Jemedari Said: Simba ni underdogs

Jemedari Said: Simba ni underdogs

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kuelekea mchezo wa klabu bingwa afrika kati ya AS Vita vs Simba, mchambuzi wa michezo wa Efm, Jemedari Said akiongea asubuhi hii kwenye kipindi cha Sports Headquarters amesema Simba ni underdogs!

Amesema, Simba itaingia mechi ya kesho kama underdogs, hivyo AS Vita wana nafasi zaidi ya kuibuka na ushindi, japo amekiri Simba hii ni nzuri kuliko Simba ile ya wakati ule ilipofungwa 5-0.

"Nitawashangaa sana Simba kama wataruhusu kufungwa goli kuanzia 3 kwakuwa As Vita imeuza wachezaji wake wengi waloikuwa tegemeo" aliongeza Jemedari Said.

Nitumie nafasi kuwatakia As Vita ushindi kwenye mechi ya kesho dhidi ya underdog Simba!
 
Simba hafungwi ndugu yangu utapasua hizo ashua bure tu kwa kuzibana.
Kwa mitizamo kama hii kwenye michezo ni hatari sana kwa afya yako na taifa!!ndio maana kila siku mnafukuza makocha mkidhania ndio chanzo cha timu zenu(club/taifa)kumbe wachawi ni nyie.na hapo ndipo kunaonyesha kuwa wewe ni shabiki wa mpira na sio mpenzi wa soka!!kwa sasa barca ni under dog kwa buyern munich.
 
Huyu anatafuta umaarufu tu wote walioingiaa hii michuano sio wageni anasema ili mradi waanze kumjadili
 
Kwa mitizamo kama hii kwenye michezo ni hatari sana kwa afya yako na taifa!!ndio maana kila siku mnafukuza makocha mkidhania ndio chanzo cha timu zenu(club/taifa)kumbe wachawi ni nyie.na hapo ndipo kunaonyesha kuwa wewe ni shabiki wa mpira na sio mpenzi wa soka!!kwa sasa barca ni under dog kwa buyern munich,
Umeni quote ila sijaona point yako kuhusiana na comment yangu it's like umem quote the wrong person.
 
Kuelekea mchezo wa klabu bingwa afrika kati ya AS Vita vs Simba, mchambuzi wa michezo wa Efm, Jemedari Said akiongea asubuhi hii kwenye kipindi cha Sports Headquarters amesema Simba ni underdogs!

Amesema, Simba itaingia mechi ya kesho kama underdogs, hivyo AS Vita wana nafasi zaidi ya kuibuka na ushindi, japo amekiri Simba hii ni nzuri kuliko Simba ile ya wakati ule ilipofungwa 5-0.

"Nitawashangaa sana Simba kama wataruhusu kufungwa goli kuanzia 3 kwakuwa As Vita imeuza wachezaji wake wengi waloikuwa tegemeo" aliongeza Jemedari Said.

Nitumie nafasi kuwatakia As Vita ushindi kwenye mechi ya kesho dhidi ya underdog Simba!
Dua la nyani halimpati Simba
 
Ndiyo msimu wao huu umeshawadia! Utawasikia Waarabu wa Misri; Khamsa khamsa! Allah Akbar!! Wabillah Tawfiq! Asalalleh mbumbumbu wa Tanzanie!!!
.
FB_IMG_1612867223083.jpg
 
Back
Top Bottom