Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani

Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo si ndo mtoto wa Bobi Ladawa,tena kamuoa dada yake JP Bemba, kwa nini kakimbilia Marekani?Tatizo Mobutu alijisahau mno, angeshtuka mapema akang'atuka kama alivyofanya Nyerere. Yote yaliyomkuta yasingemkuta.
 
Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani

Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa sasa mtu ameoa wanawake kibao . Kila mama ana tamani mtoto wake ndio apewe kipaumbele"maelewano yatatoka wapi... kwa hiyo alitaka kuigeuza congo kuwa nchi ya familiar !?, hilo lingewezekana lakini tatizo wakati ana tawala alijijengea maadui wengi. Kiasi ambacho baada ya kupatwa na down fall akakosa hata mtu wakum support ili aweze walau kumsaidia kuitimiza ndoto yake .... yaonekana pia,aligombana na mabeberu " ambao ndio walimuweka madarakani " so hilo linechangia pia kuweza kushindwa kukirithisha kizazi chake utawala wa congo

Kwa sababu waliamua kuibadilisha chain kwa kabila (mzee) baada ya kuona mobutu kaota mapembe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa sasa mtu ameoa wanawake kibao . Kila mama ana tamani mtoto wake ndio apewe kipaumbele"maelewano yatatoka wapi... kwa hiyo alitaka kuigeuza congo kuwa nchi ya familiar !?, hilo lingewezekana lakini tatizo wakati ana tawala alijijengea maadui wengi. Kiasi ambacho baada ya kupatwa na down fall akakosa hata mtu wakum support ili aweze walau kumsaidia kuitimiza ndoto yake .... yaonekana pia,aligombana na mabeberu " ambao ndio walimuweka madarakani " so hilo linechangia pia kuweza kushindwa kukirithisha kizazi chake utawala wa congo

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu
Hapo ndipo alikosea.
Kuhusu mabeberu pia upo sahihi.

Kuna siri alimpa bodyguard wAke mwaka 1997 baada ya kupinduliwa.waliongea wawili tu chumbani.mpaka leo sijaona mahali jamaa akiiongelea wazi alisema tu Mobutu alimwambia mengi ikiwapo hiyo siri ambapo Mobutu alitapeliwa/kuingizwa mkenge na mabeberu
Siku nikimpata jamaa nitamuuliza kama atasema nita share humu mazungumzo yao hayo ambayo Mobutu hakutaka watu wengine wayasikie akawafukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi mkuu
Hapo ndipo alikosea.
Kuhusu mabeberu pia upo sahihi.

Kuna siri alimpa bodyguard wAke mwaka 1997 baada ya kupinduliwa.waliongea wawili tu chumbani.mpaka leo sijaona mahali jamaa akiiongelea wazi alisema tu Mobutu alimwambia mengi ikiwapo hiyo siri ambapo Mobutu alitapeliwa/kuingizwa mkenge na mabeberu
Siku nikimpata jamaa nitamuuliza kama atasema nita share humu mazungumzo yao hayo ambayo Mobutu hakutaka watu wengine wayasikie akawafukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh mzee baba itabidi nikutafute unipe kitengo .. yaweza kukuta naongea na mkuu wa Usalama wa congo hapa ...

Tafadhali usiseme hapana aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo si ndo mtoto wa Bobi Ladawa,tena kamuoa dada yake JP Bemba, kwa nini kakimbilia Marekani?Tatizo Mobutu alijisahau mno, angeshtuka mapema akang'atuka kama alivyofanya Nyerere. Yote yaliyomkuta yasingemkuta.
Ndio mkuu
Ni mtoto wa bobi ladawa. Alikimbia nadhani sababu alichukia kufukuzwa kazi na kabila, waligombana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh mzee baba itabidi nikutafute unipe kitengo .. yaweza kukuta naongea na mkuu wa Usalama wa congo hapa ...

Tafadhali usiseme hapana aise

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] mkuu am just a nobody
Mimi ni kijana tu ninayetumia muda mwingi kusoma na kufanya utafiti kuhusu Zaire na Mobutu
Ndani yake ndio nakutana na details nyingi za hivo

Mobutu pia alisema angechapisha documments za siri kuhusu marekani na mabaya yake Africa ila Afya naona ilimzuia maana alitumia muda mwingi hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] mkuu am just a nobody
Mimi ni kijana tu ninayetumia muda mwingi kusoma na kufanya utafiti kuhusu Zaire na Mobutu
Ndani yake ndio nakutana na details nyingi za hivo

Mobutu pia alisema angechapisha documments za siri kuhusu marekani na mabaya yake Africa ila Afya naona ilimzuia maana alitumia muda mwingi hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa asinge thubutu .. CIA wasinge muacha salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda hata walimuua
Maana kuna kipindi Afya yake iliimarika ila ghafla akalazwa hosp then akafa.
Wanasema wengine kuwa aliishiwa kabisa damu

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ... kwa mtu kama yule nadhani kuna 85% ya kukutwa na hicho ulicho kisema .. tatizo la ubaya wa system unaweza kupandikiziwa jasusi ambaye anaweza kuwa hata mkeo na usijue kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee ... kwa mtu kama yule nadhani kuna 85% ya kukutwa na hicho ulicho kisema .. tatizo la ubaya wa system unaweza kupandikiziwa jasusi ambaye anaweza kuwa hata mkeo na usijue kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah mkuu
Ila binadamu wabaya sana.mzee alijikuta yuko peke ake kila mtu alimsaliti kimbilio lake likawa familia yake tu

Usiombe uishi maisha ya kuwindwa uuliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawe una vielement vya uchawi kumbe umepata kwa bibi?
Hahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah mkuu
Ila binadamu wabaya sana.mzee alijikuta yuko peke ake kila mtu alimsaliti kimbilio lake likawa familia yake tu

Usiombe uishi maisha ya kuwindwa uuliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee dunia mbaya sana haswaa uki bank krupt huto muona no body " lakini tatizo ile ni karma mkuu ... hawaku mtendea wema Lumumba

Pia wakati wa utawala wake mobutu aliumiza watu wengi Sana ..so ile ni radhi tu ya ulimwengu ili mrejea "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee dunia mbaya sana haswaa uki bank krupt huto muona no body " lakini tatizo ile ni karma mkuu ... hawaku mtendea wema Lumumba

Pia wakati wa utawala wake mobutu aliumiza watu wengi Sana ..so ile ni radhi tu ya ulimwengu ili mrejea "

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Maybe kweli ni karma.siasa ni mchezo mchafu sana
Umejaa visasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo

Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa tatu congo (baada ya kassavubu aliyekuwa wa kwanza,alifuata Mobutu )

Mobutu alimpenda sana Niwa si kwa vitendo tu bali hata maneno.katika moja ya barua mobutu aliyomtumia Niwa aliandika "kipenzi changu jean paul"

Bali na Mobutu kumuandaa Niwa kuiongoza Zaire pia alimuandaa kuwa mkuu wa ukoo na kiongozi wa familia,alimpa jukumu la kuifariji familia wakati wa matatizo ambapo Mobutu alikua mbali na nyumbani


Mobutu aliwahi kumshauri niwa katika moja ya barua alizomtumia
"Ninaamini sàsa upo katika umri wa kuelewa baadhi ya mambo,nakushauri kuwa makini sana na ndugu wa ukoo wetu maana wamekua wakitusaliti eitha moja kwa moja au kivingine, kuwa makini sana na mahusiano nao.

"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwAo"

Niwa kwa haraka haraka anaonekana Alikua kijana mstaarAbu aliyefuata nyayo za baba yake


KIFO
Matumaini ya Mobutu ya kuona mwanae akiiongoza Zaire yalikatishwa na kifo cha nyiwa mwanzoni mwa miaka ya 90
View attachment 1004662View attachment 1004663View attachment 1004664View attachment 1004667View attachment 1004668

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ile airport aliyoijenga chatto ya zaile?
 
Ila Mobutu alikuwa millionea jamani,watoto wake wote wamesoma Ulaya na Marekani kuanzia primary mpaka vyuo.Birthday zilikuwa zinafanyika kwenye makasri ya Mobutu Ufaransa.Ila jamaa alijisahau mpaka mwisho wake ukawa mbaya.
Alikua na akili sana licha ya kasoro zake
Ndio maana hata jiwe namkubali somehow alivopga 1.5

Mobutu zaidi ya 30% ya national budget ilikua yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom