shaver
JF-Expert Member
- Sep 21, 2021
- 240
- 471
Wewe ni mpuuzi mmoja tu, huna ujualo.Hao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mpuuzi mmoja tu, huna ujualo.Hao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Kumbe nawee una roho mbaya iv? Tobaaaah.Hao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Niliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Wajameni.....ya JWTZ tuwaachie peke yao.Inaelekea JWTZ inathamini wanajeshi wakiwa na afya njema lakini pindi wakiumia au kupata maradhi wakiwa kazini inawatelekeza!
Amiri Jeshi Mkuu anapaswa kuangalia upya jambo hili kwani halina afya kwa ustawi wa jeshi letu.
Haongelei Sasa , anaongelea jinsi walivyotoka. Kwamba walitoka kwa magonjwa ya kisaikolojia lakini jeshi halikiwajali. Yani makomandoo walitelekezwa na jeshi kiss ugonjwa unaotokana na VitaHao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza wana sheria za hovyo tyuuh.kule kilakitu ni uhaini,sheria zao ni ngumu sana,ukifuga ndevu nalo ni kosa na linaweza likakufukuzisha kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajameni.....ya JWTZ tuwaachie peke yao.
Wao wanataka JUA lile literemke,sisi tutaweza kweli....???
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Punguza dharau. Unaongea hivyo kwasababu hao makomandoo wamekamatwa na mbowe. Kumbuka usipolia na mwenzako ipo siku ukilia hakuna atakayekusikiliza. Juzi Lissu kapigwa risasi watu wakacheka ila Magufuri alipofariki wakaanza kulia na kudai ameuawa. Tujifunze what goes around comes around.Mwekeni Lema au Mbowe awe mkuu wa Majeshi kama Mabeyo hatoshi
KUNA JAMAA YANGU PIA ALIPITIA HII SEKESEKE ILA MUNGU NI MKUBWA SANA.Niliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Siyo shida ya mfumo wa sheria. Tatizo hapa ni uongozi au utawala bora kutokuwepo. Komandoo wote walioifukuzwa na wanaostaafu wanatakiwa wawe na kitengo cha "Minder" jeshini chenye bajeti. Kazi ya kitengo hicho ambacho kinawaangalia askari wa kawaida waliko uraiani na pia wao wakiwa na tatizo kuweza kwenda hapo na kueleza shida zao. Siyo kuwaangalia maafande wa ngazi za juu peke yake. Huu ni utaratibu ambao nchi zilizoendelea zinafanya. Vinginevyo kuacha askari mwenye mbinu ya kuuwa watu wengi bila bunduki ajiangalie mwenyewe ni kukosa upeo wa uongozi. Naandika hapa kuisaidia Serikali kungalia hili sina nia ya kuwananga.So sad aisee, yaani kama waliyosema ni kweli basi kuna shida somewhere kwenye mifumo yetu au sheria zetu.
So hata wale ambao wapo kazini wajifunze kwa wanayoyapitia wenzao? Kwamba wakitoka kazini hawana thamani tena? Wakapambane na haki zao wakitoka kazini? 😊 Majibu ya kip, uzi sana hayoHao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Elewa kwamba mateso hayo yalitendeka wakati wa jiwe na kumbuka wakati huo aliyekua na mamlaka ardhini na mbin guni ni huyo huyo jiweInasikitisha sana kwakweli, karibu makomandoo 10 wa JWTZ kudhalilishwa na wahun wachache waliojivika kiremba cha Jeshi la Polisi
Tumekuweka wewe ukuu wa majeshiMwekeni Lema au Mbowe awe mkuu wa Majeshi kama Mabeyo hatoshi
mbona tuna wakuu wa wilaya wanaitwa labda Luteni Kanali mstaafu! Ina maana hata wanapoondoka jeshini, bado vyeo vyao wanaenda navyo, Hata mimi namba yangu ya JKT bado ninayo na ukiifuatilia utaona na cheo changu.Acha kupotosha hao ni raia kitendo cha luwahusisha na jeshi au kuwaita majina ya ngazi wslizokuwa wamepewa jeshini kabla ya kufukuzwa kazi ni upotoshaji mkuu. walikwisha fukuzwa siku nyingi hata kabla ya kushtakiwa kwa tuhuma zinazoeakabili. Hapo mkuu wa majeshi anahusika vipi na raia? Wenye control kwao sasa ni viongozi wa serikali ya mtaa, nzengo , ukoo wake na ndugu zake
Pia ina onesha udhaifu Makomandoo na wanajeshi wa tz ni mdebwedo tu
Sheria hizo waliziweka wakoloni zinahitaji review. Yaani mtu umeshindwa kumpa stahiki zake then unamnaliza kabisa kwa kumfukuza kazi? Daaah, halafu wao wenyewe akistaafu akula u DC hahahaaa...Kuandamana jeshini ni uhaini . Kuna njia za kudai haki huko jeshini uache maneno mengi
No mata police hawewezi mtesa tu mkuu wa kituo mstaafuHao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.
Sasa kama hatapokea mafao yoyote au pensheni atawezaje kujitibu na ku attend clinic?? Vipi mfanyakazi anapoumia kazini na kukatwa mguu au mkono?Occupational health effects au Adverse health effect related to work zinatatuliwa na Boss/ mwajiri na kupewa compensation.
hawakufukuzwa kazi kuna tofauti ya kufukuzwa na kustaafu. Kufukuzwa maana yake wana diclare kuwa hawakustahili kumwajiri mtumishi kama wewe na wanafuta kila kitu na kukurudisha katika hali uliyokuwa nayo kabla ya kuajiriwa na wao wabaki kwenye nafasi ya karibu kana kwamba hawajawahi kumwajiri mtumishi wa hovyo na.mwenye tabia mbovu kama wewembona tuna wakuu wa wilaya wanaitwa labda Luteni Kanali mstaafu! Ina maana hata wanapoondoka jeshini, bado vyeo vyao wanaenda navyo, Hata mimi namba yangu ya JKT bado ninayo na ukiifuatilia utaona na cheo changu.
Kuna mtu kapost humu kuwa "usimuone simba kanyeshewa, ni simba!"