Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hizo mechi za kimataifa watafika huko bila hizi za kitaifa!?Jemedari said kasema uwezo wa wachezaji toka nje waliosajiliwa Simba na Yanga , uhalali wao wa kusajiliwa unatakiwa uonekane kwenye mechi za kimataifa na siyo kwenye mechi za ndani ya nchi.
Ana hoja, asikilizwe.
Mama yako atacheza namba ngapi nitafurahi kumwona jezo imembanaLakini Dube anacheza mashindano ya club bingwa
Simba wanaoshiriki mashindano ya akina mama
Mama angu hachezi mpiraMama yako atacheza namba ngapi nitafurahi kumwona jezo imembana
Sasa sijui kama umeelewa mantiki..Sasa hizo mechi za kimataifa watafika huko bila hizi za kitaifa!?
Lakini wa kitandani si anauchezaMama angu hachezi mpira
Labda tuwaulize nyie wamama wa Simba
Mama hachezi mpira sehemu yoyoteLakini wa kitandani si anaucheza
Kama ni mashindano ya wamama wa kwako atadakaMama hachezi mpira sehemu yoyote
Vip Simba huko kwenye mashindano ya akina mama ambayo ni rede
hayo mashindano yanawahusu wamama wa Simba tuKama ni mashindano ya wamama wa kwako atadaka
Huoni aibu kijana?? Yani wenzio wamekuachia uonekane mshamba hakuna anaeongea huo ushubwada....na uzuzu huo....mashindano hayo uliyoyatolea jasho miaka mfululizo..maana hata ww awali ulikua mwana mama...hahahahNa kushangilia Simba inayoshiriki mashindano yenu ya akina mama ndo nini Sasa
Sio Mimi lakiniHuoni aibu kijana?? Yani wenzio wamekuachia uonekane mshamba hakuna anaeongea huo ushubwada....na uzuzu huo....mashindano hayo uliyoyatolea jasho miaka mfululizo..maana hata ww awali ulikua mwana mama...hahahah
Yani unaonekana ww una gubu sana hata kwny familia yako..hahahahahh
Sio Mimi lakini
Aliyeyaita mashindano ya akina mama ni Mwina Kaduguda Kiongozi pale Simba
Kaduguda ndo muasisi
Jamani Makolo me Sina kosa mlaumu Kaduguda Kiongozi wa Simba CAFCC aliyakashfu mwenyewe lakini hujafa hujaumbika nyie ndo mpo Shirikisho,
Acheni tuwapopoe na ss
Siyo sheria, wachezaji kutoka nje kazi yao ni zaidi ya uwanjani.Huwezi kumsajili mchezaji Toka nje kama anachokuja kufanya ni kile kinachoweza kufanyiwa na wachezaji wa ndani.
Vipi huko nyuma mwiko Manara aliposema wenye akili ni wawili baba ake na Jk ulimwelewa?Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
Changia mada, jamaa ana hoja ya msingi tena kwa wote Simba na Yanga....ila kichwa kimekaa kiuchawauchawa tu...huwazi chochote ni kuropoka tu.Yanga ndo wana mashindano ya kimataifa
Yaani club bingwa
Hao wengine wanacheza UMITASHUMITA
Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kusema eti ni kombe la akina mama
Nisamehe mkuuChangia mada, jamaa ana hoja ya msingi tena kwa wote Simba na Yanga....ila kichwa kimekaa kiuchawauchawa tu...huwazi chochote ni kuropoka tu.
Hahahaaa...imebidi nicheke tuNisamehe mkuu
Leo nakuwa mpoleHahahaaa...imebidi nicheke tu
Sio wewe ulisema umeacha kushabikia Mpira?Yanga ndo wana mashindano ya kimataifa
Yaani club bingwa
Hao wengine wanacheza UMITASHUMITA
Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kusema eti ni kombe la akina mama