OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
inashangaza sana. sawa imevuja so whatYanga ni washamba sana, jezi za Simba kuvuja kwao ni issue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inashangaza sana. sawa imevuja so whatYanga ni washamba sana, jezi za Simba kuvuja kwao ni issue.
Jemedari Said nae ni mwanahabari na mwandishi wa habari. Cc Zomboko, Mbwiga, swebe na wengine. Jumlisha huyo Kitenge sio mwandishi wa habari."Nasikitika kuona tunaacha Kupambana kwa Matokeo ya Uwanjani tuko katika Upuuzi wa Kushindanisha Jezi na Kushadadia kama zimevuja au hapana. Arsenal FC ndiyo Klabu yenye Jezi nzuri mno ila Uwanjani ina Matokeo mabovu na ya Aibu. Kama wana Habari sidhani tunapaswa Kushangilia Kuvuja kwa Jezi badala yake Sisi ndiyo tuwe wa Kwanza Kupinga Uhuni huu kwani unazikosesha sana Mapato Klabu zetu hizi", Jemedari Said Kazumari.
Chanzo: EFM Sports Headquarters
Maulid Kitenge yaani pamoja na Kuzurula Kwako kote Ulaya, UAE, South Africa na Marekani ( kwa Kufadhiliwa ) na wale Jamaa zako wenye Michezo mibaya bado tu hujaacha kuwa Uncivilized kama hivi ulivyo?
Tangu lini huyo Jemadari akawa mwandishi wa habari?! Amesoma chuo kipi Cha uandishi wa habari?"Nasikitika kuona tunaacha Kupambana kwa Matokeo ya Uwanjani tuko katika Upuuzi wa Kushindanisha Jezi na Kushadadia kama zimevuja au hapana. Arsenal FC ndiyo Klabu yenye Jezi nzuri mno ila Uwanjani ina Matokeo mabovu na ya Aibu. Kama wana Habari sidhani tunapaswa Kushangilia Kuvuja kwa Jezi badala yake Sisi ndiyo tuwe wa Kwanza Kupinga Uhuni huu kwani unazikosesha sana Mapato Klabu zetu hizi", Jemedari Said Kazumari.
Chanzo: EFM Sports Headquarters
Maulid Kitenge yaani pamoja na Kuzurula Kwako kote Ulaya, UAE, South Africa na Marekani ( kwa Kufadhiliwa ) na wale Jamaa zako wenye Michezo mibaya bado tu hujaacha kuwa Uncivilized kama hivi ulivyo?
Kwa hiyo jezi unazisafirishaje kwenye glass au contena.Kwa akili ya kitopolo unafikiri ungesafirishaje jezi kwenda mikoa yote bila kujulikana???
"Nasikitika kuona tunaacha Kupambana kwa Matokeo ya Uwanjani tuko katika Upuuzi wa Kushindanisha Jezi na Kushadadia kama zimevuja au hapana. Arsenal FC ndiyo Klabu yenye Jezi nzuri mno ila Uwanjani ina Matokeo mabovu na ya Aibu. Kama wana Habari sidhani tunapaswa Kushangilia Kuvuja kwa Jezi badala yake Sisi ndiyo tuwe wa Kwanza Kupinga Uhuni huu kwani unazikosesha sana Mapato Klabu zetu hizi", Jemedari Said Kazumari.
Chanzo: EFM Sports Headquarters
Maulid Kitenge yaani pamoja na Kuzurula Kwako kote Ulaya, UAE, South Africa na Marekani ( kwa Kufadhiliwa ) na wale Jamaa zako wenye Michezo mibaya bado tu hujaacha kuwa Uncivilized kama hivi ulivyo?