Jemedari: Camara na Diarra waondoke Tanzania

Jemedari: Camara na Diarra waondoke Tanzania

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
 
Aachane na akili ya umaskini. Kisa kijijini kwenu ni maskini hautaki watu matajiri waje kuishi.

Wapambane waongeze viwango. Itakuwaje sasa ikiwa kati ya hao wachezaji watano wa kimataifa Diara na Camara wakawepo?

Bado nasema Jemadari Saidi hajachunguza vizuri
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1...itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2...kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3...itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4....academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Unateseka ukiwa Burundi ?
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1...itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2...kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3...itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4....academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Hayo yote hayafanyiki muda huu? Tatizo wazawa viwango, hawa wachezaji wa kigeni wapo ili kuwapa wazawa changamoto
Wajitahid atleast kufikia viwango vyao else hakuna team ita invest kwa kipa kisa wa nyumbani na si sababu ya kiwango kizuri
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1...itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2...kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3...itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4....academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Hii ni kwa mtu mpumbavu tu.
Kwani nchi hii kuna timu ngapi hazina wachezaji wa nje?
Kama hao wachezaji wazuri wapo mbona hawachezi prisons au jkt?Je ni lazima wacheze Simba na Yanga?
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1...itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2...kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3...itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4....academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Miaka yote tuliyo sajili wazawa wengi na wageni wachache tulifika fainali?hata vilabu vyetu vilikuwa havina uwezo wa kwenda robo mashindano ya caf.
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Hao magolikipa au wachezji anao wataka kwani hawawezi kwenda kuchezea timu nyingine?
Au wachezaji watanzania kwa wamekatazwa kwenda kucheza nje? Hako kamtu kana akili finyu na roho ya kichawi.

Wachezaji wote wa timu ya taifa ya Congo DRC wanacheza nje kasoro mmoja, kwanini asiige hilo? Kwanini msiige Ivory coast?
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Kwa akili ndogo uko sahihi, angalizo, mchezaji haandaliwi kwenye mashindano, vile vile huendi chumba Cha mtihani kujisomea
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
My intake!
Basi sawa.
 
Back
Top Bottom