Jemedari Said amuumbua Mubashara Maulid Kitenge kwa Kushadadia Kwake Kuvuja kwa Jezi bora ya Simba SC

Jemedari Said amuumbua Mubashara Maulid Kitenge kwa Kushadadia Kwake Kuvuja kwa Jezi bora ya Simba SC

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Nasikitika kuona tunaacha Kupambana kwa Matokeo ya Uwanjani tuko katika Upuuzi wa Kushindanisha Jezi na Kushadadia kama zimevuja au hapana. Arsenal FC ndiyo Klabu yenye Jezi nzuri mno ila Uwanjani ina Matokeo mabovu na ya Aibu. Kama wana Habari sidhani tunapaswa Kushangilia Kuvuja kwa Jezi badala yake Sisi ndiyo tuwe wa Kwanza Kupinga Uhuni huu kwani unazikosesha sana Mapato Klabu zetu hizi", Jemedari Said Kazumari.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Maulid Kitenge yaani pamoja na Kuzurula Kwako kote Ulaya, UAE, South Africa na Marekani ( kwa Kufadhiliwa ) na wale Jamaa zako wenye Michezo mibaya bado tu hujaacha kuwa Uncivilized kama hivi ulivyo?
 
Msambazaji ni Vunja Bei. Mzigo ulishasambazwa mapema wiki hii kwenye maduka yote ya vunja bei nchi nzima, hivyo jezi kuonekana madukani wala sio inshu.
For Uncivilized Moron like Maulid Kitenge is an Issue.
 
Ushabiki mbaya kwa hiyo Simba kuvuja kwa jezi sio issues, halafu utawasikia "tunataka kuiendesha club yetu kibiashara.......",sasa hiyo biashara itakuwa ya aina gani wakati kuna wajanja wanatengeneza copy na kuziingiza mtaani.
Wewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?

au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?

Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
 
Jemedari Said Kazumari ni mwana Yanga SC tena lia lia kama alivyo Mtangazaji Maulid Kitenge je, umeshajiuliza ni kwanini aliamua kumtolea Uvivu na Kumuumbua hivyo?
hana haja ya yeye kutanuka pua kwenye swala la utani wa jadi.
 
Wewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?

au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?

Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
swala hapa ni tambala zetu hizo popoma usihamishe magoli kwa jamaa
Simba tumepigwa hapa
 
Kuvuja Kwa jezi ni jambo la kawaida kabisa

almost every big club duniani inawakumba

timu ndogo ndio wanaweza kuficha because hakuna interests
Mtangazaji Mshamba, Mnafiki na Mpumbavu Maulid Kitenge Yeye hii Kwake ilikuwa ni Habari Kuu kiliko hata Matokeo ya Kuridhisha kwa Timu yetu ya Taifa ( Taifa Stars ) wa Jana.
 
Back
Top Bottom