Tatizo kujifungamanisha na vyama vya siasa.Wanachokitafuta watakipata ni suala la muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kujifungamanisha na vyama vya siasa.Wanachokitafuta watakipata ni suala la muda tu
Maskini akipata kazi au pesa kidogo anafikiria ndio mwisho wa maishaHao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Jeshini kunasheria zao
kuwatupa mtu mtaani watu wenye mafunzo kama hayo ni hatari. Hata kama walionekana kuchanganyikiwa na hawastahili kukaa jeshini, kuwatupa tu mtaani si sawa, Magonjwa yao karibu wote wanasema yanahusiana na akili, inawezekana ni athari za kivita - tunawatupaje?JWTZ hawana sera ya kuwalinda watu ambao wanakuwa trained kwa kiwango cha Ukomandoo, hawa jamaa walitelekezwa na wamepitia wakati mgumu mno.
Maana yake hatoshi kwenye nafasi yakeMaana yake nn Mabeyo akawe jaji au una mananisha nn bwasheee?
Usione Simba kanyeshewa, bado ni simbaHao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Mwekeni Lema au Mbowe awe mkuu wa Majeshi kama Mabeyo hatoshiMaana yake hatoshi kwenye nafasi yake
Sh!t hol3 countryNiliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
JWTZ hawana sera ya kuwalinda watu ambao wanakuwa trained kwa kiwango cha Ukomandoo, hawa jamaa walitelekezwa na wamepitia wakati mgumu mno.
Duuh hii scenario kibokoNiliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Na hata mafao hawakupatiwa.JWTZ hawana sera ya kuwalinda watu ambao wanakuwa trained kwa kiwango cha Ukomandoo, hawa jamaa walitelekezwa na wamepitia wakati mgumu mno.
Kuandamana jeshini ni uhaini . Kuna njia za kudai haki huko jeshini uache maneno mengiNdio hizo sheria zao kuwasingizia kesi baada ya kudai stahiki zao?
Kuandamana jeshini ni uhaini . Kuna njia za kudai haki huko jeshini uache maneno mengi
We acha tu. Mtu kama huyo unaweza dhani anamaisha mazuri Ni vile tu hapa tunatumia fake Id.Maskini akipata kazi au pesa kidogo anafikiria ndio mwisho wa maisha
Kuna kupata ulemavu Katika magari tupandayo na tunayoendesha
Usijione umefika kwa kuwaambia ambao hawapo kazini kwa kustaafu wapambane na hali zao
Nani wa kuwapambania wazee wetu kama sio sisi tulio kazini
Leo kijana kesho nawe unazeeka
Chunga mdomo na kauli zako, omba yasikukute
Kuna wazee walipitisha Bungeni wenzao wapate pensheni ya elfu hamsini Leo wanalialia mtaani
Occupational health effects au Adverse health effect related to work zinatatuliwa na Boss/ mwajiri na kupewa compensation.Halafu inaonekana jeshi huwa linawatupa Hawa vijana wetu wakipata tatizo la akili, wakati inajulikana wanayapata huko huko jeshini. Maana mashahidi Kama watatu wanasema wakipata tatizo la akili wakiwa jeshini.