Jeff Leah: Kwa udhaifu wa Mbao, Yanga atashinda goli nyingi maana Yanga hahitaji kuhonga nje ya uwanja

Jeff Leah: Kwa udhaifu wa Mbao, Yanga atashinda goli nyingi maana Yanga hahitaji kuhonga nje ya uwanja

Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa. Aliongeza Jeff

Jeff alienda mbali zaidi akasema "Kwa Yanga hii ambayo ndani ya uwanja wako vizuri na nje ya uwanja wanatumia pesa yao vizuri, sidhani kama kuna timu itakuja kumzuia asichukue ubingwa wowote msimu huu"

Kwakauli hii ya Jeff Leah, imeibua mambo ambayo ni mazito kwenye soka letu, anatakiwa athibitishe kwa ushahidi. Lakini pua ikumbukwe Jeff ni shabiki kindakindaki wa Simba
Alisema haina haja ya kuchambua mechi ya mbao na yanga, yanga atashinda tu na amehaidi kutoa gari lake kwa mdada sportslady(jina nimemsahau) yanga akifungwa.

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
 
Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa. Aliongeza Jeff

Jeff alienda mbali zaidi akasema "Kwa Yanga hii ambayo ndani ya uwanja wako vizuri na nje ya uwanja wanatumia pesa yao vizuri, sidhani kama kuna timu itakuja kumzuia asichukue ubingwa wowote msimu huu"

Kwakauli hii ya Jeff Leah, imeibua mambo ambayo ni mazito kwenye soka letu, anatakiwa athibitishe kwa ushahidi. Lakini pua ikumbukwe Jeff ni shabiki kindakindaki wa Simba
Uwezo wake mdogo sana,na huwa anajitia kuongea kiingereza feki ili awatambie mavi mavi wenzie,ni lazima athibitishe huo upuuzi wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ushahidi UPI unaitaka athibitishe wakati liko wazi na linajulikana Utopolo kutumia pesa chafu kuharibu mpira huku Tff wakizibwa midomo..
Boresheni Timu, Timu Lenu Halijui Kucheza Mpira Wachzj Wanakosa Magoli Ya Wazi Ovyo Na Penati Za Kupewa Wanakosa Pia...Na Bado Wapinzani Wanapewa Red Card Mnashindwa Kujitetea...Mnaongezewa Muda Mrefu Wa Nyongeza Mechi Inafika Mpk Dk Ya 100 Lakini Bado....Msaidiwaje Nyie Viande? [emoji1787]
 
Ttz Hawataki Kukubali Kama Yanga Ya Sasa Ni Bora Kuliko Wao...Ndo Maana Mpk Wanashindwa Kuficha Mahaba Yao Kwa Timu Lao Bovu Wanaongea Vitu Ambavyo Sio Vya Kisoka Hakuna Asiyeona Wachezaji Wa Simba Jinsi Wanavyochz ilo Biriani Lao Kwenye Mechi Za Mbeya City Mtibwa Na Kagera Sote Tumeona Jinsi Wachezaji Wao Wanvyoanguka Na Wengine Kutetemeka Kwenye Box La Mpinzani Mixer Wapinzani Kupewa kadi Nyekundu, Kupewa Penatly Kuongezewa Muda Mrefu Baada Ya Dk 90 Lakini Waaapi [emoji1787], Alete Ushahidi Sasa..
Kwani kwenye nyongeza ya dk kigezo gani hutumika ili kuongeza dk hizo?
Kipa anakaa chini 4 minutes ,wachezaji watatu wanakaa 1-2 minutes afu refa akiongeza dk 4 au 5 unaona anaibeba Simba kwa lipi hapo?

Red card ni sehemu ya mchezo ulitaka mtu akifanya kosa asioneshwe red card kisa tu anacheza dhidi ya Simba kwa kuogopa eti itaonekana anaibeba Simba? Afu Simba sio mbovu ingekuwa mbovu isingekuwa imetwaa taji moja kati ya manne iliyopanga kuyachukua msimu huu na bado inashindania matatu
 
Hivi viongozi wa Yanga kwanini hamuwachukulii hatua watu Kama Hawa endapo Kama ushahidi upo ili iwe fundisho na kwa wengine wanawachafua sana nyie viongozi
 
Mchambuzi Jeff Lea amesema udhaifu wa Mbao Fc, itapelekea Yanga ashinde goli nyingi hiyo kesho katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Hivyo Yanga hawezi kuhonga pesa nje ya uwanja kwakuwa Mbao Fc ni dhaifu kwasasa. Aliongeza Jeff

Jeff alienda mbali zaidi akasema "Kwa Yanga hii ambayo ndani ya uwanja wako vizuri na nje ya uwanja wanatumia pesa yao vizuri, sidhani kama kuna timu itakuja kumzuia asichukue ubingwa wowote msimu huu"

Kwakauli hii ya Jeff Leah, imeibua mambo ambayo ni mazito kwenye soka letu, anatakiwa athibitishe kwa ushahidi. Lakini pua ikumbukwe Jeff ni shabiki kindakindaki wa Simba
Huwa anajitaja kabisa ni fan wa Mikia FC.
 
Kama ushahidi upo kwanini msifungue kesi? Au kama mnona Takukuru haiwezi kutoa haki basi nendeni hata mahakama ya kimichezo (CAS) mfungue kesi. Kumbe kuna watu wapuuzi kiaai hiki mnatengeneza propaganda badala ya kuwaza mnawezaje kuinua timu yenu iliyochoka wachezaji
Uliteseka misimu minne tulia..
 
Kwani kwenye nyongeza ya dk kigezo gani hutumika ili kuongeza dk hizo?
Kipa anakaa chini 4 minutes ,wachezaji watatu wanakaa 1-2 minutes afu refa akiongeza dk 4 au 5 unaona anaibeba Simba kwa lipi hapo?

Red card ni sehemu ya mchezo ulitaka mtu akifanya kosa asioneshwe red card kisa tu anacheza dhidi ya Simba kwa kuogopa eti itaonekana anaibeba Simba? Afu Simba sio mbovu ingekuwa mbovu isingekuwa imetwaa taji moja kati ya manne iliyopanga kuyachukua msimu huu na bado inashindania matatu
Mkiwa Mmefungwa Dakika Tano Za Nyongeza Ndo Ziwe Nane Mpk Tisa Huko Si Tunaona Kwenye Mechi Zenu Bhn....Af Na Umesema Timu Yenu Iko Vizuri Sio Mbovu Basi Sawa Tukutane Kwa Tanzania Prisons. [emoji41]
 
Back
Top Bottom