Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #141
Rostam ana watu wake katika vyombo vya usalama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rostam ana watu wake katika vyombo vya usalama?
Watu wa usalama wengi wao ni njaa mwanakijiji!! labda sijakuelewa unauliza kimtego au?
nadharia yangu ni kuwa kuna watu wa usalama ambao wako mikononi mwa Rostam; watu ambao hawawezi kunyosha vidole vyao kumgusa..
Na mimi nachangia jedwali langu kama lifuatavyo:
3. Dr Idris Rashidi=BOT+NBC= ACB(Akiba Commercial Bank)
Kwa hio, ACB+TANESCO=TMF(Tanzania Mtaji Fund)
NB:
Dr Rashid alikuwa mjumbe wa bodi ya REPOA mwaka 2006, akitokea TMF.
Rostam ana watu wake katika vyombo vya usalama?
- Na ni mwanasiasa pekee katika historia ya taifa letu toka tupate uhuru, anayeishi kwenye nyumba ya usalama, sasa hivi!
FMEs!
una maana gani anaishi kwenye nyumba ya usalama?
- Nyumba yake ya sasa Dar ni ya usalama mkuu!
FMES!
Rostam ana watu wake katika vyombo vya usalama?
Ok.. Huyu RA is not the King Maker as he is called.. He is an "agent".. He is an agent with information, persuasion power over the people in 'official-power' and also represents other interests. The IRAN agenda... Kagoda was not authorized by JK or Rostam because they simply did not have the authority.. It was Mkapa who gave the authorization for the strengthening of CCM.. However it had to be done in a special and seemingly fail safe way... Apson took care of that.. RA is the official money man.. He was put incharge of the distribution of these funds.. He did just tht.. However it appears ana multiple roles because he was the mtandao money man but also CCM in general..! By virtue of his position he has been able to take serious advantage of the people he gave cash... to push his personal agenda and that of the POWERS he represents... Sasa I'm forced to think slightly out of the box maana.. RA would have been untouchable had all the scandals not blown up in public through audits and the like.. Lakini jee... Is it plausible that MENGI can attack this guy and the rest of the wadosis without any backing? infact, if he were not under instructions... I mean come on.. Unless he has seriously changed too maana nae mwizi tuu..
(The way he acquired his plots pale mikocheni-michezo yao nakina Paul Mushi kule ardhi.. This guy stole land worth millions of dollars kwa kutumia usani..) Sasa who is Mengi representing maana lynching RA is not an easy job and it needs Backing ya Nguvu..
Maana ata wakina Baraka watakuwa wanajaribu kuinfuence kichinichini maana the Iran thing is a threat to their agenda... France was doing the same thing 40 yrs ago with Bokassa..they turned the other way while the guy murdered hundreds(in one case 100 children were beaten to death and he personaly took part-hakukuwa na condemnation) and possibly ate them.... because they needed Uranium.. In short.. this goes deep.
Lakini bottom line is huyu he must go down.. lakini it must be the people that take him down.. CCM must be weakened and it already has... thanks to RA et al. This is their most significant achievement for Tanzania's democracy to grow stronger.. Ironically achieved when the aim was to strengthen it. I dont particularly find any of the other parties appealing to me personally due to their current level of politics being utterly trivial.. But they are important, particularly CUF and CHADEMA.. They must use the weakness of CCM to increase their seats in Parliament and thus create an organ that can actually check the CCM-Executive..
Hio ripoti watu wenye akili hatuiheshimu tena ilijaaghiliba majungu na fitna ambazo zinaendelea mpaka leo
I agree with the suggestion that Mengi could have found a purpose.. But at the same time, his character makes me highly skeptical.. I think there is something else here.... Either the Govt ya JK inajaribu kucounter power ya Rostam in a clandestine fashion ama sijui nini.. Maana the existence of Rostam is a national security threat (for JK).. He cant openly fight him, the only thing he could do is tarnish his image.. force him to hide in the shadows.. ama kundi flani ndani ya CCM. SO far there are things that dont add up..