Je, Ziara ya Rais Samia nchini Marekani inaweza kuinfluence uchaguzi utaofanyika novemba 5?

Je, Ziara ya Rais Samia nchini Marekani inaweza kuinfluence uchaguzi utaofanyika novemba 5?

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?


Samia amekuja US kisirisiri na watoto wake walitangulia kisirisiri na Emirates. Wamekuja kutafuta biashara za familia tu hapa USA hawana jipya.
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Umerukwa na akili?
 
Samia amekuja US kisirisiri na watoto wake walitangulia kisirisiri na Emirates. Wamekuja kutafuta biashara za familia tu hapa USA hawana jipya.
Hiyo event aliyokuja nayo ni ya kisiri siri.
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Wamatekani watu wa democracy na usawa 😂😂 wampe mwanamke nchi waone moto na wao.

Nchi yetu inamahusiano mazuri na kila nchi duniani hahah nashangaa sana kwani sisi hatuna conflict of interest na nchi hata moja jamani???

Kipendwa gani huku kila nchi inakuja kuwekeza Tz tu hadi nchi zilizo kwenye vita duniani zinakuja kuwekeza huku duh...

Wananaake wanajua kufungua mipaka na marekani ipate raisi wa kike ifungue mipaka sasa 😂😂😂
 
Nimecheka sana aisee unajua kuna vitu unavisoma JF hadi unakosa hamu ya kula mzigo
Hata mie nimeshangaa sana. Watanania 99% hawaijui nchi yao ina status gani kimataifa. Sijui hata jirani zangu hapa wanamjua Samia achilia mbali Tanzania maana wengi huwa wananiuliza hivi Tanzania ipo wapi?
 
Marekani = Carlo Ancelloti.

Tanzania = Selemani Matola.
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
No tone la maji katika Bahari.

Hana impact, na watu wa USA hawana taarifa kuwa Kuna mtu anaitwa MAMA ABDUL yupo Marekani 🤣🤣🤣😃😃..

Samia ni Bongo tu ambako ana chawa kila kona!! Anasikika, akikwea PIPA akatua USA hamna kitu, kuwepo wake na kutokuwepo yote ni sawa😀😀😀
 
Sidhani kama luninga za huko zilitangaza ujio wake, nadhani hauwajui wamarekani vizuri, jiulize uwanja wa ndege mwenyeji wake aliyempokea alikuwa ni nani? kama sio balozi wa tz
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?

Samia hana influence yeyote kwani hakuchaguliwa kuwa rais.
Wamarekani wanafanya uchaguzi wa rais
 
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.

Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.

Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.

Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.

Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Itabidi wakurungwa wamuandalie speech nzito ya kimisimamo yenye kuonesha uzito wa kiuongozi kwa wanawake kwa dunia ya sasa katika kuifanya dunia kama sehemu safi na salama zaidi.
 
Huu ni Uchawa uliovuka mipaka!
Huku Mkwe wake anavuruga uchaguzi wa Serikali za mitaa harafu kule Wamarekani waseme anaweza?
Utekaji na Mauaji umeshamiri huku harafu wamarekani waseme anaweza?
Naamini kule akikutana na waandishi wa habari atakimbia!
 
Back
Top Bottom