Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Alipewa suspension pia home akawa street kwa mda..Bila shaka huyo dogo kipigo alichokutana nacho hatakisahau!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipewa suspension pia home akawa street kwa mda..Bila shaka huyo dogo kipigo alichokutana nacho hatakisahau!
unaweza kuta ni mke wake wa kwanza maana jamaa nafikiri anafikisha wake 12 na watoto ndio usiseme.Huyo wa kushoto kwake ni mama yake mzazi?
Hongera zake,na huyo bibi ni mama yake nini?
Pichani mkewe na wajukuu[emoji23][emoji23]MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula, ametimiza umri wa karne moja (miaka 101) tangu alipozaliwa Januari 4, 1920.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.
View attachment 1668029
View attachment 1668031
Mungu mkuu, familia yake inawanawake watupu vinginevyo ingekuwa shida kwa jinsi walivyo huko.MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula, ametimiza umri wa karne moja (miaka 101) tangu alipozaliwa Januari 4, 1920.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.
View attachment 1668029
View attachment 1668031
Ni kweli.Askari wana kamsemo fulani eti heshima ya askari ni kufa kwa risasi badala ya kifo cha kifala. Sijui ni kutiana moyo hususan kwa "wapiganaji" wanaotangulia mbele? Anyway, HBD kwa Kamanda.
Kama umezoea kufungua zipu kwa kila unaemtamani hilo sahauKheri yake sijui Mimi Kama ntantoboa hata Nusu ya umri wake aisee
Nina baba yangu mdogo kijijini saa hivi analima ni mstaafu (ssgt)juzi katimiza miaka 96 na ni mzima analima na bado juu ya mti anakwea na nyuvu bado anazo sema tuu meno ndio yameisha yote mdomoni hapa ninavyoongea ndio juzi watoto wamemkataza asikwee juu ya mitiHawa lazima waishi maisha marefu sana kwani huduma zote za muhimu anapata, kama bado yupo kazini tu!! Ndio maana hadi leo ukiwaona bado wana nguvu tu, jana nimemuona GEN. Salakikya mkuu wa majeshi wa kwanza (1964-1974) bado mzima kabisaaa!!!!
Nadhani Mwamunyange ndio ataishi sana na ule mwili wake!!! tofauti na kada nyingine ukistafu tu ndio njia ya kifo!!kwanza kuwaza mafao tu, yanakata robo ya miaka yako uliyobakiza!!
Tarehe anaweza asiijue,ila mwaka anaweza akaujua maana ndo Vita kuu ya kwanza ilikuwa inamalizika wakati huo.Anaijua tarehe yake ya kuzaliwa ? Hongera zake hata hivyo kwa kutimiza karne, unavuna ulichopanda Biblia inatufundisha, ...
Kwa cheo alichofikia jeshini anakula mshahara mpaka siku ya kufa kwakeAishi zaidi ili iweje hapo anawapa watu shida tuu. Sema Mungu ambariki baasi.
Neno lake pekee la Kishujaa ambalo aliwahi Kuniambia zaidi ya mara mbili nilipomtembelea mwaka 2009 Nyumbani Kwake Butiama Mkoani Mara ( jirani na kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ) na akarudia kuniambia tena mwaka jana 2020 Lugalo Hospital VIP Wing alipokuwa amelazwa ni kwamba Siku zote Mwanaume unatakiwa kuwa Mpambanaji, hakuna Kukata Tamaa na Kutokuogopa chochote.MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula, ametimiza umri wa karne moja (miaka 101) tangu alipozaliwa Januari 4, 1920.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.
View attachment 1668029
View attachment 1668031
Kwa kustaafu ssgt lazima awe mkakamavu , misoto kazi ngumu madosoNina baba yangu mdogo kijijini saa hivi analima ni mstaafu (ssgt)juzi katimiza miaka 96 na ni mzima analima na bado juu ya mti anakwea na nyuvu bado anazo sema tuu meno ndio yameisha yote mdomoni hapa ninavyoongea ndio juzi watoto wamemkataza asikwee juu ya miti
Kweli mikeKwa kustaafu ssgt lazima awe mkakamavu , misoto kazi ngumu madoso
angekuwa alikuwa afisa haaaa ,
wale maisha mazuri gari kali lazima iwepo ,madoso anayaona tu kwa wasio maafisa
Hao huko wamejaliwa kuishi miaka mingi cheki waliomzunguka
Sio wote!!wengi wanao staff wakiwa na vyeo vidogo, huwa wanapigika sana!!ma wengi wao kuwa walevi tu, ila hao maafisa hasa kama hao ma Generali ndio wanaokula nchi atatunzwa hadi kifo!!Happy Birthday Major General Musuguli.
Kinacho wasaidia wanajeshi kuishi muda mrefu ni mazoezi waliyoyafanya na wengine huendelea na discipline ya mazoezi hata baada ya kustaafu.
Umri huu mara nyingi tuliishia kusoma kwenye bible.
Happy Birthday Major General Musuguli.
Kinacho wasaidia wanajeshi kuishi muda mrefu ni mazoezi waliyoyafanya na wengine huendelea na discipline ya mazoezi hata baada ya kustaafu.
Umri huu mara nyingi tuliishia kusoma kwenye bible.