Tuliwaambia hawa wanatengeneza pesa,naona upande wa zari wamepata mshtuko mkubwa sanaJamani hivi hamjui tu mpaka leo hawa wawili wanacheza michezo? Na episodes zao wanazipangilia vizuri kweli... Wao zinazidi kubanana kwenye vibubu vyao sisi kazi yetu kuwasemea
Hivi ameandika nini huyu hamisa mobeto hapo juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ameandika nini huyu hamisa mobeto hapo juu
Ney ameshasema huyo ni pugiiiKapanic balaa. Jiwe limerushwa gizan akapiga kelele kubwa hahahahaha chuchunge ana kazi mno kila anapoenda anakua rejected
Ney ameshasema huyo ni pugiii
Wamejaa kwenye page ya babu tale wanaombea zari agome kutoa msamahaKila kona wamebaki na maumivu duh aiseeee pugi na fans wake wana shida
Wamejaa kwenye page ya babu tale wanaombea zari agome kutoa msamaha
Hahahahahah ....ila babu tale ananiudhi ...haleti mrejesho anakulakula tu south Kule kanifanya nikammwagie povu tuHahahaha aiseee halafu sijui kwann hawaongelei makochi ambayo zari aliyabadilisha na kuleta mengine. Wangeacha kupanic wangezichambua picha vizuri
Hahahahahah ....ila babu tale ananiudhi ...haleti mrejesho anakulakula tu south Kule kanifanya nikammwagie povu tu
Aseee kaendaaa hakuna cha kutengeneza paleHahahaha ila siamin kama kaenda labda wanazitengeneza tu picha za zamani. Si ana kesi huyu mahakaman