Jemedari Said amuumbua Mubashara Maulid Kitenge kwa Kushadadia Kwake Kuvuja kwa Jezi bora ya Simba SC

Jemedari Said amuumbua Mubashara Maulid Kitenge kwa Kushadadia Kwake Kuvuja kwa Jezi bora ya Simba SC

avumilie utani wa kitenge.
Mpumbavu kama Maulid Kitenge anatakiwa Kuvumilika na Watu very serious katika Maendeleo na Ufanisi wa Kimpira nchini?

Tafadhali acha kunilazimisha nikudharau nawe kwani naanza kuona nawe una Vimelea vile vile vya Unafiki na Ujuha wa Ktenge.
 
Mpumbavu kama Maulid Kitenge anatakiwa Kuvumilika na Watu very serious katika Maendeleo na Ufanisi wa Kimpira nchini?

Tafadhali acha kunilazimisha nikudharau nawe kwani naanza kuona nawe una Vimelea vile vile vya Unafiki na Ujuha wa Ktenge.
punguza jazba.
simba na yanga ni watani wa jadi na utani hauna uhusiano wowote na maendeleo na ufanisi wa kimpira nchini.
 
Ushabiki mbaya kwa hiyo Simba kuvuja kwa jezi sio issues, halafu utawasikia "tunataka kuiendesha club yetu kibiashara.......",sasa hiyo biashara itakuwa ya aina gani wakati kuna wajanja wanatengeneza copy na kuziingiza mtaani.
Ni swala la muda tu hata Yanga jezi feki zipo na zitakuepo,ni biashara ya kubwa kuingiza mikono kwenye jezi za hizi timu kubwa Tanzania.
Ila kwa shabiki wa Simba keshajua jezi og za Simba zinapatika na maduka ya vunja bei.
 
Ni swala la muda tu hata Yanga jezi feki zipo na zitakuepo,ni biashara ya kubwa kuingiza mikono kwenye jezi za hizi timu kubwa Tanzania.
Ila kwa shabiki wa Simba keshajua jezi og za Simba zinapatika na maduka ya vunja bei.
Kuwepo zitakuwepo ila kuwepo fake kabla ya uzinduzi rasmi wa jezi ni udhaifu.
 
Samahani popoma ndiyo nini na nani?
Popoma ndiyo wewe a.k.a intera hamwe. Ata ubadilishe ID Mara Mia tunakujua tu kwa kujifanya mjuaji wa kila kitu kumbe popoma tu. Nasubiria povu.
 
Wewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?

au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?

Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Haikuhusu
 
Mm ninachojua huko Simba kuvuja kwa taarifa au nyaraka n ngumu Sana


,,,Hata zilizotoka leo siyo jezi za Simba zipuuzeni ss jez zetu tutazindua hotel nambari moko bongo HYATT HOTEL ,,,,

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama u
Wewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?

au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?

Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Sasa kama unajua kuna udhalimu unaficha nini? Mkuu akili yako haiko sawa wewe ni tatizo nchi hii inabidi ujifikilie mara mbili
 
Wewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?

au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?

Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Hizo taarifa ndo za ukweli hata msimu uliopita yanga wanapata sh 1700 kwenye jezi hela zingine GSM anakunja mfukoni
 
Siri zipi unazozijua zaidi ya oya oya mnajitia taaasisi kubwa ila kutunza siri za taasisi yenu hamuwezi, angekuwepo Manara jumba bovu angepewa yy.
Jezi imevuja jana usiku ndo maana vunja Bei kaziachia madukani fasta siyo mjinga ,isitoshe vunja Bei ndo aliyechukua tenda kwahiyo uzembe na hasara ni kwakwe kwa kuvujisha
 
Ushabiki mbaya kwa hiyo Simba kuvuja kwa jezi sio issues, halafu utawasikia "tunataka kuiendesha club yetu kibiashara.......",sasa hiyo biashara itakuwa ya aina gani wakati kuna wajanja wanatengeneza copy na kuziingiza mtaani.
Kwa akili ya kitopolo unafikiri ungesafirishaje jezi kwenda mikoa yote bila kujulikana???
 
Back
Top Bottom