MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Samahani popoma ndiyo nini na nani?swala hapa ni tambala zetu hizo popoma usihamishe magoli kwa jamaa
Simba tumepigwa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani popoma ndiyo nini na nani?swala hapa ni tambala zetu hizo popoma usihamishe magoli kwa jamaa
Simba tumepigwa hapa
ni mtuSamahani popoma ndiyo nini na nani?
Mpumbavu kama Maulid Kitenge anatakiwa Kuvumilika na Watu very serious katika Maendeleo na Ufanisi wa Kimpira nchini?avumilie utani wa kitenge.
Uliinunua au hata Kuwanunulia Kwenu?Jezi tangu juzi inauzwa elfu sita bei ya jumla
UncivilezedKuna mahala nimeandika "unciviled" kama ulivyoandika hapa Wewe?
punguza jazba.Mpumbavu kama Maulid Kitenge anatakiwa Kuvumilika na Watu very serious katika Maendeleo na Ufanisi wa Kimpira nchini?
Tafadhali acha kunilazimisha nikudharau nawe kwani naanza kuona nawe una Vimelea vile vile vya Unafiki na Ujuha wa Ktenge.
Umetoka Kukazwa hivyo Umelewa au?
Ni swala la muda tu hata Yanga jezi feki zipo na zitakuepo,ni biashara ya kubwa kuingiza mikono kwenye jezi za hizi timu kubwa Tanzania.Ushabiki mbaya kwa hiyo Simba kuvuja kwa jezi sio issues, halafu utawasikia "tunataka kuiendesha club yetu kibiashara.......",sasa hiyo biashara itakuwa ya aina gani wakati kuna wajanja wanatengeneza copy na kuziingiza mtaani.
Izo jezi nimenunu pic 100 kwa 60,000 nipoapa Makoroboi Mwanza,nawewe njoo ujipatie kwa 9000 kwa bei ya Jumla.Uliinunua au hata Kuwanunulia Kwenu?
Kuwepo zitakuwepo ila kuwepo fake kabla ya uzinduzi rasmi wa jezi ni udhaifu.Ni swala la muda tu hata Yanga jezi feki zipo na zitakuepo,ni biashara ya kubwa kuingiza mikono kwenye jezi za hizi timu kubwa Tanzania.
Ila kwa shabiki wa Simba keshajua jezi og za Simba zinapatika na maduka ya vunja bei.
Ni shida"Unciviled"mfafanulie kwa kiswahili huenda asieelewe ukampa kazi ya kuingia kwenye kamusi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Popoma ndiyo wewe a.k.a intera hamwe. Ata ubadilishe ID Mara Mia tunakujua tu kwa kujifanya mjuaji wa kila kitu kumbe popoma tu. Nasubiria povu.Samahani popoma ndiyo nini na nani?
HaikuhusuWewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?
au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?
Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Hakuna mwenye muda wa kununua madekio ya maliwatoniUliinunua au hata Kuwanunulia Kwenu?
Sasa kama unajua kuna udhalimu unaficha nini? Mkuu akili yako haiko sawa wewe ni tatizo nchi hii inabidi ujifikilie mara mbiliWewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?
au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?
Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Hizo taarifa ndo za ukweli hata msimu uliopita yanga wanapata sh 1700 kwenye jezi hela zingine GSM anakunja mfukoniWewe Jezi mpya za Yanga SC zenye Vikaragosi vingi akina GSM wamewalipa Yanga SC kiasi chochote?
au unataka nije sasa hivi na Taarifa ya Siri ambayo inafichwa ya GSM ( na siyo Yanga SC ) kutaka kuchukua Mapato ya 85% kwa Kiingilio cha Siku ya Wananchi na kwamba katika kila Mauzo ya Jezi mpya za Yanga zinazouzwa Tsh 35,000/= Klabu ya Yanga itaambulia tu Tsh 1,700/= na Tsh 33,300/= inabaki kwa GSM kama Faida?
Uko tayari nije na huo Uzi ili mshangae?
Jezi imevuja jana usiku ndo maana vunja Bei kaziachia madukani fasta siyo mjinga ,isitoshe vunja Bei ndo aliyechukua tenda kwahiyo uzembe na hasara ni kwakwe kwa kuvujishaSiri zipi unazozijua zaidi ya oya oya mnajitia taaasisi kubwa ila kutunza siri za taasisi yenu hamuwezi, angekuwepo Manara jumba bovu angepewa yy.
Kwa akili ya kitopolo unafikiri ungesafirishaje jezi kwenda mikoa yote bila kujulikana???Ushabiki mbaya kwa hiyo Simba kuvuja kwa jezi sio issues, halafu utawasikia "tunataka kuiendesha club yetu kibiashara.......",sasa hiyo biashara itakuwa ya aina gani wakati kuna wajanja wanatengeneza copy na kuziingiza mtaani.