Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Huku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo

Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa tatu congo (baada ya kassavubu aliyekuwa wa kwanza,alifuata Mobutu)

Mobutu alimpenda sana Niwa si kwa vitendo tu bali hata maneno.katika moja ya barua mobutu aliyomtumia Niwa aliandika "kipenzi changu jean paul"

Bali na Mobutu kumuandaa Niwa kuiongoza Zaire pia alimuandaa kuwa mkuu wa ukoo na kiongozi wa familia, alimpa jukumu la kuifariji familia wakati wa matatizo ambapo Mobutu alikua mbali na nyumbani

Mobutu aliwahi kumshauri niwa katika moja ya barua alizomtumia

"Ninaamini sàsa upo katika umri wa kuelewa baadhi ya mambo, nakushauri kuwa makini sana na ndugu wa ukoo wetu maana wamekua wakitusaliti eitha moja kwa moja au kivingine, kuwa makini sana na mahusiano nao.

"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwAo"

Niwa kwa haraka haraka anaonekana Alikua kijana mstaarAbu aliyefuata nyayo za baba yake


KIFO
Matumaini ya Mobutu ya kuona mwanae akiiongoza Zaire yalikatishwa na kifo cha nyiwa mwanzoni mwa miaka ya 90

Nyiwa-Mobutu-Marie-Rose-Gbadolite-Octobre-1978.jpeg
le-prsident-zairois-mobutu-sese-seko-reoit-le-pape-jeanpaul-ii-de-picture-id860900276.jpeg
Mobuto.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwa ndo aliekufa kwa ukimwi ?
Ndio wanasema hivo.
Baada yake alikufa mdogo wake aliyeitwa konga mobutu na ndio ukawa mwanzo wa vifo katika familia ya Mobutu

Mtaani walisema Mobutu alikiuka masharti ya waganga.huku wengine wakasema ni mizimu inachukua watoto aliowapenda

Mobutu yeye alijibu kwa kusema
"Mimi ni mkristo naamini ni majaribu tu nayopitia"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wanasema hivo.
Baada yake alikufa mdogo wake aliyeitwa konga mobutu na ndio ukawa mwanzo wa vifo katika familia ya Mobutu

Mtaani walisema Mobutu alikiuka masharti ya waganga.huku wengine wakasema ni mizimu inachukua watoto aliowapenda

Mobutu yeye alijibu kwa kusema
"Mimi ni mkristo naamini ni majaribu tu nayopitia"

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha yule mzee alikuwa mshirikina sana huo ukiristo aliujulia wapi !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha yule mzee alikuwa mshirikina sana huo ukiristo aliujulia wapi !?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua anaenda sana kanisani kila jumapili then Akitoka anawakaribisha waumini kwake anawapa pesa mpya mpy kabisa

Nadhani kuwa kwake mshirikina ilimbidi tu kutokana na cheo chake bila hivo angeuliwa.unapokua rais/dikteta unakua na maadui wengi

Ndio maana katika moja ya barua aliyomuandikia niwa alisema hivi
"Haya maisha ya kisiasA mara nyingi yanatulazimu kutoa kafara zaidi na zaidi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua anaenda sana kanisani kila jumapili then Akitoka anawakaribisha waumini kwake anawapa pesa mpya mpy kabisa

Nadhani kuwa kwake mshirikina ilimbidi tu kutokana na cheo chake bila hivo angeuliwa.unapokua rais/dikteta unakua na maadui wengi

Ndio maana katika moja ya barua aliyomuandikia niwa alisema hivi
"Haya maisha ya kisiasA mara nyingi yanatulazimu kutoa kafara zaidi na zaidi"

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa kwenda kwake kanisani ilikuwa ni kutafuta sympathy tu katika jamii na kuwateka watu kifikira sio kweli kwamba alikuwa na imani ya dhati kwa mungu .. mtu atoaye watu kafara na mungu ni wapi na wapi !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa kwenda kwake kanisani ilikuwa ni kutafuta sympathy tu katika jamii na kuwateka watu kifikira sio kweli kwamba alikuwa na imani ya dhati kwa mungu .. mtu atoaye watu kafara na mungu ni wapi na wapi !?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]mkuu katika barua ile hakusema ni kafara gani.si unajua kuna za mbuzi,ng'ombe hata kuku

But nadhani kanisani alienda kwa imani kwani toka akiwa kijana alilichukia kanisa akaacha na kwenda

Alienda baadaye sana.sijui nani alimshauri.ila aliwahi kukaa miaka bila kwenda kanisani sababu akiwa mwanafunzi alikatishwa masomo na ma padre na kumpeleka jeshini kama adhabu maana alitoroka shule akaenda ku spend week nzima na demu huko kinshasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wanasema hivo.
Baada yake alikufa mdogo wake aliyeitwa konga mobutu na ndio ukawa mwanzo wa vifo katika familia ya Mobutu

Mtaani walisema Mobutu alikiuka masharti ya waganga.huku wengine wakasema ni mizimu inachukua watoto aliowapenda

Mobutu yeye alijibu kwa kusema
"Mimi ni mkristo naamini ni majaribu tu nayopitia"

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa kiume wote wa mke wa kwanza Mama Antoinnete walikufa wote. Nadhani walikuwa wanne wa kiume kati ya watoto tisa aliozaa na mke wake wa kwanza.
 
[emoji23]mkuu katika barua ile hakusema ni kafara gani.si unajua kuna za mbuzi,ng'ombe hata kuku

But nadhani kanisani alienda kwa imani kwani toka akiwa kijana alilichukia kanisa akaacha na kwenda

Alienda baadaye sana.sijui nani alimshauri.ila aliwahi kukaa miaka bila kwenda kanisani sababu akiwa mwanafunzi alikatishwa masomo na ma padre na kumpeleka jeshini kama adhabu maana alitoroka shule akaenda ku spend week nzima na demu huko kinshasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa kiume wote wa mke wa kwanza Mama Antoinnete walikufa wote. Nadhani walikuwa wanne wa kiume kati ya watoto tisa aliozaa na mke wake wa kwanza.
Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani

Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah mkuu
Naskia alifanya mengi.alikua mpaka na vyumba kwake anaingia yeye tu peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom