Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hiki kichwa panzi hakuna anachojua zaidi ya kujitahidi kutoficha mahaba yake ya wazi kwa makolo. Imepelekea hata anachoandika haaminiki zaidi wengi tutajua mlengo wake ni upi. Nadhani ajirekebishe kwanza kwa kutokua bias kwenye maoni yake baada ya hapo ndio tutamsikiliza.BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
Otherwise atabaki kuwa kichwa panzi tu.