Jemedari: Camara na Diarra waondoke Tanzania

Jemedari: Camara na Diarra waondoke Tanzania

"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Wachezaji wazawa wenye Uwezo hawapati namba dhidi ya Wageni?
Kibu Denis, Ibrahim Bacca
Abdulrazack hamza, Clemen mzize na wengineo wanapataje nafasi? Kama timu inapata wachezaji wa kutosha ndani ya nchi haina sababu ya kutafuta wachezaji nje...

Katika wachezaji zaidi ya 400 wanaocheza NBCPL sidhani kama wageni wanazidi hata 80 hawa wazawa 300 na zaidi hawatoshi kungeneza timu imara ya Taifa?
 
Maswali ya kujiuliza;
1.Kipindi ambacho hatukuwa na wachezaji wengi wa kigeni (1961 hadi 2010) hiyo taifa stars ilifuzu mara ngapi kwenda AFCON?

2. Baada ya uwepo wa wachezaji wengi wa kigeni( 2011 hadi 2024) taifa stars imeshafuzu mara ngapi kwenda AFCON?

3.Kabla ya uwepo wa wachezaji wengi wa kigeni vilabu vyetu vilifanya nini katika mashindano ya CAF?

Kwa kifupi huyo kazumari ni takataka . Hata yeye anatakiwa kupunguzwa kwenye idadi ya wachambuzi wa mpira abaki kuwa MCHA-MBUZI.
 
Aachane na akili ya umaskini. Kisa kijijini kwenu ni maskini hautaki watu matajiri waje kuishi.

Wapambane waongeze viwango. Itakuwaje sasa ikiwa kati ya hao wachezaji watano wa kimataifa Diara na Camara wakawepo?

Bado nasema Jemadari Saidi hajachunguza vizuri
Jemedari ni Meneja wa Manula baada ya kushindwa kumtafutia Timu mteja wake.kabaki kulia lia
 
Huyo Jemedari nae ameflop.
Kwani wakina Dickson Job/Bacca etc.. nani kawahi kuwaweka benchi kwenye nafasi zao? Wapandishe viwango vyao wenyewe tena mkiwatoa wakina Camara ndo tutarudi kwenye ulimbombo na ulindi mana hakutakua na ushindani wowote yani ndo wata relax haswaa! Ikibidi waongezwe wawe 15! Hao Kilimanjaro wao wenyewe wamejikaanga wakina Idi Nado wanacheza kama Bonanza mara 100 Crispin Ngushi
Fikiria Yanga Golikipa Metachs😅🤣
 
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".

JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM

My intake:

Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa

1. Itasaidia kuwapa nafasi wachezaji wa ndani ( scouts watazunguka kuanzia mtaa,Kijiji, kata,tarafa kusaka vipaji halisi

2. Kujengwa timu ya taifa ( kutakuwa na option kibao ya wachezaji kuitwa timu ya taifa kwenye Kila nafasi uwanjani )

3. Itapunguza upigaji kwenye usajili wa wachezaji kwa hivi vilabu vyetu pendwa, mpaka mchezaji asajiliwe ni lazima awe mchezaji kweli na sio wa kuokota au wa mkopo

4. Academy zitaongezeka maana soko la soka kwa wachezaji wazawa litaongezeka
Nk. Nk.

Hayo ni maoni yangu, Nini maoni Yako??

Karibuni
Hatuna na hatujawahi kuwa na malengo ya kuwa na timu bora ya taifa. Ni lini umeona vipaji vya wachezaji vikiendelezwa kutoka ngazi ya chini hadi ngazi ya taifa?

Yaani AZAM FC na MTIBWA SUGAR ndio zitufanye tuwe na timu bora ya taifa kweli wakati wenye mamlaka wakiwa mbele kwa ajili ya kuzihujumu?
Huo ni uongo.
 
Wageni ndio wameikuza hii league yetu...

Tukipunguza ndio tutarudi hatua 30 nyuma.
Mchezaji anayejielewa hata akikaa bench bado atapambana.

Nashauri; waongezwe mpaka wafike 15.
 
Ukitaka ujue Bongo bado sana, nenda kaangalie ligi daraja la kwanza.
 
Hoja inakuja, unawaleta wachezaji wa kigeni kwa gharama kubwa alafu kiwango duni wakati Kuna mzawa ana kipaji kuliko huyo mgeni...mifano IPO mingi
 
Back
Top Bottom