NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Spana ziendelee kwa zeruzeru hadi ajifunze kuheshimu wenginehii vita ya Haji na binkazumari itaishia kwa Haji kulalamika ananyanyapaliwa kwa ulemavu wake,Haji anajulikana mwepesi sana wa kuwasema wenzie walivyoumbwa ila yeye akipigwa moja tu anataka aonewe huruma na nchi nzima.
Kuna sehemu yoyote Haji katika iyo picha amezungumzia maumbile!!hii vita ya Haji na binkazumari itaishia kwa Haji kulalamika ananyanyapaliwa kwa ulemavu wake,Haji anajulikana mwepesi sana wa kuwasema wenzie walivyoumbwa ila yeye akipigwa moja tu anataka aonewe huruma na nchi nzima.
Dewji yupi?Kiingereza sio kipimo cha Akili.
Mo Dewji hajui kiingereza cha kuongea vizuri ila anapesa nyingi kuliko Senzo Mbatha CEO wa YANGA SC.
Zipo picha zake za zamani kavaa kanzu imechoka anakula wali kwenye sinia huku nzi wamemzunguka,watu wanatuma kwenye akaunti zake analalamika anadhalilishwa,ila akifanya yeye adhalilishi wenzie.Kuna sehemu yoyote Haji katika iyo picha amezungumzia maumbile!!
Wenye akili ni WAWILI tu pale YANGA!Jemedari yupo pale kuichafua Yanga,na hakuna namna huyo Kazumari inabidi achafuliwe yeye mwenyewe.........na kazi hiyo anaachiwa Haji Manara
Hakuna cha kumuonea huruma mtu
Manara is here to stay
Zipo picha zake za zamani kavaa kanzu imechoka anakula wali kwenye sinia huku nzi wamemzunguka,watu wanatuma kwenye akaunti zake analalamika anadhalilishwa,ila akifanya yeye adhalilishi wenzie.
Haji Manara ninayemjua Mimi Kiingereza chake anachokijua ni cha 30% tu ila cha Mchambuzi Jemedari Said Kazumari nimjuaye Mimi chake ni cha 75% na hata Wawili hawa tukisema tuwapapambanishe Kukizungumza Haji Manara atatafuta mahala kwa Kukimbilia kwani najua atamshindwa tu Jemedari Said Kazumari.Haji Manara ameishiwa hoja, amesikika akimponda Bin Kazumari kuwa hajui kuongea lugha ya kiingereza, hivyo hawezi kuwa wakala wa mchezaji Farid Mussa, anasema wakala lazima ajue kimombo, akamsifia sana Oscar Oscar kuwa anajua kimombo vizuri na ndio maana anasafiri mara kwa mara nchini Marekani.
Manara amesafiri sana na Simba akiwa nje ya nchi, lini aliwahi kuonekana ama kusikika akiongea lugha hiyo zaidi ya kupiga nao picha, siku moja afanye conference kwa lugha ya kiingereza ili watu wamsikilize akijiuma uma meno, huyo Oscar anayemsifia lini aliwahi kuongea lugha hiyo, kwenda Marekani sio hoja, huyo Kitenge anashinda huko Ulaya lakini hajawahi kusikika akiongea hata siku moja, wachambuzi wanaomwaga ngeli na wanajulikana tumewaona ni Geoffrey Lea, Ibrahim Masoud, Shaffih Dauda, Edgar Kibwana, sio wewe popoma Manara, wala Kitenge wala Oscar.
Haji Manara ninayemjua Mimi Kiingereza chake anachokijua ni cha 30% tu ila cha Mchambuzi Jemedari Said Kazumari nimjuaye Mimi chake ni cha 75% na hata Wawili hawa tukisema tuwapapambanishe Kukizungumza Haji Manara atatafuta mahala kwa Kukimbilia kwani najua atamshindwa tu Jemedari Said Kazumari.
Ila kwenu yupo Mmoja tu,anayekula bukubuku zenuWenye akili ni WAWILI tu pale YANGA!
Ulidhani atapinga humo utopoloni wote hawana akili kasoro watu wawili tuKo umeona domokunuka Yuko sahihi?
Ugomvi wa uto asili na uto maslahiHawa wana bifu laoView attachment 2261329
Sema tu kuwa hajui kwanini Unazunguka na Unaogopa Mkuu?Manara ana kiingereza cha kudokoa dokoa
Nyinyi simba ndiyo mlio mfundisha huyu mbwiga hii tabia mbaya ya kusema watu wengine kwa maneno ya kejeli, dharau na dhihaka!Manara kampiga majungu na kebehi jemedari tena kwa udhalilishaji mkubwa akimsema jemedari kuwa mchafu hapendi kuoga
Lakini mtakumbuka kuwa ameandika hayo muda mfupi uliopita baada ya kulalamika kuhusu tabia ya wabongo kumsema kupitia ulemavu wake.
Hapo ndio nakumbuka maneno ya jemedari aliyojibu malalamiko ya manara
Kuwa ni kweli tabia hiyo sio nzuri na haifai kuigwa ila manara una leta double standards maana hata wewe umekuwa ukiwaponda wengine kwa mapungufu yao.
Ulishawahi kumuita mwakalebela ana kilo 800, ile ni weakness yake naye hapendi kama ambavyo wewe usivyopenda kuona mtu ana kashifu albinism yako.
Sisi hatuna shida na mdomo wa lastic ila jua tu ukizingua usituchagulie silahaNyinyi simba mdiyo mlio mfundisha huyu mbwiga hii tabia mbaya ya kusema watu wengine kwa maneno ya kejeli, dharau na dhihaka!
Hivyo ni wakati wenu sasa wa kuvumilia maumivu. Hatutaki kuwaona mkilia lia humu na huyo Kazumari wenu.
Hapo ndo akili yako inapokomea Manara hakukosea. Nyani ni Nyani tu hata akihamia kwenye makazi binadamu atabaki kuwa Nyani .Mama yako ndo yupo sahihi