Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Muda ni mali, ukiupoteza umepotea siku, nimewahi kufanya kazi ya uandishi wa habari kuanzia mwaka 1998 - 2008 nikiandikia magazeti ya Nipashe na Alasiri na kidooogo sana gazeti la Lete Raha, enzi hizo Alasiri ni gazeti hasa.Kwahiyo naifahamu kazi ya uandishi wa habari.
Vyombo vya habari must speak for the people, sio unaongelea mambo yako binafsi ili kumfurahisha mtu au uonekane kuwa una msimamo fulani, Big No.
Simchukii ila mbali na uandishi wa habari niliokuwa nao, kwa elimu yangu pia ya Political Science and Public Administration which I was conferred at the level of Bachelors degree and as of now pursuing LL.B, nawashauri msipoteze muda kumsikiliza Jemedari Said.
Changamoto anazozieleza huyu mshamba wa kusini zipo katika kila institutions, yeye yuko katika media moja but media hiyo ina matatizo kibao, haina motivation, watumishi wanahama, wengine hawazingati maadili katika magazine, unaendaje kazini na jeans, umenyoa kiduku, watumishi aina ya Dkt Kumbukaa ambao elimu yao ni ya kuunga unga matusi kibao kwenye mitandao ya kijamii lakini wao hawasemi, kwahiyo hiyo media unayofanya kazi inawalipa vzr saaaana nyie mbona mwalalamika mishahara, mbona media yenu ina uchale mwingi sana na watu wamekaa tu kimya.
Uchambuzi wake mimi simsikilizi sana ila namuona sana kwenye page yake ila baada ya kumbaini ni msanii, hana ishu, hana uwezo wa kuchambua namu unfollow kuanzia leo na sisikilizi tena redio anayofanyia kazi yeye.Naanza na huyu.
Vyombo vya habari must speak for the people, sio unaongelea mambo yako binafsi ili kumfurahisha mtu au uonekane kuwa una msimamo fulani, Big No.
Simchukii ila mbali na uandishi wa habari niliokuwa nao, kwa elimu yangu pia ya Political Science and Public Administration which I was conferred at the level of Bachelors degree and as of now pursuing LL.B, nawashauri msipoteze muda kumsikiliza Jemedari Said.
Changamoto anazozieleza huyu mshamba wa kusini zipo katika kila institutions, yeye yuko katika media moja but media hiyo ina matatizo kibao, haina motivation, watumishi wanahama, wengine hawazingati maadili katika magazine, unaendaje kazini na jeans, umenyoa kiduku, watumishi aina ya Dkt Kumbukaa ambao elimu yao ni ya kuunga unga matusi kibao kwenye mitandao ya kijamii lakini wao hawasemi, kwahiyo hiyo media unayofanya kazi inawalipa vzr saaaana nyie mbona mwalalamika mishahara, mbona media yenu ina uchale mwingi sana na watu wamekaa tu kimya.
Uchambuzi wake mimi simsikilizi sana ila namuona sana kwenye page yake ila baada ya kumbaini ni msanii, hana ishu, hana uwezo wa kuchambua namu unfollow kuanzia leo na sisikilizi tena redio anayofanyia kazi yeye.Naanza na huyu.