pesa ndogo sana iyo mkuu600m uko serious ndgu,yani seba atoe 600m kuwalipa wcb kwa kuvunja mkataba basi harmo ni zaidi ya almasi
Ha ha mkuu milioni 600 kwa kuvunja mkataba unadhani ni nyingi?unajua anaingiza kiasi gani kwa mwaka?wengi mnadhani dhiki mlizo nazo basi kila mtu anazo, wanaingiza hela aisee huyo harmonize tukisema tuondoe sifuri moja ni ili kuvunja mkataba iwe milioni 60, amini show mbili tuu akifanya analipa, kwa uwekezaji waliofanya wasafi unahisi harmonize kwa potential yake na muda uliobaki kwenye mkataba wake ana thamani gani?
Amna mkuu acha propaganda, tulipeleka tangazo letu la tatiana cakes tukaambiwa tangazo la sekunde 15 kwa radio ni laki saba kwa mara mbili kwa siku na M 1 mara nne kwa siku isipokuwa kwenye XXL.
.
Na ofa yao ni watangazaji kulizungumzia tangazo hivyo ni almost sekunde 40, kwenye Tv wana bei ndogo sana laki saba la sekunde 30 la picha inayotembea na picha mnato laki tano picha mnato wanaonyesha mara nne ila inayotembea mara tatu, Tv haina viewers wengi.
.
Watu wenye gharama ni ITV na EATV wale hatukurudi tena gharama ya picha mnato kwa tangazo litakaloonekana ITV mara tatu tunatangaza Clouds tv siku tatu na mara nyingi na ukiwapa pesa ndogo Clouds fm hawakatai ila wanaweka sauti ya haraka sana
Alikiba bwana, ameishia kunywa Mofaya na Ommy Dimpoz[emoji3][emoji3]
pesa ndogo sana iyo mkuu
Ha ha mkuu milioni 600 kwa kuvunja mkataba unadhani ni nyingi?unajua anaingiza kiasi gani kwa mwaka?wengi mnadhani dhiki mlizo nazo basi kila mtu anazo, wanaingiza hela aisee huyo harmonize tukisema tuondoe sifuri moja ni ili kuvunja mkataba iwe milioni 60, amini show mbili tuu akifanya analipa, kwa uwekezaji waliofanya wasafi unahisi harmonize kwa potential yake na muda uliobaki kwenye mkataba wake ana thamani gani?
Jembe ni jembe mill 600 anazo , labda changamoto yake ni kuhoji experience yake kama ataweza kumanage msanii mkubwa kama Harmonize....Yule Mwamba keshi anayo