Tumuulize Kiranga au Nyani NgabuJe, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Wachonganishi bhana 😂😂 unatuonaje kwaniSamia amekuja US kisirisiri na watoto wake walitangulia kisirisiri na Emirates. Wamekuja kutafuta biashara za familia tu hapa USA hawana jipya.
Umerukwa na akili?Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Tukupe wewe nchi 😂😂Kwa ukilaza wa Samia, basi Kamala atakosa urais
Wamatekani watu wa democracy na usawa 😂😂 wampe mwanamke nchi waone moto na wao.Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Hata mie nimeshangaa sana. Watanania 99% hawaijui nchi yao ina status gani kimataifa. Sijui hata jirani zangu hapa wanamjua Samia achilia mbali Tanzania maana wengi huwa wananiuliza hivi Tanzania ipo wapi?Nimecheka sana aisee unajua kuna vitu unavisoma JF hadi unakosa hamu ya kula mzigo
No tone la maji katika Bahari.Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Itabidi wakurungwa wamuandalie speech nzito ya kimisimamo yenye kuonesha uzito wa kiuongozi kwa wanawake kwa dunia ya sasa katika kuifanya dunia kama sehemu safi na salama zaidi.Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao.
Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais.
Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa nchini marekani.
Samia kama Rais mwanamke ziara yake ni muhimu sana kwa Bi. Kamala kwani inaweza wafanya wamarekani kuona kuwa kama Samia anaweza basi Kamala naye ataweza.
Je, Safari hii ya Samia kipindi karibia na uchaguzi Inaweza badili fikra za wamarekani kwa kupata Rais wa kwanza mwanamke?
Wanabeba mabox ngoja wamalize shift zao waje kutema nyongo.Tumuulize Kiranga au Nyani Ngabu