Jemedari Said anajua vizuri lugha ya kiingereza, Haji Manara punguza chuki binafsi

hii vita ya Haji na binkazumari itaishia kwa Haji kulalamika ananyanyapaliwa kwa ulemavu wake,Haji anajulikana mwepesi sana wa kuwasema wenzie walivyoumbwa ila yeye akipigwa moja tu anataka aonewe huruma na nchi nzima.
 
hii vita ya Haji na binkazumari itaishia kwa Haji kulalamika ananyanyapaliwa kwa ulemavu wake,Haji anajulikana mwepesi sana wa kuwasema wenzie walivyoumbwa ila yeye akipigwa moja tu anataka aonewe huruma na nchi nzima.
Spana ziendelee kwa zeruzeru hadi ajifunze kuheshimu wengine
 
hii vita ya Haji na binkazumari itaishia kwa Haji kulalamika ananyanyapaliwa kwa ulemavu wake,Haji anajulikana mwepesi sana wa kuwasema wenzie walivyoumbwa ila yeye akipigwa moja tu anataka aonewe huruma na nchi nzima.
Kuna sehemu yoyote Haji katika iyo picha amezungumzia maumbile!!
 
Kuna sehemu yoyote Haji katika iyo picha amezungumzia maumbile!!
Zipo picha zake za zamani kavaa kanzu imechoka anakula wali kwenye sinia huku nzi wamemzunguka,watu wanatuma kwenye akaunti zake analalamika anadhalilishwa,ila akifanya yeye adhalilishi wenzie.
 
Jemedari yupo pale kuichafua Yanga,na hakuna namna huyo Kazumari inabidi achafuliwe yeye mwenyewe.........na kazi hiyo anaachiwa Haji Manara

Hakuna cha kumuonea huruma mtu
Manara is here to stay
Wenye akili ni WAWILI tu pale YANGA!
 
Zipo picha zake za zamani kavaa kanzu imechoka anakula wali kwenye sinia huku nzi wamemzunguka,watu wanatuma kwenye akaunti zake analalamika anadhalilishwa,ila akifanya yeye adhalilishi wenzie.
 

Attachments

  • FB_IMG_1639067026754.jpg
    13.9 KB · Views: 7
  • JamiiForums289186523.jpeg
    127.8 KB · Views: 8
  • IMG-20210908-WA0004.jpg
    32.3 KB · Views: 8
  • JamiiForums-1748518016.jpeg
    8.9 KB · Views: 9
Haji Manara ninayemjua Mimi Kiingereza chake anachokijua ni cha 30% tu ila cha Mchambuzi Jemedari Said Kazumari nimjuaye Mimi chake ni cha 75% na hata Wawili hawa tukisema tuwapapambanishe Kukizungumza Haji Manara atatafuta mahala kwa Kukimbilia kwani najua atamshindwa tu Jemedari Said Kazumari.
 
Kanzu na sendo au kibazi ndio zinaendana
 
Manara ana kiingereza cha kudokoa dokoa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii sasa lol
 
Huyu Takadini anawaokota watu walio na silka ya kiume, ndo anaonekana yeye anajua kuropoka, mbna hawachokozi wenye hulka ya kike ili wamsuuze vizuri, km kweli yeye ni konkiii wa michambo.

Akiguswaga kidogo tyuuh anakimbilia kulalama kisa yeye ni Sope mxxieeew, wacha apaparike siku atayavagaa kwa vidampa wenzie atajua hajui, nyokooooh.
 
Nyinyi simba ndiyo mlio mfundisha huyu mbwiga hii tabia mbaya ya kusema watu wengine kwa maneno ya kejeli, dharau na dhihaka!
Hivyo ni wakati wenu sasa wa kuvumilia maumivu. Hatutaki kuwaona mkilia lia humu na huyo Kazumari wenu.
 
Nyinyi simba mdiyo mlio mfundisha huyu mbwiga hii tabia mbaya ya kusema watu wengine kwa maneno ya kejeli, dharau na dhihaka!
Hivyo ni wakati wenu sasa wa kuvumilia maumivu. Hatutaki kuwaona mkilia lia humu na huyo Kazumari wenu.
Sisi hatuna shida na mdomo wa lastic ila jua tu ukizingua usituchagulie silaha

Tutatumia kila aina ya fedhea ambayo tunaona itakuuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…