Mpendwa Zitto,
Salam sana. Ama baada ya salamu naomba nichukue nafasi hii kukupa pole na majukumu uliyonayo pamoja na misukosuko yake.
Ukiacha suala la Dowans, kujitoa kwenye kugombea nafasi ya uenyeketi CHADEMA - Taifa, kumeonyesha kukosa kwako principles. Huku kunapelekea wewe kuyumba na kupoteza sifa za uongozi bora.
Kuhamia CCM kutakuwa jambo la mbolea kwani huko hakuna watu wenye principles na pia unaweza ukawa juu ama ukapotezwa kabisa katika ramani ya siasa za Tanzania.
Vipi kuhusu kuachana na siasa na kujikita katika academia? Nadhani kungekufaa zaidi. Sijui ni jinamizi gani aliyekushauri ukaachana na wazo hili.
Walijua lazima utachemsha soon or later baada ya kukuona ni mtu usiye na principles na kama unazo basi huishi kwazo.
Pole sana, ndio ya kidunia. Maisha ni mapambano lakini angalia sana kwani kikulacho ki nguoni mwako.
Wakatabahu
Mapinduzi.
Hivi swala la Dowans Zito alitoa sababu gani? kwa nini alitaka inunuliwe? maana hii ishu ipo tu kama magazeti ya udaku, ukiwza kujibu mswali hayo utajijua unafuata mkumbo au la! au unafuata mawazo ya Mwakyembe?
Kufa kisiasa hayo mawazo yako, wengi wanampenda Zito,
Halafu je wote mkiwa wapinzani hamuwezi kutofautiana kimawazo? ili nalo linahitaji uzee kidogo? kila kitu mkumbo akitokea mwenye mawazo ya tofauti , msaliti and we alwayscry TUWAZE
Ukiacha suala la Dowans, kujitoa kwenye kugombea nafasi ya uenyeketi CHADEMA - Taifa, kumeonyesha kukosa kwako principles. Huku kunapelekea wewe kuyumba na kupoteza sifa za uongozi bora.
kati ya controversial ambazo hana budi kurethink the direction in political race ni hizo; 1.dowans2.vying for chairmanship.
1.Dowans; ulitaka tununue tu mitambo wakati wanaharakati wote wakikataa, na kufikia kuongea lugha zisizo na nidhamu kwa mh. Mwakyembe-people discredit for that!
2.Chairmanship;nakuunga mkono kujitoa kwa sababu ulikuwa umejichimbia kaburi la kisiasa, too eary kwa sisi kukuamini kama unaweza kuongoza chama cha vijana na wazee. nimestudy the way unawatreaty wazee, nikaona, bado, huwezi. the way ulivyodili na mwakyembe, sitta na slaa hivi majuzi, bado
wayfoward; stop politicing youth wing, sababu your very senior to them in national issues, ikiwezekana achana na vyeo ndani ya chama, show that u r loyal even out of system. stop connection with untrusted networks.
otherwise mwakani utakuwa mwisho wa siasa zako, wakati siasa zitapokuwa tamu zaidi-when smart, neat and intellectual politics will prevail.
Akiondoka nafasi yake utachukua wewe? au mwingine atakayekuja uttaka asiwaze wala kusema mawazo yake kwa sababu atakuwa kinyume na wanaharakati?
Au kwako wewe ni nani mpiganaji asiyetofautiana na wenzake hata kidogo(robot??)
Hilo kaburi la kisiasa ni lipi ebu eleza how? ni jinsi gani angejichimbia?
jamani siyo kijiwe hiki! message wanaoandika wengi hawaandiki HAYA YOTE MWISHO WAKE NI NINI?
Hivi unafikiri Zito ana la kupoteza?
Graduates wengine mko wapi basi, au ndio kuishia kukopa magari, kupanga sinza na kusimamia harusi!!!!
Naomba mnisaidie ni mpambanaji gani mtakaye believe in him/her? maana hili linarudisha nyuma wengi sana
SIJAONA MKISEMA LOLOTE JUU YA CHADEMA KUIBAKA DEMOKRASIA, are you thinking in one direction only?, even blind changes directions.
CHADEMA kw ujumla wanafaa kuongoza nchi? lengo letu ni CCM waondoke , je hayatotokea ya Kenya? wapinzani wanachukua kesho wanamwaga damu kisa hawataki kutoka madarakani??
We need to think twice though, hizi post hazijengi lolote maana hazimuharibii zito zinaharibu na kurudisha nyuma wapiganaji wooote, kila mtu anaandik taarabu.
Kesho utamsems Slaa,
then ....
the.....