Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Leo tumecheza vizuri saana pale nyuma, tumecjeza kwa nidhamu ya hali ya juu, hatujaruhusu makosa ya kijinga kabisa, tumekaba kwa nidhamu mnoo,

Sijaona beki ya simba ikicheza hivi kwa muda kidogo.. Ukweli hivi karibuni tumekuwa na makosa ya kizembe mnoo pale nyuma, leo ni kama tulikuwa na ukuta wa el cholo na vijana wake kina diego godin.
 
Leo tumecheza vizuri saana pale nyuma, tumecjeza kwa nidhamu ya hali ya juu, hatujaruhusu makosa ya kijinga kabisa, tumekaba kwa nidhamu mnoo,

Sijaona beki ya simba ikicheza hivi kwa muda kidogo.. Ukweli hivi karibuni tumekuwa na makosa ya kizembe mnoo pale nyuma, leo ni kama tulikuwa na ukuta wa el cholo na vijana wake kina diego godin.
Uko sahihi kabisa. Nadhani huyu kocha ni kocha mzuri sana, ametambua kwa upesi sana madhaifu ya Simba aliyoyakuta kwenye safu ya ulinzi. Zile game dhidi ya Dodoma jiji na Azam nadhani ilikua wazi aliona hayo mapungufu. Muunganiko wa leo wa safu ya ulinzi umeonyesha kuwa kocha ameanza kuyafanyia kazi hayo mapungufu kwa kasi sana. Akiendelea hivi tutazidi kuwa bora zaidi kwenye safu ya ulinzi.
Naona kabisa kuna kitu kipya amekuja nacho huyu kocha.
Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania.
makaveli10
 
Uko sahihi kabisa. Nadhani huyu kocha ni kocha mzuri sana, ametambua kwa upesi sana madhaifu ya Simba aliyoyakuta kwenye safu ya ulinzi. Zile game dhidi ya Dodoma jiji na Azam nadhani ilikua wazi aliona hayo mapungufu. Muunganiko wa leo wa safu ya ulinzi umeonyesha kuwa kocha ameanza kuyafanyia kazi hayo mapungufu kwa kasi sana. Akiendelea hivi tutazidi kuwa bora zaidi kwenye safu ya ulinzi.
Naona kabisa kuna kitu kipya amekuja nacho huyu kocha.
Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania.
makaveli10
Ni ushabiki wa kupitiliza ndio huo unatufanya kufumbia macho uhalisia..

Kwa hiki cha leo, huyu coach kama nimemuelewa vile, kona nilikuwa napata wasi, jioni jamaa walipoanza kupiga krosi hofu ikatamalaki.

Tukienda hivi makundi tunavuka.. Mpaka sasa tutafute si chini ya point 7/15
 
Uko sahihi kabisa. Nadhani huyu kocha ni kocha mzuri sana, ametambua kwa upesi sana madhaifu ya Simba aliyoyakuta kwenye safu ya ulinzi. Zile game dhidi ya Dodoma jiji na Azam nadhani ilikua wazi aliona hayo mapungufu. Muunganiko wa leo wa safu ya ulinzi umeonyesha kuwa kocha ameanza kuyafanyia kazi hayo mapungufu kwa kasi sana. Akiendelea hivi tutazidi kuwa bora zaidi kwenye safu ya ulinzi.
Naona kabisa kuna kitu kipya amekuja nacho huyu kocha.
Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania.
makaveli10
Kwanza hizo mechi mbili safu ya ulinzi haikuwa na hawa wachezaji walicheza leo.

Mechi na Dodoma nafikiri kulia alicheza Duchu kati akacheza Onyango na Kennedy Juma.

Mechi na Azam kati alicheza Wawa na Ame.

This game safu yetu ambayo tunaitegemea wameanza na kutupa clean sheet ugenuni.
 
Kwanza hizo mechi mbili safu ya ulinzi haikuwa na hawa wachezaji walicheza leo.

Mechi na Dodoma nafikiri kulia alicheza Duchu kati akacheza Onyango na Kennedy Juma.

Mechi na Azam kati alicheza Wawa na Ame.

This game safu yetu ambayo tunaitegemea wameanza na kutupa clean sheet ugenuni.
Sio kweli kulia Kapombe kati Wawa, Kennedy kushoto Shabalala duchu alikua timu ya taifa under 20, Onyango hakuwepo kabisa ka review highlights utaona
 
.
IMG-20210213-WA0002.jpg
 
Kwanza hizo mechi mbili safu ya ulinzi haikuwa na hawa wachezaji walicheza leo.

Mechi na Dodoma nafikiri kulia alicheza Duchu kati akacheza Onyango na Kennedy Juma.

Mechi na Azam kati alicheza Wawa na Ame.

This game safu yetu ambayo tunaitegemea wameanza na kutupa clean sheet ugenuni.
Shida ya simba kuruhusu magoli dhidi ya Azam haikua udhaifu wa beki, Ilikua ni makosa ya kimbinu, Yale magoli haikua kwa sababu ya kuwa na beki mbovu,

Kama kuna mtu alimsikia kocha wakati timu inaondoka kwenda Congo alisema hivi " Azam wametukumbusha ni jinsi gani tunatakiwa kupunguza space kwenye kujilinda". Akasema pia siwezi kuwalaumu mabeki ila tumefungwa Yale magoli kimbinu.
Stone saizi ni bora pale man city kwa sababu Pep amefanyia home work sanaa ya uzuiaji
 
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu

Tanzania kila mwandishi wa habari ni mchambuzi na anajifanya anajua mpira kuliko hata waliosomea football,wewe ujuzi wako ni mambo ya habari,utaalamu wa soka unautoa wapi?
Hahaha
Hahahaah hatari sana.

Wachambuzi wachache sana

Huyo Jeff labda ule mpira wa mikono anajitahidi
 
Uko sahihi kabisa. Nadhani huyu kocha ni kocha mzuri sana, ametambua kwa upesi sana madhaifu ya Simba aliyoyakuta kwenye safu ya ulinzi. Zile game dhidi ya Dodoma jiji na Azam nadhani ilikua wazi aliona hayo mapungufu. Muunganiko wa leo wa safu ya ulinzi umeonyesha kuwa kocha ameanza kuyafanyia kazi hayo mapungufu kwa kasi sana. Akiendelea hivi tutazidi kuwa bora zaidi kwenye safu ya ulinzi.
Naona kabisa kuna kitu kipya amekuja nacho huyu kocha.
Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania.
makaveli10
Jana walikaza sana
 
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Huyu anatakiwa akunbushwe maneno ya Wanautopolo fulani huko nyuma:

Mechi dhidi ya Mbabane Dar kabla ya mechi
Leo mnapigwa hapa hapa nyumbani
Baada ya mechi
Simba 4
Mbabane 1
Mnaenda kufa kwao
Marudiano kwao
Mbabane 0
Simba 4
Mmekutana na vibonde hapo ndio mwisho wenu
Dhidi ya Nkana Dar
Mlikufa 2-1 kwao leo mnakufa tena safari ishaisha hiyo
Baada ya mechi
Simba 3
Nkana 1
Kimyaaaaaa [emoji1787]
Makundi
Al Ahly
Simba
As Vita
Js Saoura
Waarabu wawili na m-Congo mmoja hapo Simba anashika mkia na yule jamaa ndio akapigilia msumari kabisa kwa kutuita Under Dog wa kundi
Dar Simba dhidi ya Js Saoura
Waarabu wamekuja kuwapiga hapa hapa nymbn
Baada ya mechi
Simba 3
Saoura 0
Hawa sio waarabu ni wapemba ngoja waje Ahly [emoji1787]
Simba dhidi ya Ahly Dar (kabla)
Sasa leo ndio wamekuja waarabu wenyewe Taifa linaingia ktk aibu nyingine Cairo hamsa na leo hamsa tena
Ramadan Subhi wamemchukua kwa mkopo wa paun billion 10 thamani yake kikosi kizima cha Simba hakifikii thamani hiyo
Baada ya mechi
Simba 1
Ahly 0
Mmebahatisha tu lkn hampiti shughuli mtaiona ktk mechi ya mwisho dhidi ya As Vita hamsa zingine hapa hapa
Simba dhidi ya As Vita Dar
Leo sasa ndio mwisho wa safari mnakufa tena nyingi
Baada ya mechi
Simba 2
As Vita 1
Hamna lolote nyie mnawapulizia dawa wapinzani ndio mnashinda [emoji1787]
Yani kutoa hongera kwao imekua ngumu sana wanageuka vinyonga kila leo kwa kauli zao
Dhidi ya Plateau (Nigeria)
Kabla ya mechi leo Taifa linaingia kwenye aibu kubwa mnaenda kufa nyingi jamaa kila game wanashinda tano tano Enyimba kafa 5 na wengine kibao ni hamsa au 4G
Baada ya mechi
Plateau 0
Simba 1
Wanakuja kupindua matokeo Dar
Leo sasa mnakufa hapa hapa (kabla)
Baada ya mechi Dar
Simba 0
Plateau 0
Mmeshindwa kuwafunga kwenu hata hao wabovu ngoja muone Platinum
Dhidi ya Platinum Bulawayo,Zimbabwe.
Mnakufa nyingi leo
Platinum 1
Simba 0
Chikwende,Chikwende..na kelele kibao na huo ndio mwisho wa safari mnakufa tena Dar
Mechi ya marudiano Dar
Kabla ya mechi
Chikwende leo atakuepo tena
Kwa beki zenu hizo wazee Wawa na Onyango hapo Chikwende na wenzake wanakuja kufanya mauaji tena
Baada ya mechi
Simba 4
Platinum 1
Simba hawashindi mpk mapaka [emoji1787]
Hongera ni ngumu sana kutoa na maneno kila siku yanabadilika
Makundi
Al Ahly
Simba
As Vita
El Merreck
Daaah aibu imerudi tena kwa Taifa zile hamsa hamsa zinarudi tena
As Vita dhidi ya Simba (Congo)
Leo ndio zile hamsa zinajirudia aibu kwa Taifa kila baada ya dkk kadhaa goli,As Vita hatari sana kwao,mara watapakiwa mkongo n.k
Baada ya mechi
As Vita 0
Simba 1
Sasa hivi As Vita hamna timu wameuza sana wachezaji wao
 
Back
Top Bottom