Jemedari Said ni mmoja wa wachambuzi ambao hupaswi kupoteza muda wako kuwasikiliza mwaka 2024

Jemedari Said ni mmoja wa wachambuzi ambao hupaswi kupoteza muda wako kuwasikiliza mwaka 2024

Kwamba lazima asifie UTOPOLO FC [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Si ndiyo huyu mlikuwa mnamsifia humu jukwaani alipokuwa anaichamba Yanga usiku na mchana kwa hadithi zake za uzushi, kupitia hicho kituo anachofanyia kazi!!

Mimi nashauri na nyinyi muwe tu wapole ili dawa iwaingie vizuri.
Kuna watu sababu yupo nyuma ya Kamera au microphone basi anajiona naye ni mchambuzi. Mchambuz ambaye kiukweli namuheshimu ni Ally Mayai ni mchambuzi mkweli na hana ubaya na timu yoyote licha ya kuwa alichezea Yanga lakini ikifika wakati wa uchambuzi anasema ukweli hata kama tatizo lipo yanga anasema.Nadhani kinachomsaidia ni kuongelea kiufundi zaidi kuliko kishabiki. Sasa huyu Jeme yeye hana sifa hata moja amekalia ushabiki wa ajabu. Ukishakuwa mshabiki hufai kuwa mchambuzi kwenye media, labda vijiweni. Mchambuzi kwenye media unatakiwa kuwa fair kwa maana huna upande wowote unaoshabikia. Jeme yeye amekuwa na tabia kuishambulia Yanga bila kuchambua yeye kila kitu ni kukosoa mpaka unajiuliza hakuna zuri hata moja. Ntamshangaa mtu ambaye anamuamini huyu kuwa ni mchambuzi.
 
Heri hata hawa wachambuzi wa redio za Dar wanaangalia ligi za nje na kujua wachezaji na timu zao, ukienda mikoani wachambuzi hata hawajui wachezaji timu wanazocheza, hata kutamka majina ya wachezaji wanatamka tofauti kabisa mpaka unajiuliza mbona sijawahi kuona hilo jina kwenye kikosi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati tunawaambia Huyo ni bomu mlituona haters. Afadhali wenyewe mmejionea.
Uongooo, shida ni kwamba sio shabiki wa utopolooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo nishamunfollow kitambo hata sitaki kisikia sauti yake
 
Si ndiyo huyu mlikuwa mnamsifia humu jukwaani alipokuwa anaichamba Yanga usiku na mchana kwa hadithi zake za uzushi, kupitia hicho kituo anachofanyia kazi!!

Mimi nashauri na nyinyi muwe tu wapole ili dawa iwaingie vizuri.
Kawageuka mikia sasa hivi,ili mradi kawwchokoza mikia jeme kazi anayo
 
Kwa sababu alikuwa anasema yaliyowafurahisha. Kama hawampi hela tena atushambulie watulie ni zamu yao.
Yule si mchambuzi that y huwezi kumsikia akichambua ndani ya pitch kamwe,yeye uchambua ya nje ya pitch tu,namjua vzr sana kipindi yuko azam fc baadae akawepo pale tff kuna zilifanya tuwe close,ni mbishi na mjuaji kupitiliza akubaligi kushindwa kwenye upumbavu wake
 
Nafikiri asilimia kubwa ya watanzania hawapendi watu wakweli,wasio waoga .
 
Muda ni mali, ukiupoteza umepotea siku, nimewahi kufanya kazi ya uandishi wa habari kuanzia mwaka 1998 - 2008 nikiandikia magazeti ya Nipashe na Alasiri na kidooogo sana gazeti la Lete Raha, enzi hizo Alasiri ni gazeti hasa.Kwahiyo naifahamu kazi ya uandishi wa habari.

Vyombo vya habari must speak for the people, sio unaongelea mambo yako binafsi ili kumfurahisha mtu au uonekane kuwa una msimamo fulani, Big No.

Simchukii ila mbali na uandishi wa habari niliokuwa nao, kwa elimu yangu pia ya Political Science and Public Administration which I was conferred at the level of Bachelors degree and as of now pursuing LL.B, nawashauri msipoteze muda kumsikiliza Jemedari Said.

Changamoto anazozieleza huyu mshamba wa kusini zipo katika kila institutions, yeye yuko katika media moja but media hiyo ina matatizo kibao, haina motivation, watumishi wanahama, wengine hawazingati maadili katika magazine, unaendaje kazini na jeans, umenyoa kiduku, watumishi aina ya Dkt Kumbukaa ambao elimu yao ni ya kuunga unga matusi kibao kwenye mitandao ya kijamii lakini wao hawasemi, kwahiyo hiyo media unayofanya kazi inawalipa vzr saaaana nyie mbona mwalalamika mishahara, mbona media yenu ina uchale mwingi sana na watu wamekaa tu kimya.

Uchambuzi wake mimi simsikilizi sana ila namuona sana kwenye page yake ila baada ya kumbaini ni msanii, hana ishu, hana uwezo wa kuchambua namu unfollow kuanzia leo na sisikilizi tena redio anayofanyia kazi yeye.Naanza na huyu.
Nafikiri asilimia kubwa ya watanzania hawapendi watu wakweli,wasio waoga,wanapenda watu wakuita mwiko ni kijiko kikubwa .
 
Tanzania bana kila mchambuzi hajui mpira ..mie nadhani nyie mashabiki ndio mna matatizo ukizingatia timu zenu

Wawili wenye akili Fc vs Mbumbumbu Fc
 
Back
Top Bottom