OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
KUNA TOFAUTI KATI YA SIMBA NA TIMU ZA LIGI KUU :🇹🇿
-Jemedari anasema watu wasijichanganye wakadhani simba sc 🇦🇹 inafanana na timu nyingine za Ligi Kuu ya Tanzania bara. Anasema Simba ni tofauti kabisa na timu nyingine, kwamba ubora wake uko juu zaidi.
-Waangalie wakicheza na timu kama alahly egypt🇪🇬.....unaweza kufikiria ukiingiza katimu kako hapa itakuwaje....unatakiwa kwanza ukubali, halafu kuiga sio kitu kibaya.....Unakubaliana na Jemedari?
-Jemedari anasema watu wasijichanganye wakadhani simba sc 🇦🇹 inafanana na timu nyingine za Ligi Kuu ya Tanzania bara. Anasema Simba ni tofauti kabisa na timu nyingine, kwamba ubora wake uko juu zaidi.
-Waangalie wakicheza na timu kama alahly egypt🇪🇬.....unaweza kufikiria ukiingiza katimu kako hapa itakuwaje....unatakiwa kwanza ukubali, halafu kuiga sio kitu kibaya.....Unakubaliana na Jemedari?