Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

ni kweli jembe ni jembe nae ni meneja wa harmo now
huko sudan walikuwepo wote,
pia hii ngoma iliyotoka juzi ya jamaa wa sudan john fogg alofanya na harmo story yao kabla ya kufanya ngoma inafurahisha sanaaa
Mkuu fafanua kidogo iyo story
 
Mkuu fafanua kidogo iyo story
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi
 
Hujaimalizia story mkuu?
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi
 
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi
GUNDOSAKIT
 
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi
ubarikiwe kiongozi
 
Anahusika kwa kuwa inspire vijana au kuwakuza yeye kwenye hiyo tasnia jamani khaaaa! Basi kila radio ni ya kusaga sasa muoneeni huruma.
.
Kituo cha radio kuwa hewani kwa mwezi sio chini ya 23 million yani hapo iko hewani tu bado gharama zingine za uendeshaji hata kama anazo pesa loh! Tv station anazo mbili na Tv kuwa hewani kwa mwezi bila magharama mengine ni 28 million..
.
Ana coconut fm, choice fm, clouds tv, clouds plus hapa karibia mia inamtoka kwa mwezi ili viwe tu hewani, haya mnasema Jembe ni jembe yake, wasafi fm na tv zake bado za arusha mtasema zake si atakuwa masikini sasa badala ya kuwa tajiri.
.
Millard Ayo akianzisha radio yake mtasema hivihivi kuwa ni ya kusaga wakati anajichanga sasa hivi ananunua vitu kwa pesa yake hamuoni Kusaga mchango wake ni kuwatengeneza vijana yeye au kuwa inspire
.
MUONEENI HURUMA HATA KIDOGO MNAMPA MIZIGO MIKUBWA SANA
Hahaha
 
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi
Jabulant ni nani WCB au anahusika kwa harmo tu
 
Na kwa taarifa tu radio ya jembe ni jembe kusaga hapo ana hisa zake na hata Rock city radio ana hisa zake pia.

Na kusaga mwenyewe alishasema radio nyingi za vijana mkono wake unahusika hapo.
Jembe ashawah kufanya kazi na kusaga, ila baadae Jembe alipambana sana na kuamua kuanzisha maisha yake
 
Huyu mmakonde wanaomtutumua kuwa asepe wasafi hawatakuwa na mda nae aliondoka, wanachotaka hawa wanaomtutumua ni kumtakia mabaya konde boy.

Anachokipitia rich mavoko kiwe funzo kwa harmonize, kina dokii walimtutumua sana rich mavoko asepe wasafi ila saizi hawana muda nae, mkono mtupu haulambwi!!

Kitu kingine T-shirt mbili zilizofana kila kitu moja unaweza kuuzwa elf 10 ila nyingine kwasababu imetwngenezwa nankampuni yenye brand kubwa kama Gucci inaweza ikauzwa laki 2 na ikanunulika, vivyo hivyo kama ikivyo kwenye hili game kuna wasanii wengi sana wana vipaji vya juu sana lakini hawasikiki ila kuna wasanii wenye vipaji vya kawaida tu ngoma zao zinahit kila Mara kwasababu wanasukumwa na nguvu ya brand.

Harmonize huenda akajiona ana kipaji ila kipaji pakee hakitoshi, Wcb ni brand kubwa ambayo hata msanii akiwa kawaida anavuma, ushahidi tosha ni rich mavoko Leo hii anatoa ngoma Kali tu ila kwasababu kaiacha brand kubwa ya Wcb anaisoma namba saizi.

IGA UFE!!!
Hapa mkuu umenena. Mavoko anajuta sana (from insider).
 
Anaweza akahusika kama manager wake mpya
Huyo jamaa amewai kumpa wemasepetu BMW,wema akaitosa Nissan murano aliyonunuliwa na diamond...
Diamond akaamua kutoa ule wimbo ntampata wapi?
Kimsingi jembe ndio alimpora mondi wema tokea hapo mond akapata kichefu chefu
Ayseee kumbee...ila hako kanyimbo kazurii sna,ameimba kwa feelings sana
 
Huyu Jamaa wakati anaendesha kipindi cha Njia Panda Clouds na zile Story zake kuhusu Ukimwi nilikua namuona ana maadili sana,Kumbe naye Fisi mwenzetu tu
 
Aisee argument zako nimezikubali saaana hahah,so unaona kama hizo redio akiwa nazo ni nyingi saana na zitakua na wafanyakazi wengi kiasi ambacho atashindwa kuwa-manage,haha.

Jamaa angu kumbe kwny ubepari bado wewe hujaiva aisee,kwa hio hao wafanyakzi mia 4 unaowafikiria unaona ni wengi sana sio?

Hapo chini ni co's anazo zi-manage bakhressa na ujiulize anawezage kuzi-manage zote at per.

Azam Bakeries Co. Ltd
Azam Dairy Products Ltd
Azam FM Radio Ltd
Azam Football Club
Azam Insurance Agency Ltd
Azam Marine Co. Ltd
Azam Media Ltd
AzamPay Tanzania Ltd
Azam Polysack Ltd
Al Zenzibar Food Products Ltd
Bagamoyo Sugar Ltd
Bakhresa Food Products Ltd
Bakhresa Grain Milling (Rwanda)
Bakhresa Grain Milling (Burundi)
Bakhresa Grain Milling (Malawi)
Bakhresa Grain Milling (Uganda)
Bakhresa Grain Milling (Mozambique)
Bakhresa SA (Pty) Ltd
Coastal Fast Ferries
Kilimanjaro Fast Ferries Ltd
Hotel Verde Zanzibar -Azam Luxy Resort & spa Ltd
Omar Packaging Industries Ltd
Paper Kraft International Ltd
Reliable Properties Ltd (Real Estate)
Said Salim Bakhresa & Co. Ltd
Tradegents Ltd (Garments)
Tacona Holdings Ltd (Inland Container Depot)
Uhai Production Limited
United Group Limited
(Petroleum)Union Property Developers Ltd
Zanzibar Milling Cooperation Ltd

Nashangaa wewe unayeona eti hizo radio ni nyingi saaaaana mpk Kusaga atashindwa kuzi-manage hahah,au unadhani Co's Zinaendeshwa kama maduka ya watu binafsi.

Naomba kujua hapa hivi group of companies hii nayo inasajiliwa au linakuwa jina tu kwa ajili ya kurun kampuni zingine...uwa sielewei hapa??
 
Back
Top Bottom