Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula, ametimiza umri wa karne moja (miaka 101) tangu alipozaliwa Januari 4, 1920.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.