OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
usipanik bro,relax huu mchezo hautaki hasira. Muwekeeni clips za pira biriani huyu labda atakaa sawaHutofautiani na wale waaminio kila kitu na ni mitaji mikubwa sana kwa Manabii feki hata akikwambia uvue nguo akuombee hukatai wala kutumia akili za kuzaliwa kuhoji kwanini asivue yeye kwanza?
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
We jamaa utapata pressure bure maana unajitahidi sana kupingana na ukweli ihurumie afya yako na wanaokuzungukaDah! eti jemedari kasema, acheni ushamba nyie mikia simba ni timu kama timu nyingine ndio mahana inaweza kucheza na ruvu shooting na ruvu ikapata ushind, ni kama simba ilivyocheza na waarabu na kupata ushindi na huo ndio mpira kwani ata kibonde anaweza kumuotea anaejua na kumfunga
Lakini mashabiki wasimba naona kama mmekua kama mnaimba taarabu mipasho kwa kwenda mbele ebu punguzeni shobo kidogo mahana badae mnaweza kuja kujuta
Simba Vs Vita.Dah! eti jemedari kasema, acheni ushamba nyie mikia simba ni timu kama timu nyingine ndio mahana inaweza kucheza na ruvu shooting na ruvu ikapata ushind, ni kama simba ilivyocheza na waarabu na kupata ushindi na huo ndio mpira kwani ata kibonde anaweza kumuotea anaejua na kumfunga
Lakini mashabiki wasimba naona kama mmekua kama mnaimba taarabu mipasho kwa kwenda mbele ebu punguzeni shobo kidogo mahana badae mnaweza kuja kujuta
Kukaa kimya ni muhimu, Simba kwenye mechi 6 za CAF championship imeshinda mechi 4 imetoa sare moja na kufungwa moja, bado unaifananisha na Ruvu shooting?Dah! eti jemedari kasema, acheni ushamba nyie mikia simba ni timu kama timu nyingine ndio mahana inaweza kucheza na ruvu shooting na ruvu ikapata ushind, ni kama simba ilivyocheza na waarabu na kupata ushindi na huo ndio mpira kwani ata kibonde anaweza kumuotea anaejua na kumfunga
Lakini mashabiki wasimba naona kama mmekua kama mnaimba taarabu mipasho kwa kwenda mbele ebu punguzeni shobo kidogo mahana badae mnaweza kuja kujuta
Dah! eti jemedari kasema, acheni ushamba nyie mikia simba ni timu kama timu nyingine ndio mahana inaweza kucheza na ruvu shooting na ruvu ikapata ushind, ni kama simba ilivyocheza na waarabu na kupata ushindi na huo ndio mpira kwani ata kibonde anaweza kumuotea anaejua na kumfunga
Lakini mashabiki wasimba naona kama mmekua kama mnaimba taarabu mipasho kwa kwenda mbele ebu punguzeni shobo kidogo mahana badae mnaweza kuja kujuta
Hahaaa mwaka huo hata magufuli hajulikani.
Tuletee picha ya Utopolo akiongoza kundi lao, ukikosa hata ya mwaka 1940 [emoji2957]
Naona unajazba sijajua ni wivu au uchungu tuDah! eti jemedari kasema, acheni ushamba nyie mikia simba ni timu kama timu nyingine ndio mahana inaweza kucheza na ruvu shooting na ruvu ikapata ushind, ni kama simba ilivyocheza na waarabu na kupata ushindi na huo ndio mpira kwani ata kibonde anaweza kumuotea anaejua na kumfunga
Lakini mashabiki wasimba naona kama mmekua kama mnaimba taarabu mipasho kwa kwenda mbele ebu punguzeni shobo kidogo mahana badae mnaweza kuja kujuta
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] mimi kama shabiki kindakidaki jangwani sea breeze nakubaliana na jemadariKUNA TOFAUTI KATI YA SIMBA NA TIMU ZA LIGI KUU :[emoji1241]
-Jemedari anasema watu wasijichanganye wakadhani simba sc [emoji1038] inafanana na timu nyingine za Ligi Kuu ya Tanzania bara. Anasema Simba ni tofauti kabisa na timu nyingine, kwamba ubora wake uko juu zaidi.
-Waangalie wakicheza na timu kama alahly egypt[emoji1093].....unaweza kufikiria ukiingiza katimu kako hapa itakuwaje....unatakiwa kwanza ukubali, halafu kuiga sio kitu kibaya.....Unakubaliana na Jemedari?
narudia kusema simba timu kama timu nyingine ana kitu cha kutisha zaidi ya mipasho ya mashabiki wakeKukaa kimya ni muhimu, Simba kwenye mechi 6 za CAF championship imeshinda mechi 4 imetoa sare moja na kufungwa moja, bado unaifananisha na Ruvu shooting?
Simba imecheza michezo miwili ya mwisho na As Vita imeshinda zote tena home and away, imecheza na Al Ahly mechi mbili za mwisho imeshinda zote unaanza kufananisha na ushindi wa Ruvu ambao hata Ruvu shooting wenyewe hawaamini hadi Leo hadi msemaji wao akaamua kuita timu yake barca ya bongo ili aweke kumbukumbu?
Kuweni na heshima basi, hata kama Simba mnacheza naye kwenye ligi moja
Juzi tu hapo... Mimi nakubali simba kwa sasa niyamoto lakin sijui kwanini mnagoma kukubali yanga ya kampa kampa tena ilikua hatarii zaidi...Hahaaa mwaka huo hata magufuli hajulikani.
Yani kufunga mwaka 2014 ndio kuweza kufanga leo. haaa haaa mabingwa wa kihistoria
Hakuna asiyekubali kua ile Yanga ya Manji kwa kipindi kile kwenye ligi ya Tanzania ilikua bora kuliko timu zote, huo Ndio ukweli, Ila hamkufika level ambayo Simba imefikia kwa miaka hii mitatu. Yanga iliyoyopo saizi inawezekana ikawa sawa na Yanga ya manji ila utofauti saizi ni kwamba Simba kipindi hiki yuko mbali sana.Juzi tu hapo... Mimi nakubali simba kwa sasa niyamoto lakin sijui kwanini mnagoma kukubali yanga ya kampa kampa tena ilikua hatarii zaidi...
Kampa kampa tena ilikua yanga tishio