Jean Baleke anasepa, Simba hawana striker msimu ujao

Umevimbiwa
 
Pale Leaders club leo alikuwa anafanya nini? Unachekesha sana
 
Chama naye ni majeruhi
Kanoute hawezi cheza match mbili
Kapombe si wa kumtegemea
Mohammed Hussein tia maji tia maji
Israel Mwenda hawezi cheza vizuri
Inonga huwezi mtegemea
Kenedy Juma amenenepa sana
Banda majeruhi kinyama


Kifupi Simba hawana team. Au nasema uongo?
 
Naona mihogo na kachumbari imepanda kichwani sasa!
 
NYUZI ZA UTOPOLO ZINASIKITISHA SANA.

"HAKUNA UMASIKINI MBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA"
Mwalimu Nyerere.
 
Aibu yako hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…