Huyu mmakonde wanaomtutumua kuwa asepe wasafi hawatakuwa na mda nae aliondoka, wanachotaka hawa wanaomtutumua ni kumtakia mabaya konde boy.
Anachokipitia rich mavoko kiwe funzo kwa harmonize, kina dokii walimtutumua sana rich mavoko asepe wasafi ila saizi hawana muda nae, mkono mtupu haulambwi!!
Kitu kingine T-shirt mbili zilizofana kila kitu moja unaweza kuuzwa elf 10 ila nyingine kwasababu imetwngenezwa nankampuni yenye brand kubwa kama Gucci inaweza ikauzwa laki 2 na ikanunulika, vivyo hivyo kama ikivyo kwenye hili game kuna wasanii wengi sana wana vipaji vya juu sana lakini hawasikiki ila kuna wasanii wenye vipaji vya kawaida tu ngoma zao zinahit kila Mara kwasababu wanasukumwa na nguvu ya brand.
Harmonize huenda akajiona ana kipaji ila kipaji pakee hakitoshi, Wcb ni brand kubwa ambayo hata msanii akiwa kawaida anavuma, ushahidi tosha ni rich mavoko Leo hii anatoa ngoma Kali tu ila kwasababu kaiacha brand kubwa ya Wcb anaisoma namba saizi.
IGA UFE!!!