Jeff Leah: Kwa udhaifu wa Mbao, Yanga atashinda goli nyingi maana Yanga hahitaji kuhonga nje ya uwanja

Jeff Leah: Kwa udhaifu wa Mbao, Yanga atashinda goli nyingi maana Yanga hahitaji kuhonga nje ya uwanja

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa. Aliongeza Jeff

Jeff alienda mbali zaidi akasema "Kwa Yanga hii ambayo ndani ya uwanja wako vizuri na nje ya uwanja wanatumia pesa yao vizuri, sidhani kama kuna timu itakuja kumzuia asichukue ubingwa wowote msimu huu"

Kwakauli hii ya Jeff Leah, imeibua mambo ambayo ni mazito kwenye soka letu, anatakiwa athibitishe kwa ushahidi. Lakini pua ikumbukwe Jeff ni shabiki kindakindaki wa Simba
 
Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa...
Mashabiki maandazi hao. Muda mwingine wawe wanathibitisha sasa ubora wa timu yao simba. Unalialia Yanga wanahonga,il-hali timu yao inagongwa gongwa tu
 
Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa...
katika kitu cha kuavoid now ni kuwasikiliza au kuwafuatisha mashabiki wa makolo fc, wanateseka sana so ni kuwaonea huruma tu hawa jamaa maana wanaongea hata mambo ambayo hayapooo!!!
 
Kwanza tufahamishwe elimu yake alafu mengine yatafuata
 
Kwaiyo ni dhahiri yanga wanahonga sana msimu huu
 
Ushahidi UPI unaitaka athibitishe wakati liko wazi na linajulikana Utopolo kutumia pesa chafu kuharibu mpira huku Tff wakizibwa midomo..
Kama ushahidi upo kwanini msifungue kesi? Au kama mnona Takukuru haiwezi kutoa haki basi nendeni hata mahakama ya kimichezo (CAS) mfungue kesi. Kumbe kuna watu wapuuzi kiaai hiki mnatengeneza propaganda badala ya kuwaza mnawezaje kuinua timu yenu iliyochoka wachezaji
 
Ttz Hawataki Kukubali Kama Yanga Ya Sasa Ni Bora Kuliko Wao...Ndo Maana Mpk Wanashindwa Kuficha Mahaba Yao Kwa Timu Lao Bovu Wanaongea Vitu Ambavyo Sio Vya Kisoka Hakuna Asiyeona Wachezaji Wa Simba Jinsi Wanavyochz ilo Biriani Lao Kwenye Mechi Za Mbeya City Mtibwa Na Kagera Sote Tumeona Jinsi Wachezaji Wao Wanvyoanguka Na Wengine Kutetemeka Kwenye Box La Mpinzani Mixer Wapinzani Kupewa kadi Nyekundu, Kupewa Penatly Kuongezewa Muda Mrefu Baada Ya Dk 90 Lakini Waaapi [emoji1787], Alete Ushahidi Sasa..
 
Kaongea haya akiwa wapi?

Wasije wakampeleka mahakamani kijana Jeff kwa kauli za kijinai kama hizo...

Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa. Aliongeza Jeff

Jeff alienda mbali zaidi akasema "Kwa Yanga hii ambayo ndani ya uwanja wako vizuri na nje ya uwanja wanatumia pesa yao vizuri, sidhani kama kuna timu itakuja kumzuia asichukue ubingwa wowote msimu huu"

Kwakauli hii ya Jeff Leah, imeibua mambo ambayo ni mazito kwenye soka letu, anatakiwa athibitishe kwa ushahidi. Lakini pua ikumbukwe Jeff ni shabiki kindakindaki wa Simba
 
Kwa mujibu wa maelezo yako, huyo mwamba anajichanganya mpaka wadau tunastukia kua kuna mlungula umetembezwa.
 
Jeff Lea atutajie ni timu ipi ambayo sio dhaifu imehongwa na Yanga. Na kama anajua na kuthibitisha kuwa kuna timu zimehongwa na Yanga je yeye kama mwandishi wa habari amecpeleka malalamiko Takukuru?
Simba alivyofungwa na Yanga kwenye ngao ya jamii nao walihongwa? Uwezo wakobwa kufikiri na kutafari mambo ni mdogo sana nahisi shule ulikuwa kilaza wewe

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Simba alivyofungwa na Yanga kwenye ngao ya jamii nao walihongwa? Uwezo wakobwa kufikiri na kutafari mambo ni mdogo sana nahisi shule ulikuwa kilaza wewe

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu umeni quote bila kusoma kwa umakini bali umesema ukiwa na jazba za Jeff Lea kiasi kwamba huelewi nimeegemea upande upi
 
Back
Top Bottom