Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Nipo Engine roomHaya ni maagizo ya UNESCO ambayo yana tally na the 2030 agenda which demand Zero Carbon emmission.I believe you can extrapolate and know what Zero Carbon Emmissision means.
Duh!! Mama kama hujuwi kitu funga kopoENEO LA NGORO NGORO NI MBUGA TENGEFU KWA AJILI YA WANYAMA PEKEE, SHUGHULI ZINAZORUHUSIWA NI SHUGHULI ZA KITALII PEKEE, SIO RUHUSA KUONDOSHA AIDHA KUBEBA AIDHA KUHAMISHA WANYAMA KATIKA ENEO HILO.
Very sad!!!Yan wameshindwa hata kuangalia movie ya "gods must be crazy"
Ardhi ya wamasai ndioUNESCO ndio wanaunga mkono hoja hiyo ndio maana husikii lawama popote.
Hakuna kuharibu Hifadhi Kwa Kisingizio Cha Ardhi ya Masai.
Muongo mbwa weweHiyo ni kweli Ngorongoro majengo yote pamoja na lodges na hoteli hazitakiwi kuwepo . Watalii wanatakiwa waingie na na kutalii Kisha wakalale nje ya crater ili kupisha wanyama waishi maisha yao ya kawaida. Mifugo huleta maradhi kwa wanyama pori pia taa zinazowashwa usiku na harufu za diseli ya jenereta zinaadhiri uzazi wa wanyama. Haya tulifundishwa na kuyajadili mwaka 1984 nchini Austria chuo cha Utalii, hoteli na catering. Vinginevyo wanyama wote watatoweka ndani ya crater.
We mpuuzi kweli, kwahiyo wangempindua Samia ndio unadhani angewekwa fisadi mwingine wa CCM mambo yangebadilika?Huyu nae bora angekaa kimya tu!
.
Tabu yote hii ni sababu yake, wakati wenzie walishashtuka.
Umesema ukweli kabisa!Kwa hiyo NO human activities
Multiple land status IMEONDOLEWA
Mkumbuke watalii huja kuona jinsi binadamu anavyoweza kuishi pamoja na wanyama bila tatizo na hiyo ndo inamplekea Travel Agent kuuza kwa wingi safari za huko shimoni
cc UNESCO
NOTE: Bima na IKOLOJIA wapi na wapi
Muambie ukweli huyo chawa wa ccm!Muongo mbwa wewe
NCAA is a special case.HIFADHI ZOTE NCHINI NI LAZIMA ZIBAKI WAZI, ILI KULINDA UHIFADHI WAKE NA MAANA HALISI YA NENO, HIFADHI YA TAIFA!.
Hayo mashetani yanafanya kusudi sio kwamba hayajui.NCAA is a special case.
Jenerali ashasema haya masai wote waondokeee 😄Hayo mashetani yanafanya kusudi sio kwamba hayajui.