GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ukiona hadi GENTAMYCINE namkubali Mtu jua yuko vizuri Kichwani ( Kiakili ) na hata Kiutendaji. Huwa sipendi Vibovu Vibovu na hiyo ( hii ) huwa ni Desturi yangu.Jamaa ni mkweli hafichi fichi mambo
Kwahiyo ulitaka Wewe 'Imbecile' ndiyo uwe 'Reference' yangu? Siku zote Ukweli huuma zaidi kwa Watu Wapuuzi na Wanafiki.Kwamba Jemedari ndiyo reference yako? Basi tuna shida kubwa
Jemedari ameitoa hiyo CAF, kwa hiyo hiyo ni reference ya CAFKwamba Jemedari ndiyo reference yako? Basi tuna shida kubwa
Mental Case hii.Ukubwa wa Simba ni wa mchongo, ndio maana uwa anaanzia ugenini na anakuja kutolewa kwenye mashindano Nyumbani mfano Juenang galaxy, Kaizer Chief, Libolo fc n.k Timu zenye uhalisia katika ukubwa wao ambao si za mchongo siku zote shughuli uwa Zina maliza Nyumbani.
Yanga ndio mkubwa kwakua anamtandika Simba muda na wakati wowote na Mataji anayabeba,Uzuri wa ukubwa huitaji kujitutumua ni Mataji tu yanaongea.
Jemedari kasema kwa mujibu wa kanuniKwamba Jemedari ndiyo reference yako? Basi tuna shida kubwa
Kwa hiyo ukubwa wa yanga ni kumfunga simba tu ?Ukubwa wa Simba ni wa mchongo, ndio maana uwa anaanzia ugenini na anakuja kutolewa kwenye mashindano Nyumbani mfano Juenang galaxy, Kaizer Chief, Libolo fc n.k Timu zenye uhalisia katika ukubwa wao ambao si za mchongo siku zote shughuli uwa Zina maliza Nyumbani.
Yanga ndio mkubwa kwakua anamtandika Simba muda na wakati wowote na Mataji anayabeba,Uzuri wa ukubwa huitaji kujitutumua ni Mataji tu yanaongea.
Hii ni ya kupatiwa wodi mapema pale makao makuuMental Case hii.
Si kumfunga Simba tu, Yanga Ndiye mmbabe wa timu zote nchini ila raha ya Yanga, kumfunga Simba mara nyingi kuliko timu yoyote nchini, Simba ambayo inajitutumua ionekane kubwa kumbe ni kibonde wa kutupwa.Kwa hiyo ukubwa wa yanga ni kumfunga simba tu ?
kweli wenye akili ni wawili utopoloni
"Kwa raundi hii na kwa Kanuni za CAF ni kwamba zile Timu zote Kubwa zinaanzia Ugenini ila zile dhaifu na zinazodemadema zinaanzia Nyumbani" amesema Jemedari Said Kazumari EFM Sports Headquarters.
Ninachompendea Mchambuzi huyu Mahiri kwa sasa Tanzania nzima Jemedari Said Kazumari wa EFM na TvE ni kwamba huwa hakwepeshi na anapiga mule mule Ikulu tu bila ya kujali kuwa kwa Asili Yeye ni mwana Yanga SC lia lia.
Haya hebu njooni sasa mumpinge!!!
Kwa kulinganisha timu mbili zinazokutana na si kwa pool yoteJemedari kasema kwa mujibu wa kanuni
kweli listi ni ile ile ni wawili tu
Kweli"Kwa raundi hii na kwa kanuni za CAF ni kwamba, zile timu zote kubwa zinaanzia ugenini ila zile dhaifu na zinazodemadema zinaanzia nyumbani", amesema Jemedari Said Kazumari EFM Sports Headquarters.
Ninachompendea mchambuzi huyu mahiri kwa sasa Tanzania nzima Jemedari Said Kazumari wa EFM na TvE ni kwamba, huwa hakwepeshi na anapiga mule mule Ikulu tu bila ya kujali kuwa kwa asili yeye ni mwana Yanga SC lia lia.
Haya hebu njooni sasa mumpinge!