyo na salome, Hamisa ndo aliipaisha siyo
Kosa kubwa atakalojutia maisha yake yote ni kurudiana na Mond
Humjui chinga ndo maanaChinga Too Low for This Come On.............
Chinga ni Team WCB ,Diamond Special Thread ,Hata kama ni timu WCB kuna habari nyingine sio habari bali ni taarifa tu unaziweka kwenye comment na haina haja ya sredi.Humjui chinga ndo maana
Baada ya masaa takribani 13,tangu hit maker wa African Beuty na King of Pop in Afrika ambaye bado anasumbua na ngoma aliyoshirikishwa na harmonize "Kwangwaru,Diamond Platnumz maarufu kama Chibu Dee kuachia kichupa cha karne "Iyena" hatimaye Star wa Manzese True Boy "Nay wa mitego ameibuka na kumwagia sifa kijana huyo ambaye leo amenunua 😀😀page zote za instagram na youtube kwa kazi nzuri ya wimbo huo uliopo kwenye album ya A boy from Tandale.
Katika post yake huko IG Nay amesifia kazi nzuri na kumlaumu Diamond kwa kupuyanga na "Mapugi machafua nyota" .
Aidha,Nay amesema anafanya mpango aongee na mama Tee ili yaishe jambo hilo limemfurahisha Zari ambapo amelike na Kukomenti post hiyo kwa kuweka emoji ya Kusalimu amri...View attachment 791644
Je hii ni ishara kwamba Mama Nillan yuko tayari kurudi Madale?
Toa maoni yako
Hawajaachana hawa, walikuwa wanatengeneza kIck tu.Jamani hivi hamjui tu mpaka leo hawa wawili wanacheza michezo? Na episodes zao wanazipangilia vizuri kweli... Wao zinazidi kubanana kwenye vibubu vyao sisi kazi yetu kuwasemea
This photo is more than a videoMmmmmh
Inaelekea mulimumisi hadi mnatunga yenu..
Na hivi kavutia wengi kuangalia kideo hicho..
Kinda a woman who really likes to be talk of the town all the time...Ugonjwa wa zari ni kuonekana kwenye camera, hawezi kuishi bila diamond, kama pesa zipo za ivan, mkenya alimpa Gari kalikataa maana anajua hatoweza kuonekaba kwenye camera.(yaan huko kanisani)
Kama mapenzi, sidhani ni ishu kwakwe, maana, ana njia mbadala sio lazima mwaume.
Zari shida yake aonekane kwenye mitandao TV ,mipicha kibao. Mshenzi sana huyu mwanamke, muda huu wote ananuonea hamisa wivu,
Ahaaaaa rudi uyaone diamond ni wa wengi, alienda mwenyewe atarud mwenyewe, akichoka atandoka mwenyewe.
Zari uoni aibu mtoto wako kumfanana baba wa kambo?
Watoto wake sijui aoni aibu, sijui anawambiaga kaenda wap?
Hawajaachana hawa, walikuwa wanatengeneza kIck tu.
Kuna siku niliangalia Behind the scene ya ''African beauty'', nikamuona Zari yupo among Directors.
Baada ya hapo nikajua, wajinga na wenye roho mbaya ndio wanaoliwa.
Baaya ya Kuona hii ya ''Iyena'', ndo imenithibitishia kabisa kuwa hawa ni wa kufa na kuzikana.
Kwake kaona habariChinga ni Team WCB ,Diamond Special Thread ,Hata kama ni timu WCB kuna habari nyingine sio habari bali ni taarifa tu unaziweka kwenye comment na haina haja ya sredi.
Ugonjwa wa zari ni kuonekana kwenye camera, hawezi kuishi bila diamond, kama pesa zipo za ivan, mkenya alimpa Gari kalikataa maana anajua hatoweza kuonekaba kwenye camera.(yaan huko kanisani)
Kama mapenzi, sidhani ni ishu kwakwe, maana, ana njia mbadala sio lazima mwaume.
Zari shida yake aonekane kwenye mitandao TV ,mipicha kibao. Mshenzi sana huyu mwanamke, muda huu wote ananuonea hamisa wivu,
Ahaaaaa rudi uyaone diamond ni wa wengi, alienda mwenyewe atarud mwenyewe, akichoka atandoka mwenyewe.
Zari uoni aibu mtoto wako kumfanana baba wa kambo?
Watoto wake sijui aoni aibu, sijui anawambiaga kaenda wap?
Sukari kwa waremboA boy from Tandale anagombaniwa kama mpira wa kona
Nitakuja mimi sasa baby dady wake mpya nimuamishe tz nimpeleke huko amerikano akapate test ya maisha ya uzunguniMh ila huyu Dada anajiweza
Mi siyawezi kwakweli.ashaambiwa ukiachwa achika.....ndo kwanza km katiwa ndimu
Wakirudiana hamisa lazma alazwe baby dady wake wote wanakua occupied
Atakuona km messiah wake maana sio kwa kumuokoa huko.Nitakuja mimi sasa baby dady wake mpya nimuamishe tz nimpeleke huko amerikano akapate test ya maisha ya uzunguni