kati ya controversial ambazo hana budi kurethink the direction in political race ni hizo;
Naamini ulikuwa na maana ya Controversies
1.Dowans; ulitaka tununue tu mitambo wakati wanaharakati wote wakikataa, na kufikia kuongea lugha zisizo na nidhamu kwa mh. Mwakyembe-people discredit for that!
Ina maana wanaharakati ambao wengi wapo nje ya sekta wanapokataa ndio lazima wawe right? Na kama kiongozi anapewa mitizamo na wataalamu ambayo inaonyesha umuhimu wa kufanya uamuzi mgumu, aache kuufanya mradi kuna wanaharakati wanakataa? Hivi wanaharakati ndio kina nani haswa? Mnataka tuendelee kuwa na viongozi wanaopita kufanya maamuzi yanayowahakikishia umaarufu wao tu bila ya kuheshimu ushauri wa kitaalamu? No wonder tunazidi kujaza na kuabudu mediocres ambao huishia kutupiga longolongo na ofa za kahawa....
2.Chairmanship;nakuunga mkono kujitoa kwa sababu ulikuwa umejichimbia kaburi la kisiasa, too eary kwa sisi kukuamini kama unaweza kuongoza chama cha vijana na wazee. nimestudy the way unawatreaty wazee, nikaona, bado, huwezi. the way ulivyodili na mwakyembe, sitta na slaa hivi majuzi, bado
Too early manake nini? So CCM wanaposema its too eraly to have full fledge democracy wako sawa?
wayfoward; stop politicing youth wing, sababu your very senior to them in national issues, ikiwezekana achana na vyeo ndani ya chama, show that u r loyal even out of system. stop connection with untrusted networks. otherwise mwakani utakuwa mwisho wa siasa zako, wakati siasa zitapokuwa tamu zaidi-when smart, neat and intellectual politics will prevail.
Huu uzembe wa kufikiri huu. Ni vipi iwe makosa kufanya siasa katika political party youth wing. Yaani haya madhila ya mfumo fisadi yametuchanganya akili kabisa. Kanisa na miskiti inapokuja na ilani za uchaguzi tunawashangilia, wanasiasa wanapofanya siasa ndani ya asasi za vyama vyao tunawakaripia...Hivi ni mdudu gani anatusmbua kiasi hiki?
Yawezekana kukawa na ongezeko kubwa la smart politicians (wajanjawajanja) lakini hili la neat and intellectuals i berg to differ. unawezaje kupata neat politicians katika mazingira ya siasa za matumbo zilizogubikwa na patronage mentality chini ya mfumo fisadi?
Mnapokosoa mjaribu kuja na critique zilizosimama jamani....ili wote kwa pamoja tuelimike.....
omarilyas