Huyo si ndo mtoto wa Bobi Ladawa,tena kamuoa dada yake JP Bemba, kwa nini kakimbilia Marekani?Tatizo Mobutu alijisahau mno, angeshtuka mapema akang'atuka kama alivyofanya Nyerere. Yote yaliyomkuta yasingemkuta.Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani
Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa sasa mtu ameoa wanawake kibao . Kila mama ana tamani mtoto wake ndio apewe kipaumbele"maelewano yatatoka wapi... kwa hiyo alitaka kuigeuza congo kuwa nchi ya familiar !?, hilo lingewezekana lakini tatizo wakati ana tawala alijijengea maadui wengi. Kiasi ambacho baada ya kupatwa na down fall akakosa hata mtu wakum support ili aweze walau kumsaidia kuitimiza ndoto yake .... yaonekana pia,aligombana na mabeberu " ambao ndio walimuweka madarakani " so hilo linechangia pia kuweza kushindwa kukirithisha kizazi chake utawala wa congoAngekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani
Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuuHahaa sasa mtu ameoa wanawake kibao . Kila mama ana tamani mtoto wake ndio apewe kipaumbele"maelewano yatatoka wapi... kwa hiyo alitaka kuigeuza congo kuwa nchi ya familiar !?, hilo lingewezekana lakini tatizo wakati ana tawala alijijengea maadui wengi. Kiasi ambacho baada ya kupatwa na down fall akakosa hata mtu wakum support ili aweze walau kumsaidia kuitimiza ndoto yake .... yaonekana pia,aligombana na mabeberu " ambao ndio walimuweka madarakani " so hilo linechangia pia kuweza kushindwa kukirithisha kizazi chake utawala wa congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh mzee baba itabidi nikutafute unipe kitengo .. yaweza kukuta naongea na mkuu wa Usalama wa congo hapa ...Uko sahihi mkuu
Hapo ndipo alikosea.
Kuhusu mabeberu pia upo sahihi.
Kuna siri alimpa bodyguard wAke mwaka 1997 baada ya kupinduliwa.waliongea wawili tu chumbani.mpaka leo sijaona mahali jamaa akiiongelea wazi alisema tu Mobutu alimwambia mengi ikiwapo hiyo siri ambapo Mobutu alitapeliwa/kuingizwa mkenge na mabeberu
Siku nikimpata jamaa nitamuuliza kama atasema nita share humu mazungumzo yao hayo ambayo Mobutu hakutaka watu wengine wayasikie akawafukuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuuHuyo si ndo mtoto wa Bobi Ladawa,tena kamuoa dada yake JP Bemba, kwa nini kakimbilia Marekani?Tatizo Mobutu alijisahau mno, angeshtuka mapema akang'atuka kama alivyofanya Nyerere. Yote yaliyomkuta yasingemkuta.
[emoji23] mkuu am just a nobodyDuhh mzee baba itabidi nikutafute unipe kitengo .. yaweza kukuta naongea na mkuu wa Usalama wa congo hapa ...
Tafadhali usiseme hapana aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa asinge thubutu .. CIA wasinge muacha salama[emoji23] mkuu am just a nobody
Mimi ni kijana tu ninayetumia muda mwingi kusoma na kufanya utafiti kuhusu Zaire na Mobutu
Ndani yake ndio nakutana na details nyingi za hivo
Mobutu pia alisema angechapisha documments za siri kuhusu marekani na mabaya yake Africa ila Afya naona ilimzuia maana alitumia muda mwingi hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda hata walimuua
Aisee ... kwa mtu kama yule nadhani kuna 85% ya kukutwa na hicho ulicho kisema .. tatizo la ubaya wa system unaweza kupandikiziwa jasusi ambaye anaweza kuwa hata mkeo na usijue kituHuenda hata walimuua
Maana kuna kipindi Afya yake iliimarika ila ghafla akalazwa hosp then akafa.
Wanasema wengine kuwa aliishiwa kabisa damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah mkuuAisee ... kwa mtu kama yule nadhani kuna 85% ya kukutwa na hicho ulicho kisema .. tatizo la ubaya wa system unaweza kupandikiziwa jasusi ambaye anaweza kuwa hata mkeo na usijue kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee dunia mbaya sana haswaa uki bank krupt huto muona no body " lakini tatizo ile ni karma mkuu ... hawaku mtendea wema LumumbaYeah mkuu
Ila binadamu wabaya sana.mzee alijikuta yuko peke ake kila mtu alimsaliti kimbilio lake likawa familia yake tu
Usiombe uishi maisha ya kuwindwa uuliwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa haya bhanaNawe una vielement vya uchawi kumbe umepata kwa bibi?
MkuuAisee dunia mbaya sana haswaa uki bank krupt huto muona no body " lakini tatizo ile ni karma mkuu ... hawaku mtendea wema Lumumba
Pia wakati wa utawala wake mobutu aliumiza watu wengi Sana ..so ile ni radhi tu ya ulimwengu ili mrejea "
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ile airport aliyoijenga chatto ya zaile?Huku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo
Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa tatu congo (baada ya kassavubu aliyekuwa wa kwanza,alifuata Mobutu )
Mobutu alimpenda sana Niwa si kwa vitendo tu bali hata maneno.katika moja ya barua mobutu aliyomtumia Niwa aliandika "kipenzi changu jean paul"
Bali na Mobutu kumuandaa Niwa kuiongoza Zaire pia alimuandaa kuwa mkuu wa ukoo na kiongozi wa familia,alimpa jukumu la kuifariji familia wakati wa matatizo ambapo Mobutu alikua mbali na nyumbani
Mobutu aliwahi kumshauri niwa katika moja ya barua alizomtumia
"Ninaamini sàsa upo katika umri wa kuelewa baadhi ya mambo,nakushauri kuwa makini sana na ndugu wa ukoo wetu maana wamekua wakitusaliti eitha moja kwa moja au kivingine, kuwa makini sana na mahusiano nao.
"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwAo"
Niwa kwa haraka haraka anaonekana Alikua kijana mstaarAbu aliyefuata nyayo za baba yake
KIFO
Matumaini ya Mobutu ya kuona mwanae akiiongoza Zaire yalikatishwa na kifo cha nyiwa mwanzoni mwa miaka ya 90
View attachment 1004662View attachment 1004663View attachment 1004664View attachment 1004667View attachment 1004668
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuuKuna vitu naendelea kujifunza kuhusu Mabutu seseko.... asanteni wadau.!
Alikua na akili sana licha ya kasoro zakeIla Mobutu alikuwa millionea jamani,watoto wake wote wamesoma Ulaya na Marekani kuanzia primary mpaka vyuo.Birthday zilikuwa zinafanyika kwenye makasri ya Mobutu Ufaransa.Ila jamaa alijisahau mpaka mwisho wake ukawa mbaya.