Jeff Bezos na wenzake wafanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu

Jeff Bezos na wenzake wafanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu

Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard.

Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu dollars za kimarekani 550 piga mara 15. Wafanyakazi wake wa Amazon wanalipwa dollar 12 kwa saa. Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.

Ndo maana watu wengi waliwaombea wasirudi duniani wapotelee huko huko milele. Afadhali mke wake waliyetalakiana amejotolea kugawa mabilioni kwenye charity kusaidia chakula na scholarship kwa wasiojiweza.

Ila yamerudi salama duniani. Dua la maskini halimpati tajiri.
Kwa hayo maelezo yako na figure ulizotoa mbona ni hela ya kukodi UBER, anyway kila MTU ana matumizi yake kulingana na hela yake, Kwa kuwa wewe hauna baiskeli haimzuii Diamond kununua Rolls Royce.
 
Kwa hayo maelezo yako na figure ulizotoa mbona ni hela ya kukodi UBER, anyway kila MTU ana matumizi yake kulingana na hela yake, Kwa kuwa wewe hauna baiskeli haimzuii Diamond kununua Rolls Royce.
550 million dollars kwa dakika ni hela ya kukodi Uber? Barabara ya mwendo kasi iligharimu 400 million dollars na watu walipiga gharama halisi ilikuwa 250 million dollars. Daraja la salender iligharimu 500 million dollars. Sasa hawa kuwa angani kwa dakika tu 550 million dollars wamekaa dakika 15 tu 550 m dollars x15 kama siyo kukufuru ni nini?
 
550 million dollars kwa dakika ni hela ya kukodi Uber? Barabara ya mwendo kasi iligharimu 400 million dollars na watu walipiga gharama halisi ilikuwa 250 million dollars. Daraja la salender iligharimu 500 million dollars. Sasa hawa kuwa angani kwa dakika tu 550 million dollars wamekaa dakika 15 tu 550 m dollars x15 kama siyo kukufuru ni nini?
Kubali ulikosea kuandika mwanzo siyo uedit ndo urudi, wewe uliandika Dola 550 Kwa dakika mara dakika 15 ni Sawa USD ngapi? Japo kwangu hii Stori siyo ngeni nilijaribu kukurejesha kwenye umakini na ndo maana nika kuquote
 
Nimetazama nikasikitika hata hawakuizunguka dunia ni kama vile wamerusha juu halafu wakarudi. Nikamuonea hurumajamaa aliyenunua siti kwa dollar sijui milioni 20, yani amefanana yulle mtu anayenunua malaya kwa pesa nyingi halafu within no time wazungu hao na pesa imeenda hivi hivi.
Mimi nilidhani wataingia space waizunguke dunia, kumbe ilikuwa tu wanavuka mstari ambao umekubaliwa kwamba ukiuvuka umeingia kwenye space basi na kurudi.
Mkuu hiyo ya mabilion ya watu kuishi chini ya dollar moja siyo jukumu lake maana pesa kaitafuta mwenyewe hajapewa hivyo ni uamuzi wake kusaidia au kutosaidia. Serikali yako yenyewe inaona bora kununua ma v8 wakati hakuna madarasa na hapo pesa hawajaitafuta wenyewe bali ni kodi unayoitoa wewe
Point! Jamaa anashadadia utazani alisaidia kumtafutia pesa Jeff. Kutoa ni kuzuri lakini pia ni hiyari yake.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard.

Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu dollars za kimarekani 550 million piga mara 15. Wafanyakazi wake wa Amazon wanalipwa dollar 12 kwa saa. Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.

Ndo maana watu wengi waliwaombea wasirudi duniani wapotelee huko huko milele. Afadhali mke wake waliyetalakiana amejotolea kugawa mabilioni kwenye charity kusaidia chakula na scholarship kwa wasiojiweza.

Ila yamerudi salama duniani. Dua la maskini halimpati tajiri.
Tafuteni zenu ndo mgawe
 
Yah niliona mnada ulianza na dollar milion 4, ila kaharibu pesa tu mimi nilidhani wataingia kwenye orbit wazunguke dunia yani sijaona kitu cha kulipia pea hiyo yote kwa kurushwa juu na kurudi chini
Pesa anazo
 
550 million dollars kwa dakika ni hela ya kukodi Uber? Barabara ya mwendo kasi iligharimu 400 million dollars na watu walipiga gharama halisi ilikuwa 250 million dollars. Daraja la salender iligharimu 500 million dollars. Sasa hawa kuwa angani kwa dakika tu 550 million dollars wamekaa dakika 15 tu 550 m dollars x15 kama siyo kukufuru ni nini?
Ndo tukazane kutafuta hela unyonge sio sifa nzuri
 
Maafrika ni mambwa kabisa,wewe unafikiri matumizi ni kuhonga tu na kunywa vibia uchwara

Kwa taarifa yako Jeff anakwenda kuvuna mabilioni kwenye huo mradi wake wa space

Ni suala tu la muda ila ana uhakika wa kulamba mabilion ya $$$$$ ndani ya kipindi kifupi sana

Habu fikiria kama akina Vasco da gama na wenzake wasingetumia mabilion kutangatanga baharini leo hii ulaya pangekuwa na hali gani
 
Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.
Kote ulikuwa sahihi lakini hapa umeharibu and I seriously hate this kind of mindset.

Mawazo ya masikini siku zote anadhani mtu akiwa tajiri basi ni wajibu wake kusaidia masikini, kitu ambacho ni ujinga hata kukifikiria.

Masikini ni masikini kwa sababu ya uvivu wake wa kufikiri na makosa yake yeye mwenyewe na hakuna wa kumlaumu.
Na tajiri ni tajiri sababu ya akili na jasho lake mwenyewe na hivyo sio wajibu wake kusaidia yoyote yule.

Considering kila mtu amezaliwa peke yake na ana malengo yake duniani so no damn's given.

Na ndio maana utakuta masikini wengi wanaishia kulaumu serikali.

Kama nia yako ya kuwa duniani ni kusaidia masikini basi kuwa tajiri then be it kama ni rahisi.
 
Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard.

Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu dollars za kimarekani 550 million piga mara 15. Wafanyakazi wake wa Amazon wanalipwa dollar 12 kwa saa. Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.

Ndo maana watu wengi waliwaombea wasirudi duniani wapotelee huko huko milele. Afadhali mke wake waliyetalakiana amejotolea kugawa mabilioni kwenye charity kusaidia chakula na scholarship kwa wasiojiweza.

Ila yamerudi salama duniani. Dua la maskini halimpati tajiri.
Unajua ana charity ngapi duniani? Masikini wengi sijui mkoje? Wivu tu.
 
Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard.

Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu dollars za kimarekani 550 million piga mara 15. Wafanyakazi wake wa Amazon wanalipwa dollar 12 kwa saa. Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.

Ndo maana watu wengi waliwaombea wasirudi duniani wapotelee huko huko milele. Afadhali mke wake waliyetalakiana amejotolea kugawa mabilioni kwenye charity kusaidia chakula na scholarship kwa wasiojiweza.

Ila yamerudi salama duniani. Dua la maskini halimpati tajiri.
Tafuta zako usimpangie matumizi
 
550 million dollars kwa dakika ni hela ya kukodi Uber? Barabara ya mwendo kasi iligharimu 400 million dollars na watu walipiga gharama halisi ilikuwa 250 million dollars. Daraja la salender iligharimu 500 million dollars. Sasa hawa kuwa angani kwa dakika tu 550 million dollars wamekaa dakika 15 tu 550 m dollars x15 kama siyo kukufuru ni nini?
Kufuru ni kwako mkuu.

Yaani unataka kulinganisha uchumi wa marekani na utajiri wa jeff na Tanzania?

You can't be serious.
 
Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard.

Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu dollars za kimarekani 550 million piga mara 15. Wafanyakazi wake wa Amazon wanalipwa dollar 12 kwa saa. Mabilion ya wanadamu wenzake duniani wanaishi chini ya dollar kwa siku na hata mlo mmoja shida.

Ndo maana watu wengi waliwaombea wasirudi duniani wapotelee huko huko milele. Afadhali mke wake waliyetalakiana amejotolea kugawa mabilioni kwenye charity kusaidia chakula na scholarship kwa wasiojiweza.

Ila yamerudi salama duniani. Dua la maskini halimpati tajiri.
Wenzetu wamefika huku wakati sisi tupo busy kumnyonga mnyonge kwa kumuongezea tozo zisizo na kichwa wala miguu!!
 
Unajua ana charity ngapi duniani? Masikini wengi sijui mkoje? Wivu tu.
Ana mawazo ya kimaskini kama mwendazake aliye taka matajiri waishi kama mashetani. Kwa kifupi kwa kuwa yeye alikua maskini aliwachukia matajiri na kutaka kila mtu maskini/mnyonge kama yeye.
 
Back
Top Bottom