Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Ni kweli kwamba Rais hasikii sauti hizi...

Kweli!?
Mbona mi ningezira hata huo Urais wenyewe.
Tuendelee kupaza sauti, mama ni msikivu. Inawezekana aliingizwa chaka na washauri/ wasidizi, ila na sisi wananchi tuna nafasi yetu ya kusukuma huu ukweli mpaka auelewe
 
Serikali ichutame katika jambo hili na ifanye jambo sahihi baada ya kutupiwa mgogole wenye ushauri mzuri ijivike na kusimama wima kisha kutekeleza haya yote wanayoshauriwa na wananchi wa Tanganyika nini ifanye kuondokana na fedheha hii ya karne
Kwa nini uchutame?
Mkataba una shida gani?
 
Yaani toka kelele hizi ziwepo Rais hajaongea Jambo lolote .Naanza kusaini huyu Samia yupo kwenye kuuzwa Kwa BANDARI hizi.
Hukumsikia?
Alisha sema yeye ni mTanzania.

Alikumbuka kulisema hilo, kwa vile alijihisi kuwa kuna watu wanamwona yeye ni MZanzibari kwanza, kabla ya kuwa mTanzania.
 
Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM Mh. John Magufuli ashangaa Mradi wa Bandari Wenye Masharti ya ukichaa


  • Land-Lease tofauti na ya wananchi kwa miaka 99 kwa mwekezaji
  • Kodi TRA hawataiona
  • Tumekopa fedha 1 Trilioni kuboresha magati ya bandari ya Dar es Salaam nani atalipa deni hili mwekezaji akichukua
  • Bandari ya Tanga hairuhusiwi kuendelezwa bila ruhusa ya mwekezaji wakati tayari Tanzania ina makubaliano na Uganda kuhusu bomba la mafuta la kutoka Hoima Uganda hadi bandarini Tanga
  • Bilioni 337 zimetumika kuboresha bandari ya Mtwara ipokee mafuta halafu mwekezaji anasema ni yake haturuhusiwi
  • Bandari ya Kilwa pia iwe yao
  • Bandari ya Lindi
  • N.k n.k
Huyu mzee kuna maeneo lazima akumbukwe kwa misimamo yake, sijui kwasasa tuna kiongozi wa aina gani?!
 
Magufuli naye alizingua. Kama China, Oman na Tanzania wange Implement ule mradi, haya ya DP WORLD yasingekuwako.

Mshenzi yule aliponda Bagamoyo Port halafu akaenda kuanzisha Project ya UKICHAA ya kufanya kijiji chake cha Chato kiwe Mkoa. Mungu akasema subiri hunijui
Magufuli ndie aliwatuma muende kumpa mwarabu mkataba usio na ukomo?

Muwe mnafikiria kidogo kabla ya kujiandikia tu.
 
Wakili msomi anachambua kwa namna hata asiyeelewa anaelewa.

Hizi ndo hoja tunazpzimiss kutoka kwa wasomi wetu
 
Magufuli ndie aliwatuma muende kumpa mwarabu mkataba usio na ukomo?

Muwe mnafikiria kidogo kabla ya kujiandikia tu.
Wewe ungetumia akili usingeandika hivyo ulivyoandika. Nasema kama mradi wa Bagamoyo Port unge click, leo hii DP WORLD wasingekuwa hapa wakutafuta biashara
 
Wewe ungetumia akili usingeandika hivyo ulivyoandika. Nasema kama mradi wa Bagamoyo Port unge click, leo hii DP WORLD wasingekuwa hapa wakutafuta biashara
Magufuli hana kosa kwenye hili, usimlaumu, kama hiyo bandari ilikosa mwekezaji ingesubiri, lakini sio kwenda kumpa mwarabu mkataba wa hovyo namna ile halafu useme kama asingekuwa Magufuli...

Magufuli hakumtuma msaliti akakubaline na zile terms za hovyo.
 
Ni wazi Serikali ya Samia haina mpango wa kusikiliza maoni ya wananchi zaidi ya kufanya spinning na wasanii na wanasiasa.

Kabla hatujaingia barabarani kama wananchi wa Sri Lanka, nashauri tufungue kesi ya kikatiba dhidi ya huo mkataba.
Wamepewa rushwa ndefu unaona sky scrapers wanazoplan kujenga
 
19 June 2023

Ludovick Utouh - Mwananchi wa Tanzania Anayo Madaraka ya Kumuwajibisha Aliyempa Madaraka?




Mjadala unaendelea kuhusu serikali sikivu na jinsi ya kuwajibishwa pale kunapotokea ...
 
19 June 2023

TUNDU LISSU - MKATABA WA DP WORLD NI TOFAUTI NA ULE ULIOISHA WA TICTS. TANZANIA SASA INA BASES ZA DUBAI AMBAZO NI EXCLUSIVE ZONES HATUTAKIWI KUZIKANYAGA MILELE



Madhara yake ni kuwa umetengeneza sheria mpya kwa ajili ya DP World kuhodhi bandari zote na maeneo ya bandari kavu Tanzania ...

Hii ina maana kutakuwepo nchi ya UAE yenye mapande ya nchi ya Dubai ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ...

N.B
Naongezea ya kwangu mie wa JamiiForums hapa chini :
Oman ilikuwa na mapande ya nchi kuanzia Somalia, Kenya, Tanganyika, Zanzibar Mozambique na Congo miaka ya 1880 huku nchi kubwa ikiwa Oman. Ujerumani baadaye walikuwa na mapande ya nchi ya Ujerumani iliyoitwa Tanganyika, Urundi-Ruanda. Uingereza nayo baadaye ikawa na mapande yake Zanzibar , Tanganyika , Uganda, Kenya n.k
 
Magufuli hana kosa kwenye hili, usimlaumu, kama hiyo bandari ilikosa mwekezaji ingesubiri, lakini sio kwenda kumpa mwarabu mkataba wa hovyo namna ile halafu useme kama asingekuwa Magufuli...

Magufuli hakumtuma msaliti akakubaline na zile terms za hovyo.
Cause and effect relationships
 
Hatimaye kesi imefunguliwa Mbeya na Wakili Mwabukusi.
 
Back
Top Bottom