Jedwali la RA: Nani hayumo?

Dr Salim Ahmed Salim, Jaji Warioba na JSMalecela nao hawamo!
 
Nani anasimamia mradi wa Mwananchi Gold na ule wa Matinje Gold ulioko Igunga?
 
Yusuf Makamba=Katibu mkuu CCM [a] from RC=> kumsaidia Manji kupata ubunge kigamboni[uraia ukamtemesha], Manji=RA=> fadhila ukatibu mkuu

Mulla =Mwenyekiti CCM(M) Mbeya..[a]

Sumry=Mbunge S'wanga ...[a]

Mudhihir ?
 

Mkuu Mkjj hiyo sehemu inaitwa "ULYANKULU", mi nimewahi kuishi karibia na kambi hiyo ya wakimbizi kutoka Burundi. Japo naju hili halijaharibu maana nzima ya thread ila BULYANKULU ni tofauti kabisa na ULYANKULU, the former ni mgodini nafikiri itakuwa ni maeneo ya Nzega while the later ni Wilaya ya URAMBO kama sikosei ni kambi ya wakimbizi. ni hayo tu
 
Hon. H.E Dr. Jakaya Mrisho Kikwete (a) - President of URT and Chief of the Army.

Chief of the Army- Davis Mwamunyange? au, kama ni JK yeye ni Commander In Chief. Ni katika kuweka maelezo sawa sina ninalolijua zaidi ya haya niliyosahihisha.
 
Tanzania inaongozwa kama shamba la bibi,mafisadi wanawafadhili viongozi unategemea nini zaidi ya kuiba na kuambiwa warudishe walichoiba basi.
 
RA - NA CCM
Mwanakijiji thread yako ina mvuto sana tu.
Kwa mtizamo wangu tukimwangalia Rostam kama Rostam hatuwezi kupata picha kamili bila ya kumuusisha na CCM.

RA Aliingia CCM kama mtu wa kawaida tu. Lakini CCM Ndiyo iliyomtengeneza huyu RA tunayemwona sasa hivi. Rostam alipewa wadhifa wa mweka Hazina ndani ya CCM, Kazi yake ilikuwa kupitapita kwa jamaa yote ya waasia walioko Tanzania ambao wanazo ili wachangie Chama cha Mafisadi, Katika uchangiaji wake waasia hao wamekuwa wakinufaishwa sana na wadanganyika wanaoingia madarakani kwani wanatambua michango yao, wamekuwa wakinufaishwa katika Tenda, misamaha ya kodi na upendeleo wa kila aina ,na wakati mwingine hutumiwa kupitisha fedha chafu za Mafisadi Hao. Watu kama Chande, Jeetu Patel ,Somaia na wengine ni wanufaikaje wakubwa sana na syndicate ya Mafisadi. Kwa upande mmoja utaona kama rostam ndiye aliyekuwa akiwasaidia watu mbalimbali, ukweli ni Tofauti , yeye alikuwa agent tu wa CCM .Na CCM iliposhindwa kutimiza bajeti ya kampeni hapo ndipo hutumia nguvu zake ndani ya serikali na RA ndo msimamizi wa fedha yote. Na ndiyo maana kila kona ambayo serikali ya CCM imetia mkono kuchukua fedha RA yupo. Na hili hata wao wanajua kuwa yeye ni Mastemind wa syndicate tu lakini inawahusisha watu wengi, hapo tujiulize kitu kimoja yeye hajawahi kuwa na Auhtority yeyete ndani serikali lakini anayo nguvu mpaka serikalini ya kuchota fedha , ni nani amempa hiyo jeuri? ni wao hao hao wanaoshikilia dola.
ROSTAM NI CCM NA CCM NI KAGODA NA KAGODA NI KIKETWE.

KIMAHESABU,
KIKWETE(AS PRESIDENT)=f(RA,CCM,KAGODA:EPA)

NIMEWASILISHA
 
amekaa kwenye board ya NSSF lini na kama nani? hebu fafanua hii
Kapuya amekwishakuwa waziri wa kazi na yeye ndie mwenye kupendekeza kwa Rais nani awe Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF na kama waziri huteua wajumbe wa bodi!! Kwa taarifa tu akiwa waziri mwenye dhamana, alimpetekeza Siraju Juma Kaboyonga akawa mwenyekiti wa NSSF wakati Manji anakomba fedha za wafanyakazi. Na kaboyonga sasa ni mbunge wa Tabora mjini anayewatetea mafisadi bungeni[ Mtetezi wa kampuni iliyokodisha reli RITES na mmoja wa wapinzani wakuu wa hoja za DR. Slaa]. GT kwahiyo Kapuya anaproxies!!
 
naona bado uko kwenye vitendawili na hadithi

na narudia mwacheni Mwamvita Makamba peke yake kama alivyo

Wana JF tuwe makini, tusije jikuta tunatoana macho humu, wewe ulimtaja Mwamvita angalia usije gombana na mumewe bure!.

GT nafikiri watamwacha turudi kwenye mada ya Jedwari la RA.
 
Au tuseme nchi hii ina Rais (aliye Ikulu) na pia ina Mgawa Madaraka a.k.a King-maker a.k.a RA a.k.a untouchable?
 
Ndo mambo yalivyo TZ yetu hii bwana.Si waziri amekataza kutaja mafisadi kwasababu hatuna mamlaka? Mkuu angalia, hili jedwari kama lina baraka za waziri wa utawala bora.
huyu mama ameamua kutaifisha haki ya kikatiba ya kila mtanzania kwenye suala moja tu....kuwataja mafisadi. Kusema mambo mengine ruksa sio kutaja mafisadi!!
 

MTZ hapa umeeleza point ya maana sana kuwa, tuangalie system na si mtu mmoja na ndiyo maana mwanakijiji anataka tuangalie ni jinsi gani system hiyo ina connection na RA. Kwa kuwa tumeshajua kuwa yeye ndiye masterminder wa wizi unaofanywa na CCM (system) basi tuangalie ni nani ambaye hayumo?. Likipatikana jibu sasa tutaanza kuichambua system.

Kumbuka wakati wa Mwalimu ilikuwa mfanyakazi serikalini ukiwa na mali zisizolingana na kipato chako, ulikuwa unaulizwa umezipataje? una biashara au una nini cha kukufanya uwe juu ya wenzako mnaopata mshahara sawa wa shs360 kwa mwezi?. Siku hizi ukiwa na mali watu wanakuita mjanja. Sasa kama system inawalea watu kama RA kuendelea kutamba japo watu wanapiga kelele basi something is wrong katika system nzima ya TZ.

Ukianza na watu kama RA na genge lake kuna nafasi kubwa sana ya kuwabana wale wa bandarini, TRA n.k, kwani hapo sasa system itaonekana kuwa haina ombwe ila kuendelea kuwaacha hawa walio na alama za spices mikononi kutawafanya wale wanaokula kwa umma na vijiko kuwa na confidence zaidi ya kuendelea kula.

Ikumbukwe kuwa CCM ndiyo hasa mlengwa wa hii system, kitu wanachokifanya wao kama "accounting officers" wa hazina ya nchi ni kuchota na kuwapa hawa akina RA type kwa kigezo cha ufanyabiashara wao ili warudishe kama misaada kwa Chama na ionekane kuwa wamesaidiwa badala ya kuwa wamewaibia wananchi. Na huu ndiyo ukweli wenyewe kuhusu system inavyoiibia nchi na watanzania.
 
Kwikwi ... hapa umekamatika

Labda Mkijiji ongeza jedwali special la walioko kwenye payroll ya RA

Game Theory cheo mtetezi wa RA na muharibu thread JF kwa ajili ya kumtetea!

Much respect Rwabugiri!
Game Theory anajaribu kushift mada itoke kwa RA.

You can't fool all people all the time
 
While it is true that our corruption problems are systemic and do not span from a single individual, it is also true there is an individual that is almost omnipresent when it comes to corruption.This individual is none other than Rostam Aziz.The master of grand corruption.

I am one of those advocating combating this in a systemic way, but at the same time realize that if you want to kill a snake, hit it hard on the head.

Rostam is the head of corruption in Tanzania.Hit nhim hard and every petty ape corruption baron will see you mean business.

Unfortunately I am convinced that will never happen.Not under the current administration.And if it does come back here and make me eat my own words.
 
Influence ya Kapuya na NSSF ni hivi yeye kama waziri wa kazi alimchagua ndugu yake Siraju Kaboyonga ambaye alikuwa EADB kuwa mwenyekiti wa bodi na pia baada ya kumfunga Rage, kapuya huyu akamfanyia mpango kaboyonga kuchukua jimbo la Tabora mjini ambalo Rage angekuwa mbunge wake
 
Dr Dau ni Fisadi mkubwa na nitamuanika hivi karibuni,Nini alikifanya Bandari na kwanini yeye na Mkullo hawaelewani?

Walikwaruzana wapi?na kwanini nasema DAU siyo Mtu safi..Wote wezi tu na Mungu atakuja kulipa.Mie nauliza hivi hakuna waganga wa kufanya mafisadi wawe vichaa?
 

Hivi kuna mtu aliye-imply huo upotoshaji unaousema?.......au hapa watu wanajaribu kuonyesha/kupambana na mafisadi........
............Hivi unaijua influence ya huyu RA au unaisikia tu.......

.......wengi wetu hapa tunaelewa jinsi system nzima ilivyo mbovu...na jinsi RA et al wanavyotumia udhaifu huo (kinara wake ikiwa UONGOZI) kutufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…