Jenerali David Musuguri atimiza umri wa miaka 101 leo

Mungu amemuweka mpaka leo kama kielelezo ili vijana wanaotukana tukana na kulalamika watambue kwamba kuna watu walipata tabu kwny hii nchi hawakula bata wala kupata usingizi katika kulipigania Taifa letu na kulikomboa kutoka kwny mikono ya wanyang'anyi na maadui.

Mungu aendelee kumtunza mzee wetu General Musuguli.πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…