Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #161
Mkuu mimi siishi zaireNimekusoma toka page 1 mpaka mwisho nimepata kitu kichwani kuhusu Zaire, vp we hujawahi fika huko au unaishi huko?
Duh! Mkuu huyu Mzee ambaye alimkabidhi Lumumba kwa kina Tshombe akauwawa huko Katanga kwa usimamizi wa mabeberu huyu huyu aliyechangia kudhoofisha harakati za ukombozi huku kusini mwa Africa akisaidiana na makaburu huyu huyu anayetajwa kuwa fisadi mkubwa kuwahi kutokea Africa leo unasema aliipenda Congo kweli!Hahaha mkuu
Aliipenda ila tatizo pesa alikua hawezi kujibana.bank kuu ya zaire aliifanya kama mpesa yake
Ila mwisho alisema hivi "hata wa kwangu wananilenga na bunduki,sina tena cha kuifanyia hii nchi" then akakaa kimya .alikua kwenye ndege anaenda uhamishoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, wakati lumumba anauliwa Mobutu alikua kinshasa. Alimueka house arrest lumumba pale kinshasa ila lumumba akatoroka mwenyewe matokeo yake akakamatwa hukoDuh! Mkuu huyu Mzee ambaye alimkabidhi Lumumba kwa kina Tshombe akauwawa huko Katanga kwa usimamizi wa mabeberu huyu huyu aliyechangia kudhoofisha harakati za ukombozi huku kusini mwa Africa akisaidiana na makaburu huyu huyu anayetajwa kuwa fisadi mkubwa kuwahi kutokea Africa leo unasema aliipenda Congo kweli!
Nasikia Bongo Movie inabamba sana Zaire kama si tunavyo ikubali Ndomboroo
Mkuu huwezi kumtenga Mobutu na mauaji ya Lumumba alimuweka kizuizini na kumkabidhi kwa wahuni wa Katanga na kuhusu Ussr ni kwamba Lumumba aliamua kuomba msaada huko baada ya UN kwa ushawishi wa US kukataa kushirikiana nae kumaliza uasi wa Katanga kifupi huyu Mobutu ni msaliti mkubwa wa Congo ndio maana Karma ilimtafuna akafia ukimbiziniMkuu, wakati lumumba anauliwa Mobutu alikua kinshasa. Alimueka house arrest lumumba pale kinshasa ila lumumba akatoroka mwenyewe matokeo yake akakamatwa huko
Unajua lumumba pia alikua anatumiwa na mabeberu ? Ilikua hivi. Lumumba alitumiwa na wasoshalisti ussr walitaka kupandikiza ideas zao pale congo kitu ambacho aliyekua rais wakati huo mzee kassavubu alikikataa akamfukuza kazi lumumba lumumba akakataa kuacha ofice akawa na kakikundi kake ka waasi .rais akamuagiza mobutu ambaye alikua chief of staff amkamate lumumba. Mobutu akaamua awapige chini wote awe rais yeye kwa kusaidiwa na US
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huoni huyo padri kamwandalia njia kuwa Rais kwa kwenda jeshini. Pengine angeachwa aendelee na masomo bila kwenda jeshini asingeipindua serikali ya Kasavubu na Wala tusingemfahamu. Sijui kwanini aliwachukia waliomwandalia njia.[emoji23]mkuu katika barua ile hakusema ni kafara gani.si unajua kuna za mbuzi,ng'ombe hata kuku
But nadhani kanisani alienda kwa imani kwani toka akiwa kijana alilichukia kanisa akaacha na kwenda
Alienda baadaye sana.sijui nani alimshauri.ila aliwahi kukaa miaka bila kwenda kanisani sababu akiwa mwanafunzi alikatishwa masomo na ma padre na kumpeleka jeshini kama adhabu maana alitoroka shule akaenda ku spend week nzima na demu huko kinshasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa wanaenda kupiga shooSio bongo movie tu hadi bongo fleva inapendwa wasanii wa maigizo kama late kanumba, ray na majuto wanamashabiki huko, Ali kiba na diamond na aslay kule wanavuma hapo wasanii kama martha mwaipaja na shusho na bahati bukuku wanamajina sana congo
Napenda kiswahili cha kicongo kwa nn Congo wanaongea sana kiswahili kuliko Wazambia?Wacongoman hupenda pia kiingereza hii fursa wapo baadhi ya wakenya na waganda wanamadarasa ya kiingereza kwenye miji kadhaa kama Kinshasa, goma, kisangani, lubumbashi na kadhalika
Napenda kiswahili cha kicongo kwa nn Congo wanaongea sana kiswahili kuliko Wazambia?
Ndio wanasema hivo.
Baada yake alikufa mdogo wake aliyeitwa konga mobutu na ndio ukawa mwanzo wa vifo katika familia ya Mobutu
Mtaani walisema Mobutu alikiuka masharti ya waganga.huku wengine wakasema ni mizimu inachukua watoto aliowapenda
Mobutu yeye alijibu kwa kusema
"Mimi ni mkristo naamini ni majaribu tu nayopitia"
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
alikuwa anapenda juju sana huyo ndiyo maana hakuwaacha ma" chef coutimier" kwa kifaransa au masultani kwa swahili ya drc wana uwakilishi bungeni mpaka leo .
ndiyo maana aliwaweka masultani na ndiyo ilikuwa jazi yao uchawi in french "chef coutimier"Haha yule mzee alikuwa mshirikina sana huo ukiristo aliujulia wapi !?
Sent using Jamii Forums mobile app
in drc r.catholic ndiyo majority naye alikuwaHahaa kwenda kwake kanisani ilikuwa ni kutafuta sympathy tu katika jamii na kuwateka watu kifikira sio kweli kwamba alikuwa na imani ya dhati kwa mungu .. mtu atoaye watu kafara na mungu ni wapi na wapi !?
Sent using Jamii Forums mobile app
mabutu ni mtu wa equateur ni north pamoja na jean pierre bemba but wakasai wanatoka pronvince ya kasai- oriental(mashariki) na kasa -lomani na kasai central ziko south wana boda na angola ndiko kwa kina shalamwana and "mutwashi" is their dance kama unajua bolingoHahaa mkuu mimi bibi yake mama yangu ana elements za huko kwa kina mobutu kabila lao ni kasai ... so najua baadhi ya mambo kiasi kuhusu watu/viongozi wa congo " kuhusiana na habari zao za witchcraft ..so huyo mobutu hauwezi kumtoa kwenye hizo drama maana na yeye nimfuasi mzuri wa hayo mazingaombwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah najuamabutu ni mtu wa equateur ni north pamoja na jean pierre bemba but wakasai wanatoka pronvince ya kasai- oriental(mashariki) na kasa -lomani na kasai central ziko south wana boda na angola ndiko kwa kina shalamwana and "mutwashi" is their dance kama unajua bolingo