Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Felix TshesekediHuku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo
Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa tatu congo (baada ya kassavubu aliyekuwa wa kwanza,alifuata Mobutu )
Mobutu alimpenda sana Niwa si kwa vitendo tu bali hata maneno.katika moja ya barua mobutu aliyomtumia Niwa aliandika "kipenzi changu jean paul"
Bali na Mobutu kumuandaa Niwa kuiongoza Zaire pia alimuandaa kuwa mkuu wa ukoo na kiongozi wa familia,alimpa jukumu la kuifariji familia wakati wa matatizo ambapo Mobutu alikua mbali na nyumbani
Mobutu aliwahi kumshauri niwa katika moja ya barua alizomtumia
"Ninaamini sàsa upo katika umri wa kuelewa baadhi ya mambo,nakushauri kuwa makini sana na ndugu wa ukoo wetu maana wamekua wakitusaliti eitha moja kwa moja au kivingine, kuwa makini sana na mahusiano nao.
"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwAo"
Niwa kwa haraka haraka anaonekana Alikua kijana mstaarAbu aliyefuata nyayo za baba yake
KIFO
Matumaini ya Mobutu ya kuona mwanae akiiongoza Zaire yalikatishwa na kifo cha nyiwa mwanzoni mwa miaka ya 90
View attachment 1004662View attachment 1004663View attachment 1004664View attachment 1004667View attachment 1004668
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe alikuwa mzee wa mikwaju....Niwa ndo aliekufa kwa ukimwi ?
YeahHalafu walikuwa wanamuabudu walikuwa wanaimba anaesema Mobutu atakufa ni Muongo, Mobutu ataishi milele.
Yeap
Sio milionea sema bilioneaIla Mobutu alikuwa millionea jamani,watoto wake wote wamesoma Ulaya na Marekani kuanzia primary mpaka vyuo.Birthday zilikuwa zinafanyika kwenye makasri ya Mobutu Ufaransa.Ila jamaa alijisahau mpaka mwisho wake ukawa mbaya.
Uko sahihi mkuu
Hapo ndipo alikosea.
Kuhusu mabeberu pia upo sahihi.
Kuna siri alimpa bodyguard wAke mwaka 1997 baada ya kupinduliwa.waliongea wawili tu chumbani.mpaka leo sijaona mahali jamaa akiiongelea wazi alisema tu Mobutu alimwambia mengi ikiwapo hiyo siri ambapo Mobutu alitapeliwa/kuingizwa mkenge na mabeberu
Siku nikimpata jamaa nitamuuliza kama atasema nita share humu mazungumzo yao hayo ambayo Mobutu hakutaka watu wengine wayasikie akawafukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu walikuwa wanamuabudu walikuwa wanaimba anaesema Mobutu atakufa ni Muongo, Mobutu ataishi milele.
Lokuta moneneHii nyimbo inaitwaje nimeipenda nataka nichukue audio yake ni set ringtone
Millionea nilimaanisha kwa USDSio milionea sema bilionea
Yule alikuwa ni bilionea hata kwa hizo USDMillionea nilimaanisha kwa USD
Duhh!!! hahaaaHalafu walikuwa wanamuabudu walikuwa wanaimba anaesema Mobutu atakufa ni Muongo, Mobutu ataishi milele.
Yeah jamaa alikuwa na mawe ile mbayaYule alikuwa ni bilionea hata kwa hizo USD
Millionea nilimaanisha kwa USD
Ha ha ha!Aisee kumbe alikuwa mzee wa mikwaju....
ukishakuwa na pesa mingi shughuli ambayo inabaki ni hiyo tu....hakuna namna
Mashairi mengi Luambo kamsifu sana Mobutu